Changamoto ya mtoto kulia sana usiku

Changamoto ya mtoto kulia sana usiku

igihumbi

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2017
Posts
529
Reaction score
483
Ndugu poleni na mjukumu ya kutwa nzima.

Wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote. Mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini hasa nimejaribu kwa madaktari bingwa wa watoto sijabahatikaa kuona tofauti yoyote nimejaribu kuingia kwenye maombi napo bado sijaona tofauti changamoto zinazo mkabili ni kulia sana usiku na kukohoa hadi kutapika usiku

Hii ikifika mida ya saa 4 mtoto anashtuka na kuanza kulia sana namkumbatia anaendelea kulala hapiti mda anashtuka analia hadi kunakucha nimwendo huo hua analala nashtuka na kulia ila ikifika saa 10 anaanza kukohoa sana kana kwamba kuna kitu kimemkaba hadi anatapika ndio anakaa sawa.

2. Hatambai wala hatembei
ndugu zangu nampenda sana mwanangu cha ajabu kila napo anapotaka kutambaaa anaanza kuumwa .

3. Hali ugali bila maji
mwanangu hawezi kula ugali bila maji yaani hawezi kuumeza bila maji hata uwe mlaini vipi.

kunywa uji au juisi hataki hata viwe vitam kiasi gani.

NIMEHANGAIKA SANA JUU YA HUYU MTOTO LAKINI SIJAPATA MABADILIKO.

Sasa ani saa 3 mtoto anaanza kulia hadi kunakucha
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU
 
Angalia tumbo huenda linajaa gesi...chunguza unyonyeshaji wako kama unaruhusu hewa kuingia ndani...tumbo huwa linawatesa watoto likijaa gesi huwa wanakosa hamu ya kula kabisa...em angalia nyonyesha yako na ukimaliza kumnyonyesha mlaze begani aondoe gesi ikiwezekana mgongegonge mgongoni kimtindo
 
Angalia tumbo huenda linajaa gesi...chunguza unyonyeshaji wako kama unaruhusu hewani kuingia ndani...tumbo huwa linawatesa watoto likijaa gesi huwa wanakosa hamu ya kula kabisa...em angalia nyonyesha yako na ukimaliza kumnyonyesha mlaze begani aondoe gesi ikiwezekana mgongegonge mgongoni kimtindo
shukrani mkuu ngoja nifanye hivyo nione kama nitaona mabdiliko
 
Mkuu pole saana kwenye makuzi ya mtoto kuna mambo mengi saana kikubwa akimaliza kula jaribu kumlaza begani husaidia kupunguza gesi lakini pia sijui upo mkoa gani ila ni vyema ukatafta madawa ya chango ya mtoto huwa inasaidia sana lakini pia ishu ya kustuka usiku kemea pepo maana watoto wanaona tusioona kwa macho ya kawaida
 
Pole sana,
Unasema umejaribu maombi! hapo nimebaki nashangaa natamani kukuuliza maswali hapo kwenye maombi kabla mtoto hajazaliwa,

Mimi mtoto wangu mdogo ana mwaka mmoja alianza hiyo tabia ya kushtuka na kulia sana usiku, chochote anachokula anatapika kenyewe kanatembea kana michakato ila gafla akawa nikukaa tu siku nzima hatembei anasubili usiku aanza kulia na kushtuka, akiwa analia kitovu kinajaa akinyamaza kinakuwa kawaida.

Hospitali wanapima haumwi, izo dalili ni michango tafuta kawa za kienyeji ndo nilichofanya mama yake akawa anamlambisha saivi hakasumbui usiku kanalala japo sio fofofo.
 
Pole sana mkuu....usichoke kwenda kuwaona wataalam..consultant wa watoto,nenda hospitali kubwa usiende za mitaani,ila nahisi mwanao ni wale watoto wenye changamoto ya ukuaji,

yuko behind time,mtoto wa mwaka mmoja na miezi minne sio wa kusumbua usiku,kama kila kitu kiko sawa nepi ni kavu,hana gesi tumboni ameshiba,haumwi.

She is supposed to sleep throughout the night....pia yuko behind kutambaa, nilisikia mahali wale watoto wenye mtindio wa ubongo / celebral palsy huwa wanaanzaga hivi hivi.....nenda hospital kubwa mkuu
 
ndugu poleni na mjukum ya kutwa nzima.
wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote.
mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini hasa nimejaribu kwa madaktari bingwa wa watoto sijabahatikaa kuona tofauti yoyote nimejaribu kuingia kwenye maombi napo bado sijaona tofauti changamoto zinazo mkabili ni
...kulia sana usiku na kukohoa hadi kutapika usiku
hili ikifika mida ya saa 4 mtoto anashtuka na kuanza kulia sana namkumbatia anaendelea kulala hapiti mda anashtuka analia hadi kunakucha nimwendo huo hua analala nashtuka na kulia ila ikifika saa 10 anaanza kukohoa sana kana kwamba kuna kitu kimemkaba hadi anatapika ndio anakaa sawa.
2.hatambai wala hatembei
ndugu zangu nampenda sana mwanangu cha ajabu kila napo anapotaka kutambaaa anaanza kuumwa .

