Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

This is the reason behind kupandisha bandiko hili, limefuatiwa na makala ya kina kwenye Nipashe la Leo, na kipindi cha TV cha uelimishaji umma kuhusu secure investment kwa wastaafu watarajiwa kitafuata na naamini kitasaidia wengi.

P

Mkuu sijui umelifikiriaje, ila kuwa kwenye nchi isiyo na social security pamoja na Pension ya kueleweka hasa kwa watu waliofanya kazi kwenye private sector huoni kama kuzaa ni changamoto?
 
Mkuu sijui umelifikiriaje, ila kuwa kwenye nchi isiyo na social security pamoja na Pension ya kueleweka hasa kwa watu waliofanya kazi kwenye private sector huoni kama kuzaa ni changamoto?
Mkuu Rebeca 83, you are absolutely right, na mimi ni mfano hai, nimefanya public sector, for just 12 years, na sasa niko private sector for 20 years now. Ukisoma tuu heading ya bandiko hili, "

Changamoto za Kupata Mtoto Mchanga, Ukiwa Umri wa Kustaafu!. Unakuwa ni Baba Babu!. Dawa ni Kujipanga Kabla, Vinginevyo ni Kubebesha Watu Mizigo Yako!",​


The heading says it all, hivyo japo lengo na target ya bandiko hili ni wazee vijana, wanaolea mwana mjukuu, lakini hoja zake zitawasaidia wengine wengi, ambao bado wako kazini, kuanza kujipanga mapema kustaafu, ili hata wakistaafu wafanye secure investments na fedha za mafao Yao.

Kwenye kipindi cha TV kuhusu mada hii, pia nitakuwa na program II itakayo wahusu watu wa informal sector ambao hawana pensheni yoyote, hawana savings zozote, they live hand to mouth.
P
 
Makala kwa kiingereza , tunaiitaje ?
Niliomba safu The Daily News, The Guardian na The Citizen, niliahidiwa kupatiwa nafasi, ila bado sijapewa, labda niwakumbushie tena, ila pia kuandika makala lugha isiyokuwa lugha yako ya asili, ni changamoto, ingawa mimi ni a university graduate,na A-level nimefanya HGL, na nimeishi ughaibuni nazungumza fluent, ila kiukweli kuandika bado ni changamoto.
P
 
Kwenda kliniki mnapishana na wanao na wakwe zako umewaaibisha sana wanao ujui tu tena umesoma. Ungekuwa huna elimu sijui ungefanya utaira gani.
 
Ila kwa ujumla kuwa na vitoto uzeeeni ni dalili ya umasikini, yani unaacha kuwaza maisha yako ya uzeeni yanakuwa vipi unaanza kuhangaika na pampasi na wipes, kaka sema ilikua bahati mbaya tu nyie wazee wa lake zone usitake kuhalalisha, ndiomaana katika maisha kuna umri wa kuzaa, kulea na hata umri wa kupumzika. Usidanganye watu kwa andiko lako kwingine watu wangeuchuna wala isingekua public kaka Paskali.
 
Mimi Niko 50+ nilikuwa naogopa bure tuu, angalia mwenzagu huyu

 
Happy birthday Legendary.....

Ludi matizi hakikisha unakula vyakula vya asili,Miaka 60 kidini ndio miaka ya kuishi baada ya hapo ni zawadi tuu...
Mimi kwangu Aluta Kontinua na nikigonga 60 natafuta mwana mwali nimalizie nae dunia๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜ Bina Shadeeya uwongo uwongo!
 
Wacha weee!! ๐Ÿ˜€

Kweeli Binamu japo kwa mbaali si ajabu ukazisogeza siku zako za kuaga dunia karibu hasa pale ambapo utafanya uchaguzi usiyo sahihi.
 
Acha fikra potofu. Mama yangu alinizaa akiwa 45 na baba akiwa 6o, likini nikazaliwa mtoto bright hadi nikachaguliwa shule vipaji maalum. Na sasa hivi niko njema huko kazini.
 
Pascal Mayalla wewe ni humble sana ata kwenye kujibu maswali japo wengine kejeli nyingi kama vile wamekamilika, pia kikubwa umetoa elimu nzuri kwa wastaafu, ila kwa hizo Government bonds kwa 25 years( mfano wako ) na suala currency kutopeza value inakuwaje hapo?
 
Hongera sana naona we ni umri wa baba yangu kabisa,, nikupongeze na Wala usijutie kupata huyo mtoto, waafrika wengi tumekuwa wazungu eti na sisi hatutaki watoto, hasa wanawake ndo kabisaa tunaogopa hatari,, kanifurahisha sana CONTROLA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