The Lastdream
JF-Expert Member
- Jan 23, 2024
- 1,970
- 4,616
OkTia maji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkTia maji
Hata mie nnachokizungumzia hapa nimeshaona na kushuhudia kwa ukaribu, na sio hadithi.Hakika sababu nimeshaona na si Hadith.
Tena si kuishia kuwa kahaba na ukimwi juu na ukimuona alivyo huwezi kukubali huyu ni muathirika
Sitakii na sihitajiiUnataka kupelekwa kitonga?
Ni kweli kuna siku sister mmoja kanipigia Simu anaumwa akasema hawezi kudrive nimfuate kumbe alikua anafanya abortion anakuja kunambia baada ya mwezi hivi hapo hapo Marie stopesKuna kasumba niliwahi kuisikia na leo hapa naisikia kwako kua MARIE STOPES HOSPITALS wanaongoza kwa ABORTION sijui ni kweli au vipi?
Mnakataa kuongea uhalisia. Hakuna mwenye muda wa kusikiliza, hata uende kusema wapiWapo wanaojitegesha wenyewe mzee
Na kuna hali zikitokea ke hatoweza kumshtaki lecturer, akimshtaki lect. anakosa kazi, ke anakosa chuo
Fikiria labda hajafanya test, hakutoa taarifa, hapa kete zote ziko kwa lect. ke akienda kushtaki lect. akishafukuzwa na yeye anadisco
Si pointiHata mie nnachokizungumzia hapa nimeshaona na kushuhudia kwa ukaribu, na sio hadithi.
Labda alikua na sababu zake zingne, asisingizie kunyanyaswa kingono, mbona wako walio wahi nyanyaswa na hawapo ktk ukahaba na umalayaa,
Au makahaba na Malaya wote hawa duniani walinyanyaswa kingono?
Wapo wanao watega, na wapo wanao lazimishwa au kunyanyaswa ila wengi wao wana watega na kuwawinda wenyewe.Kwa hio UDSM wanafunzi wanawatega walimu?
NI KWELIKuna kasumba niliwahi kuisikia na leo hapa naisikia kwako kua MARIE STOPES HOSPITALS wanaongoza kwa ABORTION sijui ni kweli au vipi?
chuo nilichopo kuna kitoto kilikutwa kwenye dustbinKuna mmoja nilimuuliza kuhusu abortion÷alisema kama abortion isingekuwepo mneenda kuokota vitoto vingi maeneo ya chuo,
Kumbe unajua hilo? Kunyanyaswa kingono sio go ahead ya kuwa Malaya au kahaba? Bas sasa na case imefungwa.Si pointi
Mbona nimemelelewa na baba mlevi lakini mm s mlevi.
Hata hao wanaojirahisisha huenda kuna sababu ambayo iliwafanya waanze kuwa hivyo. Nafikiri point kubwa ni walijikuta vipi katika hali hiyo?
Kumbe sababu kuu ni umaskini?siwez kukupingaKumbe unajua hilo? Kunyanyaswa kingono sio go ahead ya kuwa Malaya au kahaba? Bas sasa na case imefungwa.
Wanaojirahisisha sababu iko wazi na nimeisema huko juu, ni Kutaka kitonga cha PESA na KUFAULISHWA.
au sababuu kuu ni UMASKINI.
Magufuli aliwatimua sababu ni hiyo.Kwan hyo s abortion clinic.. hata kaul mbiu yao ni UZAZI KWA MPANGO nliwah ona kwenye gar yao.
Nakubaliana na wewe. Mhadhiri anatoa seminar groups. binti hajiungi na group wala kuchukua swali. Dakika za majeruhi anaenda kwa lecturer kuomba asaidiwe maana hana maksi za seminar. Wanatakiwa wahudhurie, binti hahudhurii na hakuna sababu za msingi baadaye anaenda kwa mhadhiri kujisoundisha vijisababu kibao. Wanafanya test anafeli kihalali alafu anaenda kujipeleka kwa mwalimu amsaidie maana asipofikisha maksi zinazotakiwa anacarry course. Sasa hapo huyo mhadhiri siyo malaika na yeye atashawishika, kumbuka huyo binti siku ya kwenda ofisini kwa mwalimu atajipiga make up hatari, unyunyu wa kufa mtu akiingia ofcn ofisi yote inasambaa manukato, vazi alilovaa jamaa akiangalia...... mwishowe lazima jamaa ajichukulie point 3 za mezani.Naijibu no 2, na ndo mada husika, hii ipo ila sio kwa kiwango ambacho mnaaminishana hapa, mnawalaumu buree wazee wa watu, mabinti zenu ndo konkodi wa kuwatega na kuwawinda hao wakufunzi ili wapate kitonga cha pesa na kufaulishwa.
Siutakii unafikiii mie.
Mdogo ako kama anasoma BAED au LAW na ana rangi kidogo na wowowo kdg bas ameisha😂😂😂😂Hii ni issue ambayo currently inamsumbua mdogo wangu anaesoma St Augustine.
uongo wenye ukweli 80%Huuu ni uwongo Mtupu, ukweli ni 0.001%
Watoto wakike wengi kunyanyaswa kingono na ma lecture na na prof ni tatizo kubwa.
Wengi ambao hawarubuniwi ni wale ambao uhuru unawaendesha Hakuna mtu wa kuwafatilia, hawana elimu ya uzazi wa mpango mwisho wa siku wanaingia kwenye makundi.
ILA wengi huwa wanaaanza na kunyanyaswa kwanza anajiona ana thamani tena anadumbukia kwenye wimbi la ukahaba.
ma lecture wamejaa umeme na na prof kazi yao ni kuharibu watoto tu huu ni ukweli mchungu. Tumeshaona mabinti wanatoka nyumbani wapo vzuri wanaacha chuo baada ya kujigundua wameathirika anajiona hana tena thamani anaanza kujiuza.
Wewe labda ujakaa na wengi watoto wa UDSM wakuambie walianza vipi ukahaba