strong star
Member
- Jul 15, 2021
- 36
- 42
- Thread starter
-
- #61
kweli kabisa ndugu, mzuri nenda nae mbaya mtue tafuta mwingine wa kufanana nae.Ila kuna wadada vichomi jmn
Hata uishi nae vizuri vipi habebeki
Nafikiri ukipata mzuri mshikilie
Mbaya fyekelea mbali
PovuNyie mnaosema sema wamama ni wavivu hebu muache usngeee, humo majumbani kwenu mnasaidia kazi gani zaidi ya kushinda tu mkikuna pmb mnakera, kama mna upuuzi wa kula hao hg kuleni tu bila kutoa excuse za kifalah...
Kafulie boxa na shumizi na mwenzioPovu
Ila mna time ya kuwakula tuWanawake wakorofi uwanyanyasa waume zao na dada wa Kazi pia.
Ukiona nyumba binti wa Kazi adumu ingia toka jua shida ni mwanamke.
Wababa hatunaga time na mabinti wa Kazi.
Nyie ndio chanzo amtimizi wajibu wenuIla mna time ya kuwakula tu
Kumi kwa mia mbiliSitaman binti yangu aondoke, nayeye ashasema hatamani kukua aondoke! She is good namm namfanyia wema mpaka anaogopa. Namsaidia kazi nkiwepo nyumbani, mshahara ontime analipwahaipiti tarehe, zawadi, uhuru, yaan jinsi navyoishi nae aisee!!! Ktk maisha yote ya kufanya kazi kwa watu am sure hatonisahau!
Kwani hatuwapei?Nyie ndio chanzo amtimizi wajibu wenu
Mngelielewa hilo msingewatenda.Hawa watu wanatusaidia sana Mungu awabariki kwakweli, hata tunachowapa ni kidogo mnoo kulingana na msaada wao, hamna cha kuwalipa kabisa.
Shida sio kupewaKwani hatuwapei?
Kwa hiyo ni nini kinaweza kusababisha ukamkule binti wa kazi? Si mtoto wako yule jamani?Shida sio kupewa
Ni utovu wa maadili na roho chafu ya uzinziKwa hiyo ni nini kinaweza kusababisha ukamkule binti wa kazi? Si mtoto wako yule jamani?
Ya kwako si ndio? Au ya mke?Ni utovu wa maadili na roho chafu ya uzinzi
Dada wanao wamepishana miaka mingapi mingapi?Mi wangu ananisaidia mno yani abarikiwe mno huyu binti, mwaka wa tano sasa nipo nae kanikuta nna mtoto mmoja sahivi watatu na wote amewalea yeye....yani hamna hata cha kumlipa huyu binti.
Mara nyingi akina mama ndio wanaowanyanyasa mabinti wa kazi.Wasaidizi wa kazi ( almaarufu wafanya kazi za ndani ) hawa ni watu muhimu sana katika familia na ustawi wake kwani huwapunguzia wanafamilia hasa baba na mama majukum ya nyumbani na kuwa na mawanda mapana ya kufanya shughuli zao za kiuchumi na maendeleo hata kama wana watoto nyumbani.
Pamoja na mchango wao huu muhim na mkubwa katika familia nzima bado wanapitia changamoto kama vile :-
*Mateso makali na unyanyasaji.
Moja kimwili ,wafanya kazi za ndani wanakutana na mateso makali kutoka kwa waajiri wao kimwili hasa ikitokea amekosea au kuhalibu vitu fulani ndani ya nyumba basi ukutatana na kichapo kikali na wakati mwingine kupunguziwa mshahala,kupewa kazi nyingi, kunyimwa chakula ,kunyimwa mda wa kupumzika na mengine mengi.
Pili kihisia, wasaidizi wa ndani pia ukutanana na ukatili wa kihisia kupitia kusemwa maneno makali au matusi mazito, kutengwa hasa wakati wa kula au kulala, kusingiziwa makosa mengine ambayo hawajafanya na kupelekea msongo wa mawazo pengine kujiuwa kabisa pia wakati mwingine kuhusishwa kingono na mabosi zao.
