Changamoto ya mtoto kulia sana usiku

Changamoto ya mtoto kulia sana usiku

Pole sanavkwa changamoto unazopitia.
Hayo maswali yanaweza kuksaidia kutafta chanzo kiutalamu
1 .KWanza mtoto wa mwaka 1 anatakiwa awe na kilo angalau 10 na kuendelea.wako ana ngp?
2 . Mwaka 1 na miezi. 4 na hajaanza kutambaa hapo tunasema kachelewa kwenye stage ya ukuuaji tena sana(delayed millestone). Sahvi anawez kufany nn upand wa ukuuaji? Ashawahi kuugua utapiamulo?

(Kama bado ypo legelege kwenye mikono au miguu au upande mmja wa mwili ni dhaifu ndo hio ishu ya utindio wa ubongo/celebral palsy inaibuka)

3 . Hio kukohoa na kutapika. Nawez kusem inawezekan kua n hali ya utumbo haujakaa sawa kumeng'enya chakula vzri ila kuna watoto uzaliw na changamoto z utumbo kujikunja. Choo anapata? Ulimnyonyesha miez 6 ya mwanzo bila kumpa chochte?

4 . Kwako mama, Kipindi cha ujauzito wake uliwahi kuugua? Ulimzaa ana kilo ngapi? Ulijifungulia hospitali au nyumbani? Chanjo amepata ipasavyo?
5 . Ulijifungua kwa njia y kawaida au operation? Mtoto alichelea kulia baada y kutoka tumboni? Kwenye kitovu hajawahi shida kam kupata usaha. Ashawahi kua na manjano?
ILA kama hayo yote yapo vzri mtaalamu ausike ktafta chanzo maana sio kawaida.
Duuuh mwanangu ana 1 na miez kadhaa na hajawahi fikisha 10kgs🙌🏾🙌🏾
 
Kwa namna unavyoeleza tatizo la Mtoto wako, nimeshuhudia baadhi ya Watoto wenye tatizo kama la Mtoto wako...!

Maombi ya nguvu yatamtoa Mwanao kwenye tatizo ulilonalo...!

Unasema umeomba Sana bila ya Mafanikio, unajua Kanuni za Maombi....!?

Una Imani....!?
 
hata sielewi mkuu kwanini usiku tu
Wacheki wataalam maana nmesha ona jamaa jran mtt wake alikuwa analia sana usiku kampeleka hospital akuna kitu usiku awalali ila wakampeleka kwa mama wa kimasai yule mama akamcheki mtt akawauliza maswali akawambia mtt atapona akampatia dawa kama sku tatu mtt akawa frsh kabsa
 
Minaona mkuu, utakua unashida kwenye mtu anae mlea mwanao wakati wewe umeenda kazi.
Huyo mtoto nikama amedumaa na afya yake imedhoofika kutikana na lishe tu.
Ebu fanyia kazi hili maana unaweza ukawazunguka wataalamu wa watoto kwanza wakakusikiliza kisha wakaona kabisa tatizo lilipo ila wewe hautaki kuliona ukiamini hilo sio tatizo.
ndugu huyu mtoto ni mtoto wangu wa nne ila wa ajubu hanywi juisi yoyote tena ni ugomvi ukiwa unamnywesha uji ndio hataki kabisa ndugu inaniuma kwa sasa nipo karibu sana na mtoto najionea mwenyewe
 
Kwa namna unavyoeleza tatizo la Mtoto wako, nimeshuhudia baadhi ya Watoto wenye tatizo kama la Mtoto wako...!

Maombi ya nguvu yatamtoa Mwanao kwenye tatizo ulilonalo...!

Unasema umeomba Sana bila ya Mafanikio, unajua Kanuni za Maombi....!?

Una Imani....!?
ishawahi mkuta mwanangu hii,alikua anacheza vizur tu,sasa tuingie kulala aseee mtoto akaanza kukohoa na kutapika ghafla tu, kusema kwel sikumpa chochote zaidi aliombewa na kukaa sawa kabisa Mungu ni mwema 🙌🏾🙌🏾hadi leo haijajirudia.
 
