cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Sasa kinyume chake, wengi ndo wanaojirahisisha, na wachache ndo wanalazimishwa, hata mie nnao nilosoma nao, na nlishuhudia pia kuhusiana na nnacho kizungumza.Mimi sasa nimesoma na dem alikuwa anawekewa sifuri tu na HOD for ni reason sababu tu lect Alikuwa akimtaka demu, alikaza sana mwsho wa siku aliamua ku surrender na hata akienda kushtaki hakuna anayemsikiliza.
Japo sikatai wapo wanaojirahisisha ila wengi huwa ni wa kulazimishwa