Changamoto usafiri wa SGR

Changamoto usafiri wa SGR

1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.

2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.

3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Duu! Kazi ipo
 
1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.

2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.

3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Tayari!!..
Tutasikia mengi
 
Kwa akili hizi za ki-chawa za ki-ccm.
uendeshaji na usimamizi wa huo usafiri, ndio mtihani ulipo.
 
Bwana wewe tulishatoka huko kwenye 3x2 sasa ni two by two. Sasa sii bora nipande basi kuliko hiyo miminyano
Chief hujawahi panda train au unaleta ubishi tu ili kuchangamsha mada?.

Upana wa train ulivyo 3x2 haina shida kabisa, nadhani unaona unaposafiri kwa ndege, ni lini kuliwahi anzishwa mada JF ya 2x2 kwenye ndege?.
 
1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.

2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.

3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
1 na 3 nakuunga mkono, inahitaji kufanyiwa kazi kwa hali ya kuboresha huduma hii ili iwe bora zaidi.

Hiyo namba 2 siyo kero maana madaraja yanatakiwa kuwa na tofauti, na hapo umeisema hiyo tofauti. Kwa hiyo haina shida.

Kwa ujumla naona wameanza vizuri, kwa usafiri mpya kabisa kuwepo nchini na ukawa na hizo kero mbili tu, wamefanikiwa sana.

Ova
 
Back
Top Bottom