*Kudhalaulika na kutoishimika kama binadamu wengine .
wafanya kazi za ndani wanakutana na changamoto ya kutoonekanana kama binadamu na mwanafamilia kwani wakati mwingine haalusiwi ata kula na watoto au wanafamilia ,haalusiwi kusogea ata sebuleni kuzungumza na familia hivyo uonekana kama takataka tu ndani ya nyumba kisa tu analipwa mshahara.
*Unyonyaji na ukandamizaji .
Wasaidizi wana kumbwa na unyonyaji mkubwa katoka kwa mabosi zao kwani ufanya kazi zote hizo na kuvumilia mateso yote ayo lakini mwisho wa mwezi inawezekana kabisa ata asipate ata mshahala wenyewe kwa kigezo alivunja kikombe na kuumwa wakati furani.
Kunyimwa haki zao za msingi .
Wafanya kazi za ndani hukutana na changamoto ya kunyimwa au kuchelewa kwa haki zao za msingi kama vile mishahara yao ,Uhuru wa kujieleza, ulinzi na wakati mwingine kuuwawa kabisa kimya kimya na mabosi kumleta mfanya kazi mwingine
Pamoja na haya yote wasaidizi hijitoa na kutimiza majukum yao ya kila siku, wapo wengine ambao uweka malengo yao na kufanikiwa mwishowe kutafuta kazi nyingine .
Jinsi ya kutatua changamoto hizi na kuwawekea wafanya kazi za ndani mazingira bora ya kufanya kazi na kufurahia kazi yao, ni kama vile :-
-Kuundwa kwa Shelia kali itakayo walinda na kuwatunza dhidi ya mabosi zao.
-Kuwepo kwa mikataba itakayo walinda dhidi ya haki zao na kutambulika .
-Kutolewa kwa elimu ya kutosha kwa wanajamii wote juu ya wafanya kazi za ndani na haki zao.
-Ufuatiliaji wa kutosha na wakalibu juu yao kulinda maslai yao.
Hakika hawa nao ni watu muhim na ni wafanya kazi kama watu wengine hivyo yapasa waeshimike na kulindwa pia hasa katika jamii zetu .
Nimempiga sound hg akaforwad Kwa wife Kila kitu halafu nikiwa nampigia naona inaungana na simu ya wife nakata Kila nikijaribu naona yaleyale. Nikauchuna had wife kaja kunitukana kweli kweli.Sitaman binti yangu aondoke, nayeye ashasema hatamani kukua aondoke! She is good namm namfanyia wema mpaka anaogopa. Namsaidia kazi nkiwepo nyumbani, mshahara ontime analipwahaipiti tarehe, zawadi, uhuru, yaan jinsi navyoishi nae aisee!!! Ktk maisha yote ya kufanya kazi kwa watu am sure hatonisahau!
Wakina mama awalijui hili binti wa Kazi ndie password ya nyumbani kwako,kabeba usalama wako.Mara nyingi akina mama ndio wanaowanyanyasa mabinti wa kazi.
Mateso kwa house girls yakizidi yafuatayo utokea;
# Mateso na stress zitahamia kwa watoto wako,utakuta mtoto wako nae kafanyiwa ukatili na house girl na ata kuuawa,
# House girl inakuwa rahisi kuchora mpango wa wizi au ata majambazi kuvamia maana hana upendo tena na familia yako,
# Anaweza kuwawekea ata sumu kwenye chakula kulipiza kisasi,
# Anaweza kutembea na mumeo kwa kukukomoa.
N.B. Kukosa upendo kwa anaekutunzia wanao,kukupikia na kuangalia nyumba na roho mbaya ya kiwango cha shetani,kuwapenda hawa mabinti wa kazi inasaidia sana kupunguza madhara na kuleta amani.