Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

Changamoto za kupata mtoto mchanga ukiwa umri wa kustaafu, unakuwa ni Baba Babu. Dawa ni kujipanga kabla, vinginevyo ni kubebesha watu mizigo yako

Leo Ijumaa ya Tarehe 8 April, ni siku yangu ya kuzaliwa, nikiwa nimeipiga mingi nikikaribia 60! ambao ndio umri rasmi wa kustaafu, nikiwa tayari ni father of 8 +1= 9, Grand Pa of 6, and about to retire!.

Sababu ya makala hii ya leo sio kusherehekea siku yangu ya kuzaliwa, bali kutoa mbinu za changamoto za ulezi katika umri mkubwa kwa huku unajiandaa kustaafu, huku vichanga vinaendelea kuzaliwa!.

Naomba kutoa taarifa ya ujio wa mgeni mwingine kwenye familia yangu, ujio wa mgeni huyu, ume concide na tarehe yangu ya kuzaliwa, mgeni huyu mpya, amebisha hodi Duniani Leo, 8 April, 2022 majira ya saa 4:00 asubuhi, katika hospital ya Aga Khan, na kwa vile mgeni mwenyewe ni kidume, hivyo nimetoa jina langu la Pascal, hivyo ataitwa Pascal Mayalla, Jnr na kuanzia leo mimi nimebadili jina na kuwa Pascal Mayalla Snr baada ya ujio wa Pascal Mayalla Jnr.

Kupata mtoto katika umri mkubwa kama huu, kuna changamoto zake, changamoto ya kwanza, ni watoto wangu wakubwa tayari wana watoto, yaani mimi ni Babu, halafu unapata mtoto mdogo kuliko mjukuu, hivyo kwa wajukuu wa watoto wangu wa kiume, huyu Pascal Mayalla Jnr ni baba yao mdogo na wajukuu wa mabinti huyu ni mjomba wao, baba mdogo na mjomba kuwa ni mdogo kuliko wajukuu, haupendezei kivile!.

Kuna watu wataona ni ajabu kwa mtu over 50 kupata mtoto, japo nikweli sio kawaida sana, watu wanajenga familia wakiwa vijana, ukifika miaka 50 ni umri wa kujiandaa kustaafu na sio tena kuanza kulea na kuitwaa baba wakati umri ni wa babu, lakini amini usiamini, kupata mtoto at 50 plus ni kawaida sana, tuna mfano mingi tuu, ukitafuta umri wa Chief Burito wakati Julius Kambarage Nyerere anazaliwa, hutashangaa!. Hata Nabii Ibrahim alipomzaa Isaka alikuwa na miaka 90!. Mfano mzuri wa karibu ni yule Mzee wetu fulani, Al maarufu na mashuhuri, alipata watoto twins at 74 years!, hivyo mimi kupata mtoto at 50 plus, mimi ni bado sana!, ila huyu ni last born!.

lengo la makala hii ya leo ni kutoa somo la kujiandaa kustaafu, ili ustaafu bila stress. Kitendo tuu cha mstaafu mtarajiwa kupata mtoto at 50 +, hiyo peke yake tayari ni stress tosha, kwasababu mtoto anatakiwa kutimiza the age of majority, akiwa total dependant. Pesa za mstaafu, haziwezi kumlipia shule nzuri mtoto, unless nikubali akasome St. Kayumba!. Kama hao wenzake 8, hakuna aliyesoma St. Kayumba, hivyo huyu kitinda mimba wa Baba Babu, needs a little bit kujipanga zaidi. Hivyo makala hii, itakuwa ni msaada mkubwa sana kwa wale wote wenye umri mkubwa, huku wakikabiliwa na changamoto za ulezi.

Kutokana na maandalizi duni ya kustaafu, wastaafu wengi hujikuta hawana vitega uchumi vya kutosha kuwa sustain baada ya kustaafu, hivyo kuishi maisha ya stress, wengine kusumbua watoto kwa kupiga muzinga, hali inayopelekea ikiona tuu simu ya dingi, unahisi ni mzinga, hivyo ukijiona uko apeche alolo, unaogopa hata kupokea simu ya dingi ukidhani ni mzinga!, kumbe simu nyingine wala sio mizinga, ni dingi amekukumbuka tuu na anakupigia ili kukusalimia tuu.

