Duu! Kazi ipo1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
KLM si 2x2 za wazungu! Hizi zetu ni 3x3Mbona mnasema sana ndege sie wengine hizo ndege zenu hatujawahi kupanda bwana
Nani?Toeni changamoto ili zitatuliwe
Mkuu mbona unalinganisha vitu viiwili tofauti? Ndege na train havina ulinganisho wake.Emirates Airways ipo ya seat 3-4-3, yaani row moja ina siti kumi. Sasa sijui nako huko mlishatoka muda mrefu!
View attachment 3020572
Tayari!!..1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.
Chief hujawahi panda train au unaleta ubishi tu ili kuchangamsha mada?.Bwana wewe tulishatoka huko kwenye 3x2 sasa ni two by two. Sasa sii bora nipande basi kuliko hiyo miminyano
1 na 3 nakuunga mkono, inahitaji kufanyiwa kazi kwa hali ya kuboresha huduma hii ili iwe bora zaidi.1. Upande wa ticket SGR wameshindwa, unakata online ukifika station unapanga bonge la foleni kuprint ticket.
2. Wanayoyaita mabehewa ya VIP wala sio VIP, tofauti yake na 'economy class' ni mpangilio wa siti tu 2x2 vs 3x2.
3. 'Mashine za kuscan ticket' upite hazifanyi kazi.