Wengi wamekushauri vyema ila ndugu B M F ufanyie kazi

Natamani isiwe kama nnavyotaka kukwambia ila nahisi ndio shida hio hio kwamba huenda mwanao anautindio wa ubongo kama mwanangu mtoto wakakaa angu

Kwenye vyakula hakua akichagua ila alikua anaweza kulia ikifika saa nne au tatu mpaka alfajir asinyamaze tulipokuja kugundua tatizo tukawa tumechelewa zaidi

Tukaja ambiwa kama anashida ya viungo na mpaka sasa miaka sita mwakani saba hakai alikua akitaka kwenda mbele kahoma anarudi nyuma kama upo dar mpeleke ccbrt au muhimbili ila mpeleke moja kwa moja kwenye wale madokta wa viungo kwa watoto hizo dalili zimenistua mkuu pole sana Allah afanye wepesi omba ila mtoto mpeleke huko nipo kwambia


Wakwangu anautindio wa ubongo na alizaliwa njiti na alipata manjano ingawaje anaweza akakosa kupata kama hayo na akapata kua na shida kwenye ubongo
 
ana kilo 8
kila anapo taka kutamabaa anaumwa sana hali inayo mfanya kurudi nyuma
kipindi cha mimba hakuwai kuugua
na alijifungua kawaida

Kilo nane ni ndogo sana kwa Umri huo. Hapo kuna shida katika ukuwaji wake.

Jee anapata chakula chenye lishe kamili?

Umeshafika kwa dokta wa mifupa kuangalia anatatizo gani la mifupa? Ambalo anapata shida kusimama.

Ni ngumu kukubali na kuamini ila yaezekana mwanao Ni kilema wa jambo flani(samahani kwa kauli hili) hivyo unapaswa kukubali hilo na Kujifunza sasa namna ya kumsaidia changamoto zitakazoendana na hali yake.

Usimsumbue mtoto kwa manabii au mashekhe au Waganga,
Ila sumbua na jambo moja moja kuhusu yeye alivyo kwa hospitalini na utajua Ni kipi kina shida.

Kwa mimi mtoto wangu alinisumbua sana kifua na hiyo kulia usiku.
Nilipita hospitali nyingi za Binafsi ila alikuja pona hospitali ya serikali(ya mkoa ).
Ukibahatika kupata Dokta wa hospital ya serikali wenye utu, uzoeefu wa muda mrefu na mwenye kujitoa ni rahisi sana kupata matibabu sahihi
 
Kuna wale wamama wanaotibu watoto kwa kutumia dawa za kienyeji jiaribu zaid ya mmoja huenda ukafanikiwa
 
ana kilo 8
kila anapo taka kutamabaa anaumwa sana hali inayo mfanya kurudi nyuma
kipindi cha mimba hakuwai kuugua
na alijifungua kawaida
Mpka hapo hzo kilo na 8 ukienda ni hospitali ni tatizo tayri. Mtoto wa kilo8 hua ni wa miez 7 au nane. Imagine wako yko nyuma kiasi gani maana mtoto wa mwaka 1 anatakiwa awe na kilo 10.

1. Ashawahi kulazwa au kuugua kabla?
2. Baada ya kumzaa ulimpaje chakula mpka hpo alipofikia? Au hua unamwachia mtu? Ashawahi kupata utapiamlo? Chanjo zote kapata?
3. Amelegea upande mmoja au kwenye miguu au mikono kuna ulegevu wa viungo (ugoigoi)
4 kwenye familia yenu kuna historia ya magonjwa ya moyo, mtu mwenye kifua kikuu na upande wa afya ukimwi hali ipoje ?

5. Kipindi unamzaa ilitokea hali ya uchungu kukata na mtoto kuchelewa kutoka au akatoka na ku chelewa kulia?

Maswali yale ya mwanzoni na haya yatakusaidia kupata chanzo. Ila kwa kilo 8 huyo mtoto ana tatizo la kiafya.( sanasana hua ni utindio wa ubongo/ celebral palsy).
Mengine hayo ya kustuka n kulia usiku wataalaam na wazee wa miti shamba watakup mwongozo
 
Mpka hapo hzo kilo na 8 ukienda ni hospitali ni tatizo tayri. Mtoto wa kilo8 hua ni wa miez 7 au nane. Imagine wako yko nyuma kiasi gani maana mtoto wa mwaka 1 anatakiwa awe na kilo 10.

1. Ashawahi kulazwa au kuugua kabla?
2. Baada ya kumzaa ulimpaje chakula mpka hpo alipofikia? Au hua unamwachia mtu? Ashawahi kupata utapiamlo? Chanjo zote kapata?
3. Amelegea upande mmoja au kwenye miguu au mikono kuna ulegevu wa viungo (ugoigoi)
4 kwenye familia yenu kuna historia ya magonjwa ya moyo, mtu mwenye kifua kikuu na upande wa afya ukimwi hali ipoje ?