3. hali ugali bila maji
mwanangu hawezi kula ugali bila maji yaani hawesi kuumeza bila maji hata uwe mlaini vipi.
kunywa uji au juisi hataki hata viwe vitam kiasi gani.
NIMEHANGAIKA SANA JUU YA HUYU MTOTO LAKINI SIJAPATA MABADILIKO.
sasa ani saa 3 mtoto anaanza kulia hadi kunakucha
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU
Syo zongo kwl?
 
mkuu acha tu natamani niwe narecod siku ya tatu sijaenda kazini kwasababu usiku silali kazi ni kumbembeleza mtoto ni hatari sana
Mkuu pole saana kwenye makuzi ya mtoto kuna mambo mengi saana kikubwa akimaliza kula jaribu kumlaza begani husaidia kupunguza gesi lakini pia sijui upo mkoa gani ila ni vyema ukatafta madawa ya chango ya mtoto huwa inasaidia sana lakini pia ishu ya kustuka usiku kemea pepo maana watoto wanaona tusioona kwa macho ya kawaida
 
Pole sana,
Unasema umejaribu maombi! hapo nimebaki nashangaa natamani kukuuliza maswali hapo kwenye maombi kabla mtoto hajazaliwa,

Mimi mtoto wangu mdogo ana mwaka mmoja alianza hiyo tabia ya kushtuka na kulia sana usiku, chochote anachokula anatapika kenyewe kanatembea kana michakato ila gafla akawa nikukaa tu siku nzima hatembei anasubili usiku aanza kulia na kushtuka, akiwa analia kitovu kinajaa akinyamaza kinakuwa kawaida.

Hospitali wanapima haumwi, izo dalili ni michango tafuta kawa za kienyeji ndo nilichofanya mama yake akawa anamlambisha saivi hakasumbui usiku kanalala japo sio fofofo.
shukrani sana ndugu
 
ndugu poleni na mjukum ya kutwa nzima.
wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote.
mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini hasa nimejaribu kwa madaktari bingwa wa watoto sijabahatikaa kuona tofauti yoyote nimejaribu kuingia kwenye maombi napo bado sijaona tofauti changamoto zinazo mkabili ni
...kulia sana usiku na kukohoa hadi kutapika usiku
hili ikifika mida ya saa 4 mtoto anashtuka na kuanza kulia sana namkumbatia anaendelea kulala hapiti mda anashtuka analia hadi kunakucha nimwendo huo hua analala nashtuka na kulia ila ikifika saa 10 anaanza kukohoa sana kana kwamba kuna kitu kimemkaba hadi anatapika ndio anakaa sawa.
2.hatambai wala hatembei
ndugu zangu nampenda sana mwanangu cha ajabu kila napo anapotaka kutambaaa anaanza kuumwa .

3. hali ugali bila maji
mwanangu hawezi kula ugali bila maji yaani hawesi kuumeza bila maji hata uwe mlaini vipi.
kunywa uji au juisi hataki hata viwe vitam kiasi gani.
NIMEHANGAIKA SANA JUU YA HUYU MTOTO LAKINI SIJAPATA MABADILIKO.
sasa ani saa 3 mtoto anaanza kulia hadi kunakucha
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU
Pole sana.
Umesema umeenda kwa daktari wa watoto lakini hakuna mabadiliko yoyote! Sijajua alifanyiwa vipimo gani, na je tatizo hilo ni la muda gani sasa? Au limeanza tangu azaliwe? Yawezekana anapata maumivu ktk mwili wake (maungio, tumboni, kifuani), kwa hiyo jaribu kumchunguza ili kujua ni nini hasa huchochea yeye kulia? Je ni mtoto wako wa ngapi? Kama kuna wakubwa zake hali zao vipi? (Haya ni baadhi ya maswali ambayo daktari atakuuliza ili kuweza kubaini tatizo linalomsumbua mwanao).

Ni vyema ukaenda tena kuonana na daktari bingwa wa watoto hata wa hospital tofauti kama hali yake inazidi kuwa mbaya!
Pole sana.
 
Back
Top Bottom