The Khoisan
JF-Expert Member
- Jun 5, 2007
- 16,434
- 14,547
Unaendelea kuonyesha ujinga wako. Bora ungegoogle kwanza kabla ya Kuja na huo ujinga humu.Wewe ndiye unaonesha hujasoma shule na kama ulisoma basi ulisoma ujinga. Hiyo geographia huijui. Kwa kukuelimisha kidogo ni kuwa kwa kawaida mito yote hupeleka maji aidha kwenye maziwa au baharini. Ziwa Victoria, ambalo ndiyo ziwa la maji baridi kubwa la tatu duniani, hupokea maji yake kutoka mito zaidi ya mia moja ya nchi za Tanzania, Kenya na Uganda. Tanzania ndiyo inayoongoza kwa kuwa na idadi kubwa ya mito inayopeleka maji hayo ziwa victoria ikiwemo Mto Mara, Mto Simiyu, Mto Mirongo, Mto Manonga na Mto Kagera - kwa kutaja michache.
Mto Nile ndiyo mto pekee duniani ambao badala ya kupeleka maji ziwani au baharini kama ilivyo mito mingine, mto huu hutoa maji Ziwa Victoria na kuyapeleka kwenye bahari la Mediterranean ukianzia kwenye Mto Kagera na kupitia Uganda, Sudan, Ethiopia na Egypt. Bila kuwepo kwa mto Nile kuyapeleka maji haya ya Ziwa Victoria barahirini, ziwa hili lingalifurika na kuifanya Tanzania yote kuwa bahari. Hii ndiyo design ya Muumba wetu wa dunia na anga. Mto huu pia unajulikana kama the Blue River. Ndiyo mto mrefu kuliko mito mingine yote duniani.
Ethiopia na Egypt wanategemea sana mto huu wa Nile kwa uhai wao kwani nchi hizo ni za ukame throughout. Hawa chanzo kingine cha maji. Wakichimba visima wanapata mafuta badala ya maji. Kwa kutumia mto Nile unaotoka kwetu wanazalisha umeme mwingi ambao wataanza kutuuzia sisi. Pia mafuta yao wanatuuzia kupitia OPEC.
NB: Jaribu basi angalao google: 'The Grand Ethiopean Renaissance Dam'. Utaona ujinga wako uliousoma shuleni uliokurukupa kuuleta hapa.
Kwa kukusadia tu Google White Nile na blue Nile. Ukijua tofauti rudi uapologize...!!