Changamoto wanazopitia wasaidizi wa kazi majumbani

Changamoto wanazopitia wasaidizi wa kazi majumbani

tatizo ni wamama wavivu na wale wanaowaajiri kwa fasion, ndio wanatuangusha.

limama vivu, zembe, na gubu hata kwa mumewe ndio huwa yanatesa sana watoto wa watu.

na yale yanayotaja kuonekana lina mfanyakazi, wakati hela halina.ndio chanzo kingine cha ufujaji wa utu wa hawa watu.

sisi kama wababa tunasemajee, tutaendelea kuwapa vyeo vyote kama mmeamua kuwaacha watujue vyema kwa kutuhudumia.
Ni vyema sana ndugu ata Mungu ata kubariki sana
 
tatizo ni wamama wavivu na wale wanaowaajiri kwa fasion, ndio wanatuangusha.

limama vivu, zembe, na gubu hata kwa mumewe ndio huwa yanatesa sana watoto wa watu.

na yale yanayotaja kuonekana lina mfanyakazi, wakati hela halina.ndio chanzo kingine cha ufujaji wa utu wa hawa watu.

sisi kama wababa tunasemajee, tutaendelea kuwapa vyeo vyote kama mmeamua kuwaacha watujue vyema kwa kutuhudumia.
kweli kabisa ndugu wengine hutaka sifa tu kwa watu na kutesa vijana wa watu
 
kweli ndugu wanaweza kukumizia ata familia yako nakutokomea kusikojulikanana uko !
Inasikitisha sana ,kati ya watu ambao unatakiwa uishi nao vizuri ni hao wafanyakazi wa ndani ,ukiwa treat vibaya wanaweza wakafanya tukio la hatari ,ndio maana mimi huwa si entertain Hg.
 
Inaelekea we hujawahi kaa na hawa watu ila unafanya hadithi na porojo tu kwa sababu tu una bando.

Wapo maboss wabaya na wa hovyo. Pia wapo mabinti wabaya na wahovyo sana.

Nilitamani nizae watoto angalau 5 ila changamoto za watoto wa kazi ilininidi niishie 3 tu.

Ni mabinti 3 tu kati ya 12 nilio wahi kukaa nao ndio nilimudu kukaa nao zaidi ya 5yrs na kuondoka kwa heshima wawili wakiolewa kutokea kwangu na mmoja nilimtafutia kazi supermarket kwa rafiki yangu ambapo alikuwa anapata mshahara mara 6 zaidi ya kile nilichokuwa namlipa mimi na alihama kwangu baada ya kuwa amejijengea uwezo wa kulipia chumba na tuilimnunulia mahitaji mengine yamsingi ili kuanzia maisha.

Hao wote 3 mpaka leo wana familia zao na ni familia rafiki na yakwangu tukisaidiana kwa kila panapowezekana.

Hao 8 waliobaki ilikuwa ni changamoto sana kwani wapo waliokuwa wachawi, wazinzi ukiondoka anashinda kwa midume ama kuroroka usiku mkilala, wapo waliokuwa wezi, wapo waliokuwa kazi yao kulala tu na usomwambie kitu atashinda kavimba siku nzima, wapo waliokuwa wachavu na vikojozi na wadokozi wakati huohuo.

Mungu ni mwema sana ila wanagu wamepitia mapito ya kutisha na kuogofya ya mabinti wa kazi mpaka hapa walipofikia.

Kabisa yaan, anabaki na mtoto/watoto asubuhi had jioni, anawatunza vizuri kabisa, anafanya kazi zote unarudi unakuta nyimba imetulia aisee wanafanya makubwa kuliko tunachowapa, zaidi basi tuwaondolee manyanyaso tuwape upendo wajikute wanafanya kama wako kwao wanawalea wadogo zao
 
Inaelekea we hujawahi kaa na hawa watu ila unafanya hadithi na porojo tu kwa sababu tu una bando.

Wapo maboss wabaya na wa hivyo. Pia wapo mabinti wabaya na wahovyo sana.

Nilitamani nizae watoto angalau 5 ila changamoto za watoto wa kazi ilininidi niishie 3 tu.

Ni mabinti 3 tu kati ya 12 nilio wahi kukaa nao ndio nilimudu kukaa nao zaidi ya 5yrs na kuondoka kwa heshima wawili wakiolewa kutokea kwangu na mmoja nilimtafutia kazi supermarket kwa rafiki yangu ambapo alikuwa anapata mshahara mara 6 zaidi ya kile nilichokuwa namlipa mimi na alihama kwangu baada ya kuwa amejijengea uwezo wa kulipia chumba na tuilimnunulia mahitaji mengine yamsingi ili kuanzia maisha.

Hao wote 3 mpaka leo wana familia zao na ni familia rafiki na yakwangu tukisaidiana kwa kila panapowezekana.

Hao 8 waliobaki ilikuwa ni changamoto sana kwani wapo waliokuwa wachawi, wazinzi ukiondoka anashinda kwa midume ama kuroroka usiku mkilala, wapo waliokuwa wezi, wapo waliokuwa kazi yao kulala tu na usomwambie kitu atashinda kavimba siku nzima, wapo waliokuwa wachavu na vikojozi na wadokozi wakati huohuo.

