Changamoto ya rushwa ya ngono vyuoni tuaniomba TAKUKURU ifanye uchunguzi

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapo sasa.
 
Ukweli lazima usemwee.
 
Kuna dogo alikuwa analazimishwa kumla mkufunzi shoga, mkufunzi alipokataliwa dogo alibakizwa chuo hakuhitimu.

Nilimshauri aende Takukuru maana alikuwa na hadi text za whatsApp sijui aliishia wapi na zaga lake.
Ilikuajee? Nahitaji kufahamu.
 
Ukweli lazima usemwee.
 
Duh lecturer alikuwa panga
Hii aione cocastic aje ajazie
Nyama [emoji1]

Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] lecturer anamtaka jamaa, jamaa hajamuelewa si atulizane tyuuh, wakubwa wenzie hawaoni?
Au km anataka vijana si atafute wengine, hapo chuo yuko huyo jamaa tyuuh.

Huyo lecturer kazingua sana, sijui alifeli wapii.
 
Duh ni changamoto aisee hasa kwa mabinti.alisomea coz gani?
 
Uko sahihi ni Tabia ya mtu tu.
 
Duh mkuu kumbe hao ma prof ni source ya dada zetu kujiuza.wengi wanaojiuza ni wameathrika na kukata tamaa?
Tena kisha baadaye wanakuja kuwaajiri na kuendeleza hizo tabia huku wakiwapa vyeo na promotions za haraka haraka...

Kuna rushwa ya ngono ambayo imekuwa consistent na institutionalized vyuo vikuu; sijui kwanini mifumo yake imepwaya hivi...Kuna vitu vya wazi kabisa lakini hakuna actions zozote zinachukukiwa na watu wanaendelea kutamalaki
 
Ni watoto, umesema; je si matokeo ya malezi ya jamii nzima? They are just victims of circumstances
 
Malecture vyuoni huko wanawazibua watoto wa kike mitaro aise
Hivi hiyo mosambwanda wataiachaje achaje...
Mimba + umeme juu wanawaachia [emoji1]

Ova
Kwa hiyo wanapoenda vyuoni wanakuwa mabikira sio? kwamba wanaanza kuzibuliwa chuoni. Hizo ni chuki binafsi, hao mabinti wenyewe siku hizi wanaanza kufanya mapenzi darasa la 4 hadi 7. sekondari inakuwa uchumba kabisa akija chuo k ishalegea alafu mnasingizia wahadhiri.
 
Acha wahadhiri wawazibue tu
Hata badaye wakiwa watu fulani hko
Serikalini lakini washazibuliwaaaa

Ova
 
Unyanyasaji wa kijinsia na rushwa ya ngono vipo vyuoni. Acheni upumbavu wa kujificha kwenye kivuli cha wanataka wenyewe sijui hawasomi. Aliyewaambia dawa ya kutosoma ni ngono nani?

Mwanachuo kutoa mimba na kupata magonjwa ya zinaa inatibiwa kwa kulala na lecturer?
 
Kuna dogo alikuwa analazimishwa kumla mkufunzi shoga, mkufunzi alipokataliwa dogo alibakizwa chuo hakuhitimu.

Nilimshauri aende Takukuru maana alikuwa na hadi text za whatsApp sijui aliishia wapi na zaga lake.
Mkufunzi mwingine alimwambia J E baada ya kumuuliza yuko wapi kwenye kipindi chake hakuonekana na J E akawa yupo kwake, mkufunzi mwanaume eti "nimekumiss leo nimeamua kupika natamani uje uonje chakula changu". Si upuuzi kabisa huo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…