Supercomputer
JF-Expert Member
- Feb 13, 2021
- 634
- 1,311
Mbona matusi hivyo?Matakko yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona matusi hivyo?Matakko yako
miaka mitatu mitatu...7, 4 na mwingine mwaka 1Dada wanao wamepishana miaka mingapi mingapi?
Mi nnao wawili wamepishana mwaka mmoja na miezi nane
sio mabinti wote ni wazuri na sio wamama wote ni wabayaMngelielewa hilo msingewatenda.
70% ya wamama ni wabaya 30% ya mabinti ni wabaya.sio mabinti wote ni wazuri na sio wamama wote ni wabaya
Sitaman binti yangu aondoke, nayeye ashasema hatamani kukua aondoke! She is good namm namfanyia wema mpaka anaogopa. Namsaidia kazi nkiwepo nyumbani, mshahara ontime analipwahaipiti tarehe, zawadi, uhuru, yaan jinsi navyoishi nae aisee!!! Ktk maisha yote ya kufanya kazi kwa watu am sure hatonisahau!
Sawa sawa maana hata sisi tumepishana miaka mitatu mitatu sema wanangu sasa ndo wamepishana mwaka mmoja na miezi nane wapo wawili tumiaka mitatu mitatu...7, 4 na mwingine mwaka 1
Ni binti ana miaka 19, vipi mkuu?Samahani huyo bado ni binti, au ana mme?
Nina swali baada ya hapo
Nitunzie huyo binti nataka kuoa akiwa tayari kuolewa nijulisheNi binti ana miaka 19, vipi mkuu?
Mkuu huwa namuombea apate mwanaume mwema aisee, binti anajielewa na kikubwa ni mchapakazi na sidhan kama alishanyanduliwa huyu maana hatakag hata kupita karbu na mwanaume! Nadhan bado yupo sealed[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yaan nawazaga sana asije akaolewa na vijana wasiojua thaman yake ningekuwa na mdogo wangu ningemuubganisha! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Nitunzie huyo binti nataka kuoa akiwa tayari kuolewa nijulishe
Mkuu naomba unitunzie huyo binti, akiwa tayari kuolewa njoo PMMkuu huwa namuombea apate mwanaume mwema aisee, binti anajielewa na kikubwa ni mchapakazi na sidhan kama alishanyanduliwa huyu maana hatakag hata kupita karbu na mwanaume! Nadhan bado yupo sealed[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] yaan nawazaga sana asije akaolewa na vijana wasiojua thaman yake ningekuwa na mdogo wangu ningemuubganisha! [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Siyo kwamba utakuwa umeoa tyari? [emoji16][emoji16]anyway usijali lakin nafikiri syo kwasasa bado bado yupoMkuu naomba unitunzie huyo binti, akiwa tayari kuolewa njoo PM
Sasa kama dada wa kazi ana tako kubwa kuliko mama mwenye nyumba, mpole, mcheshi, anajituma na kukuhudumia vizuri kuliko mkeo ambae muda wote yupo bize na Istagram unategemea nini?Ila mna time ya kuwakula tu
Ndugu mbona una makasiriko? tena umeyaelekeza kwangu 😁....70% ya wamama ni wabaya 30% ya mabinti ni wabaya.
Wamama stress zenu msiwafanye wadada kama punching bag wa utopolo wenu.
Ni binti ana miaka 19, vipi mkuu?