Mungu ni mwema sana ila wanagu wamepitia mapito ya kutisha na kuogofya ya mabinti wa kazi mpaka hapa walipofikia.
Porojo gani bibie? Nimeishi sana na mabinti tangu nikiwa mdogo kwetu na mpaka nimekua nimeishia nao kwangu na bado naishi nao, hapo point ni kwamba ukiishi na binti wa kazi ishi nae vzuri kama yeye hafai usiishi nae fukuza tafta mwingine mwenye unafuu, alichozungumza mtoa mada ni untanyasaji kwa mabinti, kuliko kumtukana binti, kumnyima mshahara, kumpiga na manyanyaso mengi bora uachane nae aende kwao, mm nimeongelea binti niliye nae kwa miaka hii, she is good lazima niishi nae vzuri sana sijawah kumnyanyasa binti na haitokuja kutokea nkigundua tu ana mambo mengi ya kunikera had kupelekea nimchukie siendelei kuishi nae
 
Porojo gani bibie? Nimeishi sana na mabinti tangu nikiwa mdogo kwetu na mpaka nimekua nimeishia nao kwangu na bado naishi nao, hapo point ni kwamba ukiishi na binti wa kazi ishi nae vzuri kama yeye hafai usiishi nae fukuza tafta mwingine mwenye unafuu, alichozungumza mtoa mada ni untanyasaji kwa mabinti, kuliko kumtukana binti, kumnyima mshahara, kumpiga na manyanyaso mengi bora uachane nae aende kwao, mm nimeongelea binti niliye nae kwa miaka hii, she is good lazima niishi nae vzuri sana sijawah kumnyanyasa binti na haitokuja kutokea nkigundua tu ana mambo mengi ya kunikera had kupelekea nimchukie siendelei kuishi nae
Uko vizuri sana ndugu na ubarikiwe sana sana !
 
Ila sasa usiombe HG akampenda baba mwenye nyumba,wanahisi Kali sana aisee
Kwasababu hayo mambo yapo sana ikitokea ntajua cha kufanya sababu unakuta kuna familia haiwezikaa bila HG, kuna familia hata kama hakuna HG maisha yanasonga, wengine lazima pawepo na HG kwakweli!! ukitoka kwenye mihangaiko saa tatu usiku hautaweza fanya chochote labda kama unarudhia kulala saa saba kila siku.
 
Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.

Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-

*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.

Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.

*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.

*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.

Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine

Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .

Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-

-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.

Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
Tatizo baadhi ya waAfrika kwa waAfrika hawahurumiani,hawapendani!!
Haswa Akiwa ana hali na sauti ya juu!!!
Muogopeni Mwenyezzi MUNGU !!
 
Porojo gani bibie? Nimeishi sana na mabinti tangu nikiwa mdogo kwetu na mpaka nimekua nimeishia nao kwangu na bado naishi nao, hapo point ni kwamba ukiishi na binti wa kazi ishi nae vzuri kama yeye hafai usiishi nae fukuza tafta mwingine mwenye unafuu, alichozungumza mtoa mada ni untanyasaji kwa mabinti, kuliko kumtukana binti, kumnyima mshahara, kumpiga na manyanyaso mengi bora uachane nae aende kwao, mm nimeongelea binti niliye nae kwa miaka hii, she is good lazima niishi nae vzuri sana sijawah kumnyanyasa binti na haitokuja kutokea nkigundua tu ana mambo mengi ya kunikera had kupelekea nimchukie siendelei kuishi nae
Maelezo yako yana msingi sana .Ma housemaids hawana chombo cha kuwatetea zipo kesi ambazo unakuta anapata manyanyaso lakini hana pa kusemea,wengi wao hunyanyaswa katika nyanja zifuatazo:-
(1) Kusakamwa na familia nzima
-Watoto wanawadharau wazi wazi bosi (mwenye nyumba upo hukemei
-Mama anawaunga mkono watoto kwa kila wanachomsingizia housemaid
(2)kutowalipa kwa visingizio eti bosi anawawekea fedha zao na mwisho kuwarusha .
(3) Kwa baadhi kuwapa kazi za kuwadhalilisha mfano eti house girl anapewa nguo za ndani (Si ufue mwenyewe?).....nyumba nyingine INA watoto wakubwa hawajifunzi kazi za mikono akitoka shuleni,kwenye Mpira,matembezini anamrushia house girl minguo yake michafu (O.k analipwa ndio! kwa nini mtoto usisaidiane naye ili ujifunze kazi za mikono) Matokeo yake tunazalisha mabonge nyanya!
Jamani wanaitwa wasaidizi wa kazi za ndani haina maana kuwaachia kazi zote.
 
Mi wangu ananisaidia mno yani abarikiwe mno huyu binti, mwaka wa tano sasa nipo nae kanikuta nna mtoto mmoja sahivi watatu na wote amewalea yeye....yani hamna hata cha kumlipa huyu binti.
Jipe cheo.Malipo bora kabisaa.
 
Back
Top Bottom