GUI1
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 4,007
- 5,290
Mkuu tukubli pia hawa watoto wakifika chuo ule uhuru una wasumbua sana. Hao malecturer uharibifu wao unaweza kuwa mdogo sana.Huuu ni uwongo Mtupu, ukweli ni 0.001%
Watoto wakike wengi kunyanyaswa kingono na ma lecture na na prof ni tatizo kubwa.
Wengi ambao hawarubuniwi ni wale ambao uhuru unawaendesha Hakuna mtu wa kuwafatilia, hawana elimu ya uzazi wa mpango mwisho wa siku wanaingia kwenye makundi.
ILA wengi huwa wanaaanza na kunyanyaswa kwanza anajiona ana thamani tena anadumbukia kwenye wimbi la ukahaba.
ma lecture wamejaa umeme na na prof kazi yao ni kuharibu watoto tu huu ni ukweli mchungu. Tumeshaona mabinti wanatoka nyumbani wapo vzuri wanaacha chuo baada ya kujigundua wameathirika anajiona hana tena thamani anaanza kujiuza.
Wewe labda ujakaa na wengi watoto wa UDSM wakuambie walianza vipi ukahaba
Night club nyingi wanajaa wao, ni malaya wa Zuri sana.
Labda kama hao ma lecturer kutembea nao ndio shida lkn kwa watu wengine ni halali