Changamoto za barabarani usiku mkubwa

Changamoto za barabarani usiku mkubwa

Ukishamiliki gari tu na ukawa na safari za usiku, chagua moja... Kumiliki Nguvu za Mungu au shetani ili usisumbuke na vitu kama hivyo uwapo safarini. Haijalishi ni upcoucountry au ndani ya mji
Out of ur point....ukishaamua kuwa staff member + biashara chagua moja pia.[emoji120]
 
Hiyo njia

Ukiendesha gari muda mrefu ukaona macho yanataka kufunga lazimisha next ten km. Kisha uniambie utakuwa umeona vibwengo vingapi.

Unapochoka ubongo unatabia ya kutaka kushutdown (ni Kama radiator umepata Moto Sana gari huzima). Katika process hiyo macho hushurutishwa kufunga na hapa ndipo utaanza kuona vitu vya ajabu ajabu kwa sababu ushirikiano n aubongo umekuwa ndogo hivyo tafsiri za ilichokiona inaweza isitafsiriwe sawia, hivyo Calvert utaona Kama ni mbwa etc tukilazimisha kidogo ajali tunaanza kusema Kuna mtu alikatiza

Nocturnal wengi wanajua ukiendesha every 2.5 - 3hrs simama stretch kidogovuta sigara, kojoa hutakaa uone hivyo vibwengo Ila tutakutana na vitu vya kweli.

Mfano: maeneo ya hedaru mpaka Mwanga kukutana na punda ni jambo la kawaida sio miujiza ni wanyama kweli.

Njia ya mkuranga Lindi Kuna wabeba mkaa na magogo wa hatari jiandae, Morogoro kongwa jiandae na matrekta vicheche na waswaga Ngombe usiku Dodoma babati Arusha Ngombe, wanyama pori. Tabora Urambo Kaliua Uvinza mifugo na vinyama vya porini. Kila njia inachangamoto zake za kweli sio vibwengo.

Ingawa sipangani na ukweli kwamba hao washirikina hawapo la hasha Ila tahadhari ni muhimu Sana uweze kutofautisha story za vijiweni na reality
Uko sawa kabisa ila sasa hapa issue imeanzia kwenye image ambayo imepigwa na camera. You mean ukishafikia hatua hiyo ya kuona hivyo ambavyo havipo na ambavyo huwa vina uwezo wa kuonekana tu kutokana na mabadiliko ya kwenye processor ya ubongo wako, the same matukio hayo yanaweza kuchukuliwa na smartphone camera pia?
 
Hii picha inasambaa kwenye magroup ya madereva. Kuna dereva mmoja kakutana na hii kitu akiwa safarini.

Mimi kuna siku natoka Tunduma kuja Mbeya nipo kwenye costa siti ya mbele SAA sita mchana jua Kali ghafla kwenye pori kaibuka mtoto miaka 5-7 kakatisha barabara dereva akamkwepa tukayumba sana ila hatukupinduka. Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?

Kila mtu akaanza kuomba dua yake.

View attachment 1781704
Huyu aliyepiga picha ana moyo aisee na wapo nyuma ya gari... Hatari sana hii!! Haya mambo night madereva wa usiku wanakutana nayo sana aisee
 
Huyu aliyepiga picha ana moyo aisee na wapo nyuma ya gari... Hatari sana hii!! Haya mambo night madereva wa usiku wanakutana nayo sana aisee
Dunia ina mambo mengi
 
Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?
Kwamba hakuna Nyumba hata ya Nyasi sidhani kama ni justification kwamba mtoto hawezi kuvuka barabara itaa hiyo; Ukizingatia Tz sehemu kubwa ya Safari huwa ni mapori; Kuna maeneo kama nyakanazi unaweza tembea 2km ni pori tu huoni nyumba Yet Njiani unakutana na watu wanatembea.
 
Huyo mtu anayeonekana amejimwagia unga mwili mzima hata sura hainekani
 
Hii picha inasambaa kwenye magroup ya madereva. Kuna dereva mmoja kakutana na hii kitu akiwa safarini.

Mimi kuna siku natoka Tunduma kuja Mbeya nipo kwenye costa siti ya mbele SAA sita mchana jua Kali ghafla kwenye pori kaibuka mtoto miaka 5-7 kakatisha barabara dereva akamkwepa tukayumba sana ila hatukupinduka. Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?

Kila mtu akaanza kuomba dua yake.

View attachment 1781704
Cha kushangaza juu ya kumurikwa taa zote izo ila kivuli hakuna
 
Back
Top Bottom