cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Full tafranii yaan.Malecture vyuoni huko wanawazibua watoto wa kike mitaro aise
Hivi hiyo mosambwanda wataiachaje achaje...
Mimba + umeme juu wanawaachia [emoji1]
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full tafranii yaan.Malecture vyuoni huko wanawazibua watoto wa kike mitaro aise
Hivi hiyo mosambwanda wataiachaje achaje...
Mimba + umeme juu wanawaachia [emoji1]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] jamaniiiMwqnqfunzi anavaa mpasuo
Mipaja nje,tako kubwa anamtingishia
Lecture...sasa hapo atamuacha kweli
Lazima mwishowe ataenda kumzibua mtaro
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.Wanafunzi wenyewe wanachangia wakati mwingine.... wanajipeleka.
Kuna dada mmoja niliwahi kusoma nae, tukafanya test ya kozi Moja inaitwa tax Law, Zaidi ya robo tatu ya darasa tuliscore below 5 out of 20.
Then Kuna kidada kimoja kikamfuata lecturer ofisini kumuomba eti akipe test nyingine ofisini kifanye .... chenyewe kilipata 4, lecturer alichofanya akamchukua akaja nae class akasimulia mbele yake,dada akabaki kulia tu.
Sasa mtu kama Huyo akiliwa jamii inalalamika, Hamna mtu wa kukupa favour buree. Ukitaka kula lazima uliwe hiyo ndo kanuni ya dunia.
Kuna siku Moja nimepanda bus na vitoto vilivyokuwa vinamaliza form six, Vinapingiana kabisa kuwa eti lazima vi date na lecturer au rais wa chuo[emoji23][emoji23]
Ukweli lazima usemwee.
Hapo zamani kidogo wahadhiri ndio walikuwa wakitongoza na kusumbua wanafunzi na hata kuwanyanyasa kimasomo pale wanapokataliwa. Lakini kwa sasa watoto wa kike ndio wanawasumbua sana wahadhiri tena wanaomba wenyewe kutoa miili yao wakitafuta kufaulu.
Watoto wa kike wa zama hii wanaamini kupitia miili yao wanaweza kupata chochote watakacho, ni tatizo kubwa sana!
Hawasomi wanakesha kwenye starehe na mwisho wakipata masifuri kwenye mitihani yao wanaweka camp kwenye ofisi na simu za wahadhiri wakiwashawishi na kuwategeshea ngono ili wapate alama nzuri.
Nachukia sana kusema hili kwakuwa nina watoto wa kike, ila asilimia kubwa ya mabinti wenye alama nzuri vyuoni, alama zao mashaka sana. Binti ana A ya somo fulani ila vitu vidogo tu kwenye hilo somo havijui.
Hakuna mhadhiri anaweza kumnyanyasa kingono na hata kumfelisha binti makini anayesoma na kuhudhuria vipindi vyake vyote.
Ilikuajee? Nahitaji kufahamu.Kuna dogo alikuwa analazimishwa kumla mkufunzi shoga, mkufunzi alipokataliwa dogo alibakizwa chuo hakuhitimu.
Nilimshauri aende Takukuru maana alikuwa na hadi text za whatsApp sijui aliishia wapi na zaga lake.
Ukweli lazima usemwee.Wanawake wengi hucheza kitu tunaita 'victim card'. Hata mke wa mtu akijitongozesha kwako, atasema yeye ni mhanga wa mambo fulani ili umuonee huruma. Ndio hawa watoto sasa. Kuna matukio makubwa tu.
Kuna mwanafunzi (KE) aliwahi kuingia kwenye gari ya mhadhiri aende nae kwake akapewe mambo. Mwalimu ilibidi atumie ujanja kumkimbia.
Kuna tukio jingine siwezi lisema sana ila mwalimu alishawishiwa. Alivyojaa, akapigwa tukio na kuwa blackmailed. Ilibidi a comply na demands za mwanafunzi na genge lake ili alinde utu wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lecturer anamtaka jamaa, jamaa hajamuelewa si atulizane tyuuh, wakubwa wenzie hawaoni?
Hebu fungukaaa bhanaaa,Ni mwaka jana tu hapa dogo aliteseka sana, mkufunzi ubwabwa ningetaja chuo na kozi ila ngoja niachane nao maana ni aibu.
Wenye chuo chao mjini watakuja kulalamika juu ya mkufunzi wao waliyempeleka nchi ya ukomunisti kujifunza sayansi ya viwanda vya kushona nguo.Hebu fungukaaa bhanaaa,
Hili kila mtu analijua.
Nina rafiki yangu yeye alienda kuomba nafasi hotel moja hapa dsm. Alipofika kule kama kawaida manager akamwambia nipe nikupe. Demu akanipigia nimeambiwa moja mbili tatu. Nikamwambia mshkaj wangu usijaribu utaishia kuwa mtumwa wa ngono, sababu ukimpa ngono ili upate kazi kila atakapokuhitaji lazima ufanye hivyo na huwez kumkatalia sahiv yupo zake anasuka kila sehemu anayoenda wanamtaka ngono. Vyeti kafungia kaamua awe msusi
Hata mie nnachokizungumzia hapa nimeshaona na kushuhudia kwa ukaribu, na sio hadithi.
Labda alikua na sababu zake zingne, asisingizie kunyanyaswa kingono, mbona wako walio wahi nyanyaswa na hawapo ktk ukahaba na umalayaa,
Au makahaba na Malaya wote hawa duniani walinyanyaswa kingono?
Tena kisha baadaye wanakuja kuwaajiri na kuendeleza hizo tabia huku wakiwapa vyeo na promotions za haraka haraka...Duh mkuu kumbe hao ma prof ni source ya dada zetu kujiuza.wengi wanaojiuza ni wameathrika na kukata tamaa?
Ni watoto, umesema; je si matokeo ya malezi ya jamii nzima? They are just victims of circumstancesHakuna anaerubuniwa bali watoto wa siku hizi hawana mshipa wa aibu.ni wakware mno.
Hawataki kusoma.
Ukitaka kuujua ukweli nenda hospitali kama MARIE STOPES mwenge upate record za abortion na magonjwa ya zinaa kwa siku wanafunzi wa Ustawi wa jamii kijitonyama.
Unaweza usimpeleke mtoto chuo..
Pia uliza walinzi wa pale chuo upate taarifa.
Yani bila hata rushwa wenyewe wanaomba kufanyiwa hayo mambo.
Wanafanya INVITATION TO TREAT ie wanaacha kila kitu waz ili ushoboke nao wakuweke mtu kati uwape majibu.
Kwa ustawi hadi walezi wamechoka kuona mambo ya hovyo yanayofanywa na wale watoto.
Itafika mahali hata uzao utakuwa shida.
Kuna mmoja nilimuuliza kuhusu abortion÷alisema kama abortion isingekuwepo mneenda kuokota vitoto vingi maeneo ya chuo,
Hatari sana
Kwa hiyo wanapoenda vyuoni wanakuwa mabikira sio? kwamba wanaanza kuzibuliwa chuoni. Hizo ni chuki binafsi, hao mabinti wenyewe siku hizi wanaanza kufanya mapenzi darasa la 4 hadi 7. sekondari inakuwa uchumba kabisa akija chuo k ishalegea alafu mnasingizia wahadhiri.Malecture vyuoni huko wanawazibua watoto wa kike mitaro aise
Hivi hiyo mosambwanda wataiachaje achaje...
Mimba + umeme juu wanawaachia [emoji1]
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23] chuo kipi weka code, kuna kitu nataka kudukua.Wenye chuo chao mjini watakuja kulalamika juu ya mkufunzi wao waliyempeleka nchi ya ukomunisti kujifunza sayansi ya viwanda vya kushona nguo.
Ni kweli kabisaa,Uko sahihi ni Tabia ya mtu tu.
Acha wahadhiri wawazibue tuKwa hiyo wanapoenda vyuoni wanakuwa mabikira sio? kwamba wanaanza kuzibuliwa chuoni. Hizo ni chuki binafsi, hao mabinti wenyewe siku hizi wanaanza kufanya mapenzi darasa la 4 hadi 7. sekondari inakuwa uchumba kabisa akija chuo k ishalegea alafu mnasingizia wahadhiri.
sifungui code zaidi ya hapo Mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] chuo kipi weka code, kuna kitu nataka kudukua.
Unyanyasaji wa kijinsia na rushwa ya ngono vipo vyuoni. Acheni upumbavu wa kujificha kwenye kivuli cha wanataka wenyewe sijui hawasomi. Aliyewaambia dawa ya kutosoma ni ngono nani?Hakuna anaerubuniwa bali watoto wa siku hizi hawana mshipa wa aibu.ni wakware mno.
Hawataki kusoma.
Ukitaka kuujua ukweli nenda hospitali kama MARIE STOPES mwenge upate record za abortion na magonjwa ya zinaa kwa siku wanafunzi wa Ustawi wa jamii kijitonyama.
Unaweza usimpeleke mtoto chuo..
Pia uliza walinzi wa pale chuo upate taarifa.
Yani bila hata rushwa wenyewe wanaomba kufanyiwa hayo mambo.
Wanafanya INVITATION TO TREAT ie wanaacha kila kitu waz ili ushoboke nao wakuweke mtu kati uwape majibu.
Kwa ustawi hadi walezi wamechoka kuona mambo ya hovyo yanayofanywa na wale watoto.
Itafika mahali hata uzao utakuwa shida.
Kuna mmoja nilimuuliza kuhusu abortion÷alisema kama abortion isingekuwepo mneenda kuokota vitoto vingi maeneo ya chuo,
Hatari sana
Mkufunzi mwingine alimwambia J E baada ya kumuuliza yuko wapi kwenye kipindi chake hakuonekana na J E akawa yupo kwake, mkufunzi mwanaume eti "nimekumiss leo nimeamua kupika natamani uje uonje chakula changu". Si upuuzi kabisa huoKuna dogo alikuwa analazimishwa kumla mkufunzi shoga, mkufunzi alipokataliwa dogo alibakizwa chuo hakuhitimu.
Nilimshauri aende Takukuru maana alikuwa na hadi text za whatsApp sijui aliishia wapi na zaga lake.