Ndugu poleni na mjukumu ya kutwa nzima.
Wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote. Mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini hasa nimejaribu kwa madaktari bingwa wa watoto sijabahatikaa kuona tofauti yoyote nimejaribu kuingia kwenye maombi napo bado sijaona tofauti changamoto zinazo mkabili ni kulia sana usiku na kukohoa hadi kutapika usiku
Hii ikifika mida ya saa 4 mtoto anashtuka na kuanza kulia sana namkumbatia anaendelea kulala hapiti mda anashtuka analia hadi kunakucha nimwendo huo hua analala nashtuka na kulia ila ikifika saa 10 anaanza kukohoa sana kana kwamba kuna kitu kimemkaba hadi anatapika ndio anakaa sawa.
2. Hatambai wala hatembei
ndugu zangu nampenda sana mwanangu cha ajabu kila napo anapotaka kutambaaa anaanza kuumwa .
3. Hali ugali bila maji
mwanangu hawezi kula ugali bila maji yaani hawezi kuumeza bila maji hata uwe mlaini vipi.
kunywa uji au juisi hataki hata viwe vitam kiasi gani.
NIMEHANGAIKA SANA JUU YA HUYU MTOTO LAKINI SIJAPATA MABADILIKO.
Sasa ani saa 3 mtoto anaanza kulia hadi kunakucha
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU
Wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote. Mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini hasa nimejaribu kwa madaktari bingwa wa watoto sijabahatikaa kuona tofauti yoyote nimejaribu kuingia kwenye maombi napo bado sijaona tofauti changamoto zinazo mkabili ni kulia sana usiku na kukohoa hadi kutapika usiku
Hii ikifika mida ya saa 4 mtoto anashtuka na kuanza kulia sana namkumbatia anaendelea kulala hapiti mda anashtuka analia hadi kunakucha nimwendo huo hua analala nashtuka na kulia ila ikifika saa 10 anaanza kukohoa sana kana kwamba kuna kitu kimemkaba hadi anatapika ndio anakaa sawa.
2. Hatambai wala hatembei
ndugu zangu nampenda sana mwanangu cha ajabu kila napo anapotaka kutambaaa anaanza kuumwa .
3. Hali ugali bila maji
mwanangu hawezi kula ugali bila maji yaani hawezi kuumeza bila maji hata uwe mlaini vipi.
kunywa uji au juisi hataki hata viwe vitam kiasi gani.
NIMEHANGAIKA SANA JUU YA HUYU MTOTO LAKINI SIJAPATA MABADILIKO.
Sasa ani saa 3 mtoto anaanza kulia hadi kunakucha
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU