Unaweza kufukia kumbe ni raia mwema tuu ukalichafua gari kwa mafiHapo usisimame, kanyaga mafuta tu, kipindi cha nyuma barabara ya Dar - Bagamoyo -Msata mambo hayo yalikuwepo muda wa kuanzia saa 6 hadi 8 usiku dawa we fukia tu
Hapo usisimame, kanyaga mafuta tu, kipindi cha nyuma barabara ya Dar - Bagamoyo -Msata mambo hayo yalikuwepo muda wa kuanzia saa 6 hadi 8 usiku dawa we fukia tu
Dar Bagamoyo saa 8 usiku unakutana na mwanamke kavaa baibui jeusi peke yake katikati ya barabara unamfanyaje huyo? kadri unavyokaribia anasogea kurudi nyuma, sisimami.unaweza kufukia kumbe ni raia mwema tuu ukalichafua gari kwa mafi
Kichaa anavaa baibui usiku au shuka nyeupe? tembea uone au uliza wa wasafirishaji wa magazetiWatanzania wengi mnaamini Sana ushirikina. Ukiangalia comments hapa utajua tulivyo na upeo mdogo.
Tutambue Tanzania tunaruhusiwa kutembea muda wowote usiku na mchana, hivyo kumkuta mtu usiku njiani Wala sio kitu Cha ajabu kukufanya umgonge.
Pili Tanzania sera yetu ya kutunza wagonjwa wa akili ni mbovu Sana. Kuna kichaa anatembea eneo la hifadhi ya mikumi Sasa ukikutana nae utasema ni msukule, kumbe kichaa tu. Hivyo hivyo na vichaa sehemu zingine za nchi.
Tatu Kuna watu wanafukuzwa kwa Ndugu zao usiku wanaamua kufanya maamuzi magumu kwenda kwa Ndugu zao kwengineko tukiwakuta tunataka kuwagonga eti wanga.
Mwisho Kuna walevi ambao wkaiwa wanatembea usiku kwenye Giza linapotokea gari ule Mwanga unawasumbua na kuwafanya waweweseke, tunataka kuwagonga eti ni wanga.
By the way wanga huwezi waona, wakitaka kukumaliza watakuja Kama punda, fisi, Ngombe etc ukiwagonga shida, ukiwakwepa shida
Mimi nimetembea nchi nzima usiku nafahamu ninayoongea, sio story za kusadikika Kama unachotaka kusema.Kichaa anavaa baibui usiku au shuka nyeupe? tembea uone au uliza wa wasafirishaji wa magazeti