Mkuu hizi ni changamoto za kawaida sana kwetu sisi wazazi.ndugu nimehangaika sehemu tofauti tofauti bila mafanikio natamani sana haya mazonge yaishe usiku usiwe kama adhabu kwetu
ni hatari mkuu acha tu hapa ndio kumekucha hakuna kulalaKuna mwaka niliwahi kumlea mtoto wetu wa miezi 5 kwa miezi sita nikiwa mwenyewe mkuu....
Hakuna rangi niliacha kuiona na hakika nilijifunza mengi sana kwenye malezi.
Hebu jaribu kubadilisha mazingira tafadhali, hebu safiri kwenda kwa Ndugu zako at least nje ya mkoashukrani mkuu ngoja nifanye hivyo nione kama nitaona mabdiliko
mkuu mtoto anazidi kudhoofika bila sababu za msingi inauma mkuuMkuu hizi ni changamoto za kawaida sana kwetu sisi wazazi.
Na usijaribu kuingia kwenye imani hizo za ajabu, kwani amini hapo ndipo anguko lako litakapo tokea
unaweza shinda nae mchana vizur kabisa,usiku analianzisha tu,tena usiku mneneKuna mwaka niliwahi kumlea mtoto wetu wa miezi 5 kwa miezi sita nikiwa mwenyewe mkuu....
Hakuna rangi niliacha kuiona na hakika nilijifunza mengi sana kwenye malezi.
tayari ila bado sijaona matokeo chanyaMkuu umeshajaribu kumtaftia dawa za kienyeji?
Pole sana, basi utuache sisi na ujaribu kuzingatia machache ambayo wadau wamekushauri hapo juu.ni hatari mkuu acha tu hapa ndio kumekucha hakuna kulala
mkuu mm wa kwangu ndio ameanza mda huu anataka unyenyue utembetembe sio usimameunaweza shinda nae mchana vizur kabisa,usiku analianzisha tu,tena usiku mnene
Kama wewe ni mtumishi nina uhakima haujapata mtu sahihi wa kukulelea mtoto wakati unapo kua kazini ndio maana anadumaa na anakua nyuma kukua ukilinganisha na umri wake sababu ya kukosa lishe.mkuu mtoto anazidi kudhoofika bila sababu za msingi inauma mkuu
Pole sana, jaribu kufata maelekezo ya wadau hapo,pia angalia na aina ya vyakula unavyompa labda sio rafikimkuu mm wa kwangu ndio ameanza mda huu anataka unyenyue utembetembe sio usimame
Pole sanavkwa changamoto unazopitia.ndugu poleni na mjukum ya kutwa nzima.
wapendwa hii sasa imenizidi nguvu siku ya tatu sasa sijafanya kazi yoyote.
mwanangu na umri wa mwaka na miezi 4 kuikweli huyu mtoto sijajua shida nini hasa nimejaribu kwa madaktari bingwa wa watoto sijabahatikaa kuona tofauti yoyote nimejaribu kuingia kwenye maombi napo bado sijaona tofauti changamoto zinazo mkabili ni
...kulia sana usiku na kukohoa hadi kutapika usiku
hili ikifika mida ya saa 4 mtoto anashtuka na kuanza kulia sana namkumbatia anaendelea kulala hapiti mda anashtuka analia hadi kunakucha nimwendo huo hua analala nashtuka na kulia ila ikifika saa 10 anaanza kukohoa sana kana kwamba kuna kitu kimemkaba hadi anatapika ndio anakaa sawa.
2.hatambai wala hatembei
ndugu zangu nampenda sana mwanangu cha ajabu kila napo anapotaka kutambaaa anaanza kuumwa .
3. hali ugali bila maji
mwanangu hawezi kula ugali bila maji yaani hawesi kuumeza bila maji hata uwe mlaini vipi.
kunywa uji au juisi hataki hata viwe vitam kiasi gani.
NIMEHANGAIKA SANA JUU YA HUYU MTOTO LAKINI SIJAPATA MABADILIKO.
sasa ani saa 3 mtoto anaanza kulia hadi kunakucha
NAOMBENI MSAADA WENU NDUGU ZANGU
Mkuu kwa ulivyoeleza huo ni mchango unaoweza kusababisha kifafa mtoto akikuatayari ila bado sijaona matokeo chanya
ana kilo 8Pole sanavkwa changamoto unazopitia.
Hayo maswali yanaweza kuksaidia kutafta chanzo kiutalamu
1 .KWanza mtoto wa mwaka 1 anatakiwa awe na kilo angalau 10 na kuendelea.wako ana ngp?
2 . Mwaka 1 na miezi. 4 na hajaanza kutambaa hapo tunasema kachelewa kwenye stage ya ukuuaji tena sana(delayed millestone). Sahvi anawez kufany nn upand wa ukuuaji? Ashawahi kuugua utapiamulo?
(Kama bado ypo legelege kwenye mikono au miguu au upande mmja wa mwili ni dhaifu ndo hio ishu ya utindio wa ubongo/celebral palsy inaibuka)
3 . Hio kukohoa na kutapika. Nawez kusem inawezekan kua n hali ya utumbo haujakaa sawa kumeng'enya chakula vzri ila kuna watoto uzaliw na changamoto z utumbo kujikunja. Choo anapata? Ulimnyonyesha miez 6 ya mwanzo bila kumpa chochte?
4 . Kwako mama, Kipindi cha ujauzito wake uliwahi kuugua? Ulimzaa ana kilo ngapi? Ulijifungulia hospitali au nyumbani? Chanjo amepata ipasavyo?
5 . Ulijifungua kwa njia y kawaida au operation? Mtoto alichelea kulia baada y kutoka tumboni? Kwenye kitovu hajawahi shida kam kupata usaha. Ashawahi kua na manjano?
ILA kama hayo yote yapo vzri mtaalamu ausike ktafta chanzo maana sio kawaida.