Kitu kinacholeta stress kubwa Kwa wastaafu wengi, ni wengi kutofanya biashara yoyote wakati wa utumishi wao, halafu akiisha staafu yale malipo ya pensheni ya mkupuo kuyatumia kama mtaji wa kuanzisha biashara, biashara isipokwenda vizuri, matoi yake ni kupata stress, kuchoka mapema na kuchakaa, na hapo hapo maradhi ya depression na mwisho ni kufa mapema kwa ma pressure, heart attacks, maumivu ya viungo, organ failure etc.

Ili kuzuia stress za kustaafu, kama unapanga kufanya biashara fulani baada ya kustaafu, start small!, anza kidogo kidogo ukingali kazini kupata uzoefu wa kutosha ukiona unaweza ndipo ukistaafu ujikite zaidi.

Ushauri wangu wa the best way ya kustaafu, ni zile fedha za mafao yako ya kustaafu ambayo umelipwa kupitia benki, wastaafu wengi huziweka fedha hizo Benki kama akiba, na kuzitumia kidogo kidogo.

Kitendo cha fedha hizo kukaa Benki kwenye account ya savings, faida yake ni kiduchu Sana. Zingekaa kwenye a fixed deposit account, FDA, zingezalisha faida kubwa kidogo, lakini mpango mzima wa ukweli na wa uhakika wa uwekezaji wa mafao yako ni Kwa kuwekeza Kwa ununuzi wa dhamana za serikali, yaani Government Bonds, ambazo huuzwa na Benki Kuu ya Tanzania ambapo hutoa riba ya mpaka asilimia 16%!.

Sasa tupige hesabu ya Pamoja.
Tuseme mafao yangu ya kustaafu ya mkupuo ni milioni 100. Nikinunulia Government Bonds za miaka 25, kila mwaka nitapata shilingi milioni 16. Bonds wanalipa gawio mara 2 Kwa mwaka, kila baada ya miezi 6. Hivyo nitalipwa shilingi milioni 8 kila miezi 6.

Ukiisha nunua bonds zile Bondi certificate ni dhamana ya uhakika ya kupata mkopo Benki yoyote kufanyia biashara yoyote.

Nakushauri, fanya utaratibu na Benki yako, badala ya kusubiri kupokea gawio lako la milioni 16 kwa mwaka, unaomba ulipwe shilingi milioni 1,300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka 25, bado wewe mstaafu utakuwa na stress au kusumbua kupiga mizinga watoto?.

Wastaafu wenzangu watarajiwa, ni muhimu sana kupanga uzazi, ni muhimu kupanga familia, ni muhimu kujipanga kustaafu bila stress, ila ikitokea umepata ugeni kama wa Pascal Mayalla Jnr, mida ya machweo, mpokee tuu mgeni with positivism after all kila mtoto anakuja na rizki yake,
Karibu Pascal Mayalla Jnr.
Happy Born Day Pascal Mayalla Jnr
Happy Birthday Pascal Mayalla Snr
Paskali
Yale yale ....kila mtoto anakuja na riziki yake...wabongo bwana tuna misemo ya kijinga sana. Ndio yale ya mtoto wa kuzaliwa nje ya ndoa tunasema mtoto ni baraka kutoka kwa mungu.

Tuache ujiinga bwana mtoto haji na riziki yake. Mtoto anaandaliwa mpaka anakuwa mtu wa maana kwenye jamii. Haya mambo ya fyatua and hope for the best tuyaache. Hii misemo yakifala sana
 
Hiyo usukumani ni kawaida, kuna lijamaa likubwa linakaita mama kabinti kadogo, nilishangaa sanaaa baada ya kuuliza nkapewa ifafanuzi kuwa hako kabinti ni katoto ka baba yake na mama yake jamaa
"Mama", "baba", "kaka", "dada" ni cheo ambacho wewe kwa kutamka tu, hakikupunguzii hadhi ama utu mkuu.

Ni kama ilivyo kwenye vyeo vya serikali, boss wako aweza kuwa na umri wa mjukuu wako na ukamtii.

Sasa labda nikuulize, ikatokea ukaanzisha mahusiano na mwanamke flani ama ukaamua kumuoa, baadaye ukagundua ba'mkwe ana dada yake mdogo kuliko umri wa mkeo, hapo hauangushi "shikamoo" ya nguvu kwa hako kashangazi kenu kadogodogo[emoji38][emoji38][emoji38]?
 
Utasemesha mtoto na Pension? So sad.Age kama hiyo sio fare kuzaa

Halafu uwezo wake wa kiakili ukimzaa umri huo na mkeo toto shuleni lazima liwe kaputi kichwani as time goes on utagundua hilo

Umri huo sio wa kuzaa
Acha kunenea watoto wa watu maneno mabaya,kuna mazezeta wangapi wanazaliwa na vijana ww ukiwa mmoja wapo??
 
