Changamoto za barabarani usiku mkubwa

Ukishamiliki gari tu na ukawa na safari za usiku, chagua moja... Kumiliki Nguvu za Mungu au shetani ili usisumbuke na vitu kama hivyo uwapo safarini. Haijalishi ni upcoucountry au ndani ya mji
Out of ur point....ukishaamua kuwa staff member + biashara chagua moja pia.[emoji120]
 
Uko sawa kabisa ila sasa hapa issue imeanzia kwenye image ambayo imepigwa na camera. You mean ukishafikia hatua hiyo ya kuona hivyo ambavyo havipo na ambavyo huwa vina uwezo wa kuonekana tu kutokana na mabadiliko ya kwenye processor ya ubongo wako, the same matukio hayo yanaweza kuchukuliwa na smartphone camera pia?
 
Huyu aliyepiga picha ana moyo aisee na wapo nyuma ya gari... Hatari sana hii!! Haya mambo night madereva wa usiku wanakutana nayo sana aisee
 
Huyu aliyepiga picha ana moyo aisee na wapo nyuma ya gari... Hatari sana hii!! Haya mambo night madereva wa usiku wanakutana nayo sana aisee
Dunia ina mambo mengi
 
Swali la abiria yale maeneo hakuna nyumba hata ya nyasi mtoto anatokea wapi?
Kwamba hakuna Nyumba hata ya Nyasi sidhani kama ni justification kwamba mtoto hawezi kuvuka barabara itaa hiyo; Ukizingatia Tz sehemu kubwa ya Safari huwa ni mapori; Kuna maeneo kama nyakanazi unaweza tembea 2km ni pori tu huoni nyumba Yet Njiani unakutana na watu wanatembea.
 
Huyo mtu anayeonekana amejimwagia unga mwili mzima hata sura hainekani
 
Cha kushangaza juu ya kumurikwa taa zote izo ila kivuli hakuna
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…