Eddy da Rose Jr
JF-Expert Member
- Jun 1, 2023
- 244
- 248
Duh,,, pole sana, hii kitu inachanganya sana watuHii ni issue ambayo currently inamsumbua mdogo wangu anaesoma St Augustine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh,,, pole sana, hii kitu inachanganya sana watuHii ni issue ambayo currently inamsumbua mdogo wangu anaesoma St Augustine.
imagine kama hako kamalaya kanakimbia hatma yake kisa kameshea bwana na mwanafunzi mwenzake.Si kweli tumepita huko watoto wakike wanateseka mno jinsi hata inavyosemwa, kuna lecture alikuwa anawatishia ivo ivo Halafu anakula wawili na s wanajuana mmoja Akaacha chuo, wanateseka sana sana.
Wanaume huwa sijui tunafeli wapi
😂soma tena mkuu chanzoimagine kama hako kamalaya kanakimbia hatma yake kisa kameshea bwana na mwanafunzi mwenzake.
kwani mkufunzi alikaambia amekaoa?
Mkuu huyu ulimsaidiaje? Bila ushahidi usio na shaka hii nayo itakuwa stori kama stori zingine tu.Mimi sasa nimesoma na dem alikuwa anawekewa sifuri tu na HOD for ni reason sababu tu lect Alikuwa akimtaka demu, alikaza sana mwsho wa siku aliamua ku surrender na hata akienda kushtaki hakuna anayemsikiliza.
Japo sikatai wapo wanaojirahisisha ila wengi huwa ni wa kulazimishwa
Kwamba hii ndio ikawapelekea kupenda vibosile? Ukiacha uongo utawasaidia sana.Sasa kabla ya hapo uliza stori zao zilikuwaje wakaingia kwenye hayo.
1. Kushindwa kujisimamia uhuru walioupata
2. Kunyanyaswa kingono
3.makundi
ushahidi wa kwamba? Si lazima uamini, ila tumeishi tukiona hayo, hata akifika kwa principal kulalamika hakuna hatua inayofatwa na sanasana atafokewa aache umalaya. Kama hukuwahi kusikia habari hizi pole Ndugu.Mkuu huyu ulimsaidiaje? Bila ushahidi usio na shaka hii nayo itakuwa stori kama stori zingine tu.
Pole ndugu si lazima uamini kila kituKwamba hii ndio ikawapelekea kupenda vibosile? Ukiacha uongo utawasaidia sana.
Ngono ni tabia ya asili ya mwanadamu. Aifanyeje, ni jamii ndio huweka mipaka. Kwa sababu hiyo mwanafunzi ww chuo kikuu kuwa Malaya huwezi kuwalaumu waalimu wake. Tatizo linaanzia mbali zaidi ya hapo. Pia hakuna utafiti wowote uliotoa uhusiano kati ya kunyanyaswa kingono na umalaya hasa wa kupenda watu wenye pesa. Kinyume chake ni kwamba mtu aliyewahi kunyanyaswa kingono anaweza asiipende ngono kabisa na yote yanayoambatana na tendo la ngono ikiwemo ndoa.Ndio maana nikasema hiv kabla ya hapo ungeuliza walianzaje?
Sikatai kama wanazo hizo tabia shida ilianzaje?
Ngono ni tabia ya asili ya mwanadamu. Aifanyeje, ni jamii ndio huweka mipaka. Kwa sababu hiyo mwanafunzi ww chuo kikuu kuwa Malaya huwezi kuwalaumu waalimu wake. Tatizo linaanzia mbali zaidi ya hapo. Pia hakuna utafiti wowote uliotoa uhusiano kati ya kunyanyaswa kingono na umalaya hasa wa kupenda watu wenye pesa. Kinyume chake ni kwamba mtu aliyewahi kunyanyaswa kingono anaweza asiipende ngono kabisa na yote yanayoambatana na tendo la ngono ikiwemo ndoa.
Hapo ni baadhi tu, wapo wengi tu chanzo chake kilianzia kuwa abused, lakini sio lazima iwe chuo hata nje ya hapo na akajikuta taratibu anajiona hana thamani na anatumbukia hukoNgono ni tabia ya asili ya mwanadamu. Aifanyeje, ni jamii ndio huweka mipaka. Kwa sababu hiyo mwanafunzi ww chuo kikuu kuwa Malaya huwezi kuwalaumu waalimu wake. Tatizo linaanzia mbali zaidi ya hapo. Pia hakuna utafiti wowote uliotoa uhusiano kati ya kunyanyaswa kingono na umalaya hasa wa kupenda watu wenye pesa. Kinyume chake ni kwamba mtu aliyewahi kunyanyaswa kingono anaweza asiipende ngono kabisa na yote yanayoambatana na tendo la ngono ikiwemo ndoa.
AffirmativeTatizo ni wazuri sana, na wakishamaliza chuo huwapati tena! [emoji16]
Ni mwaka jana tu hapa dogo aliteseka sana, mkufunzi ubwabwa ningetaja chuo na kozi ila ngoja niachane nao maana ni aibu.
Hawasomi wanajificha kwenye kivuli cha rushwa ya ngono.Madogo wenyewe hawataki kusoma, tukiwatia rula wanakegeza macho.
Wawe siriazi na shule ili wasiliwe ovyooooooo
Hatari sanaNi mwaka jana tu hapa dogo aliteseka sana, mkufunzi ubwabwa ningetaja chuo na kozi ila ngoja niachane nao maana ni aibu.
Ndio tupo kwenye harakati, atajaa tu.kweli umeshindwa kuisolve hii, mwambie mdogo wako amkubalie, waende lodge ,mkifumania mnamrekodi,, ,,so mkiwa na video zake mdogo wako atapewa favour balaa ili zisivuje
Wanao nyanyaswa wapo na hawasikilizwi ni kweli, ila wanao amua kwa dhati wanasikilizwa.Kumbe sababu kuu ni umaskini?siwez kukupinga
ILA wengi wananyanyaswa na hakuna anayewasikiliza
Ukweli lazima usemwee.Nakubaliana na wewe. Mhadhiri anatoa seminar groups. binti hajiungi na group wala kuchukua swali. Dakika za majeruhi anaenda kwa lecturer kuomba asaidiwe maana hana maksi za seminar. Wanatakiwa wahudhurie, binti hahudhurii na hakuna sababu za msingi baadaye anaenda kwa mhadhiri kujisoundisha vijisababu kibao. Wanafanya test anafeli kihalali alafu anaenda kujipeleka kwa mwalimu amsaidie maana asipofikisha maksi zinazotakiwa anacarry course. Sasa hapo huyo mhadhiri siyo malaika na yeye atashawishika, kumbuka huyo binti siku ya kwenda ofisini kwa mwalimu atajipiga make up hatari, unyunyu wa kufa mtu akiingia ofcn ofisi yote inasambaa manukato, vazi alilovaa jamaa akiangalia...... mwishowe lazima jamaa ajichukulie point 3 za mezani.