5. Kipindi unamzaa ilitokea hali ya uchungu kukata na mtoto kuchelewa kutoka au akatoka na ku chelewa kulia?

Maswali yale ya mwanzoni na haya yatakusaidia kupata chanzo. Ila kwa kilo 8 huyo mtoto ana tatizo la kiafya.( sanasana hua ni utindio wa ubongo/ celebral palsy).
Mengine hayo ya kustuka n kulia usiku wataalaam na wazee wa miti shamba watakup mwongozo
Bila ya shaka udaktari mkuu pia nimemwambia nahisi mwanawe ana utindio wa ubongo kwa dalili anazozisemea
 
Duuuh mwanangu ana 1 na miez kadhaa na hajawahi fikisha 10kgs🙌🏾🙌🏾
AKinyonya miezi 6 ya mwanzo bila kupewa chochote hata maji. Baada ya hapo ndo uanze kumpa maji, uji umchanganyie na karanga angalau balance diet awe anaitimiza.
Sema unakuta watito wengne wanaachwa n wasichana wa kazi au n bibi, wanalishwa na wadogo zao, wanaugua wakiw na umri mdogo hasa utapiamlo. Au alizaliwa na kilo chache ( chini ya kilo 3) ndo maana ni vigumu kufikisha kilo 10 akiwa na mwaka:1
 
AKinyonya miezi 6 ya mwanzo bila kupewa chochote hata maji. Baada ya hapo ndo uanze kumpa maji, uji umchanganyie na karanga angalau balance diet awe anaitimiza.
Sema unakuta watito wengne wanaachwa n wasichana wa kazi au n bibi, wanalishwa na wadogo zao, wanaugua wakiw na umri mdogo hasa utapiamlo. Au alizaliwa na kilo chache ( chini ya kilo 3) ndo maana ni vigumu kufikisha kilo 10 akiwa na mwaka:1
nimemlea mwenyewe hadi sasa,kuugua mwanangu hapana,ila kwenye kuzaliwa kwel alizaliwa na chini ya kilo 3.
 
I feel sorry for you, mwanangu wa pili katutesa hivyo hivyo! Ila sasa angalau japo aliponea kwenye dawa za kienyeji, now anakula chochote anacheza na kuongea maneno yote.
 
I feel sorry for you, mwanangu wa pili katutesa hivyo hivyo! Ila sasa angalau japo aliponea kwenye dawa za kienyeji, now anakula chochote anacheza na kuongea maneno yote.
mkuu huwezi amini mtoto ananitesa sana kula changamoto magonjwa yanamuandama naomba unielekeze ulipoenda kama anaweza kupata nafuu
 
mkuu huwezi amini mtoto ananitesa sana kula changamoto magonjwa yanamuandama naomba unielekeze ulipoenda kama anaweza kupata nafuu
Unaishi wapi!? Maana huyo mtu aliyetusaidia anapatikana Moshi!
 
Mpka hapo hzo kilo na 8 ukienda ni hospitali ni tatizo tayri. Mtoto wa kilo8 hua ni wa miez 7 au nane. Imagine wako yko nyuma kiasi gani maana mtoto wa mwaka 1 anatakiwa awe na kilo 10.

1. Ashawahi kulazwa au kuugua kabla?
2. Baada ya kumzaa ulimpaje chakula mpka hpo alipofikia? Au hua unamwachia mtu? Ashawahi kupata utapiamlo? Chanjo zote kapata?
3. Amelegea upande mmoja au kwenye miguu au mikono kuna ulegevu wa viungo (ugoigoi)
4 kwenye familia yenu kuna historia ya magonjwa ya moyo, mtu mwenye kifua kikuu na upande wa afya ukimwi hali ipoje ?

5. Kipindi unamzaa ilitokea hali ya uchungu kukata na mtoto kuchelewa kutoka au akatoka na ku chelewa kulia?

Maswali yale ya mwanzoni na haya yatakusaidia kupata chanzo. Ila kwa kilo 8 huyo mtoto ana tatizo la kiafya.( sanasana hua ni utindio wa ubongo/ celebral palsy).
Mengine hayo ya kustuka n kulia usiku wataalaam na wazee wa miti shamba watakup mwongozo
shukrani mkuuu
 
Wacheki wataalam maana nmesha ona jamaa jran mtt wake alikuwa analia sana usiku kampeleka hospital akuna kitu usiku awalali ila wakampeleka kwa mama wa kimasai yule mama akamcheki mtt akawauliza maswali akawambia mtt atapona akampatia dawa kama sku tatu mtt akawa frsh kabsa
mkuu natamani unielekeze maana jana nilivyotoa hii post hatujalala hadi mda huu saa 10 alfaji mtoto ndio anapata usingizi tena kalala mwenyewe vizuri kama sio yeye alie kuwa anasumbua
 
Back
Top Bottom