Shadow7
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 24,606
- 39,289
NakaziaWapewe N- card kwenye swala la ticket
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaWapewe N- card kwenye swala la ticket
Mfumo wote wa tiketi kielektroniki unauliwa watu wapate kupiga vizuri, umesahau BRT? Umesahau Ferry, zamani sana, umesahau maegesho ya magari eyapoti/1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Batoto ba Mujini bameanza kuleta machokochoko ili batupige Mafaranga!1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Wa kati unalo..huku mnuka mdomo huku mnuka kwapa...Eeh! Yaani karne hii bado kuna usafiri wa 3 x 2?!!! Aisee hapo tumebugi
Waswahili mmeshaanza 🐼
Bwana ni tabu alafu ukute umewekwa na mmama ananyonyesha basi awe amebarikiwa titi aisee yaani mzabzab hapo kichwa kinavhrugwa kabisa unatamani umwambie mmama namie ninyonyesheWa kati unalo..huku mnuka mdomo huku mnuka kwapa...
Hujaacha ujinga.... 🤣 🤣 🤣Bwana ni tabu alafu ukute umewekwa na mmama ananyonyesha basi awe amebarikiwa titi aisee yaani mzabzab hapo kichwa kinavhrugwa kabisa unatamani umwambie mmama namie ninyonyeshe
Mie ni mzee kijana wa hovyoHujaacha ujinga.... 🤣 🤣 🤣
KabisaaaMie ni mzee kijana wa hovyo
Sasa kama macho yalikuwa bado yamefumba kwa nini ulikuwa unalalamika?😎😁Jamani eeh mie ndege sijawahi kupanda....hivyo haya mambo ndio mnanifugua macho
Kapande hakuna aliyekuvuta shati..Bwana wewe tulishatoka huko kwenye 3x2 sasa ni two by two. Sasa sii bora nipande basi kuliko hiyo miminyano
Napanda bodaboda yangu najitanua nitakavyoKapande hakuna aliyekuvuta shati..
Kwenye ndege unakaa za 2x2 pekee? Au 1x1 au 1x0?Bwana wewe tulishatoka huko kwenye 3x2 sasa ni two by two. Sasa sii bora nipande basi kuliko hiyo miminyano
Mbona mnasema sana ndege sie wengine hizo ndege zenu hatujawahi kupanda bwanaKwenye ndege unakaa za 2x2 pekee? Au 1x1 au 1x0?
hawa Jamaa Jiwe aliwapiga PINWawape Max malipo kukatisha tiketi
Point Kubwa Sana hii Mkuu 👏👏👏👏Wapewe N- card kwenye swala la ticket
Sijui alitaka utofauti uwe nn.Iko hivi 2x3 au 2x2 na hata 1x1 kikubwa huzingatiwa hapo huwa ni room space unaweza kukaa kwa kujiachia kwenye 2x3 kuliko hata 2x2 ambayo room space ni ndogo kwa upana wa behewa ulivyo hiyo 2x3 ni sawa tuu maana ukitaka 2x2 nauli ikiwa kubwa usilalamike