Katika umri mkubwa zaa na msichana mdogo ili wewe jua likitua umuachie huyo msichana kazi ya malezi pamoja na mafao yako uliyoacha.
Wewe wasema, kama umri umeenda na ukaoa binti mdogo ni majanga, kuna jirani yangu hapa yeye ni mtu mzima na. Mkewe ni binti tu. Binti anagawa mtaani balaaa. Watoto wawili kati ya watatu aliozaa na jamaa sio wa jamaa
 
Leo Ijumaa ya Tarehe 8 April, ni siku yangu ya kuzaliwa, nikiwa nimeipiga mingi nikikaribia 60! ambao ndio umri rasmi wa kustaafu, nikiwa tayari ni father of 8 +1= 9, Grand Pa of 6, and about to retire!.

Sababu ya makala hii ya leo sio kusherehekea siku yangu ya kuzaliwa, bali kutoa mbinu za changamoto za ulezi katika umri mkubwa kwa huku unajiandaa kustaafu, huku vichanga vinaendelea kuzaliwa!.

Naomba kutoa taarifa ya ujio wa mgeni mwingine kwenye familia yangu, ujio wa mgeni huyu, ume concide na tarehe yangu ya kuzaliwa, mgeni huyu mpya, amebisha hodi Duniani Leo, 8 April, 2022 majira ya saa 4:00 asubuhi, katika hospital ya Aga Khan, na kwa vile mgeni mwenyewe ni kidume, hivyo nimetoa jina langu la Pascal, hivyo ataitwa Pascal Mayalla, Jnr na kuanzia leo mimi nimebadili jina na kuwa Pascal Mayalla Snr baada ya ujio wa Pascal Mayalla Jnr.

Kupata mtoto katika umri mkubwa kama huu, kuna changamoto zake, changamoto ya kwanza, ni watoto wangu wakubwa tayari wana watoto, yaani mimi ni Babu, halafu unapata mtoto mdogo kuliko mjukuu, hivyo kwa wajukuu wa watoto wangu wa kiume, huyu Pascal Mayalla Jnr ni baba yao mdogo na wajukuu wa mabinti huyu ni mjomba wao, baba mdogo na mjomba kuwa ni mdogo kuliko wajukuu, haupendezei kivile!.

Kuna watu wataona ni ajabu kwa mtu over 50 kupata mtoto, japo nikweli sio kawaida sana, watu wanajenga familia wakiwa vijana, ukifika miaka 50 ni umri wa kujiandaa kustaafu na sio tena kuanza kulea na kuitwaa baba wakati umri ni wa babu, lakini amini usiamini, kupata mtoto at 50 plus ni kawaida sana, tuna mfano mingi tuu, ukitafuta umri wa Chief Burito wakati Julius Kambarage Nyerere anazaliwa, hutashangaa!. Hata Nabii Ibrahim alipomzaa Isaka alikuwa na miaka 90!. Mfano mzuri wa karibu ni yule Mzee wetu fulani, Al maarufu na mashuhuri, alipata watoto twins at 74 years!, hivyo mimi kupata mtoto at 50 plus, mimi ni bado sana!, ila huyu ni last born!.

lengo la makala hii ya leo ni kutoa somo la kujiandaa kustaafu, ili ustaafu bila stress. Kitendo tuu cha mstaafu mtarajiwa kupata mtoto at 50 +, hiyo peke yake tayari ni stress tosha, kwasababu mtoto anatakiwa kutimiza the age of majority, akiwa total dependant. Pesa za mstaafu, haziwezi kumlipia shule nzuri mtoto, unless nikubali akasome St. Kayumba!. Kama hao wenzake 8, hakuna aliyesoma St. Kayumba, hivyo huyu kitinda mimba wa Baba Babu, needs a little bit kujipanga zaidi. Hivyo makala hii, itakuwa ni msaada mkubwa sana kwa wale wote wenye umri mkubwa, huku wakikabiliwa na changamoto za ulezi.

Kutokana na maandalizi duni ya kustaafu, wastaafu wengi hujikuta hawana vitega uchumi vya kutosha kuwa sustain baada ya kustaafu, hivyo kuishi maisha ya stress, wengine kusumbua watoto kwa kupiga muzinga, hali inayopelekea ikiona tuu simu ya dingi, unahisi ni mzinga, hivyo ukijiona uko apeche alolo, unaogopa hata kupokea simu ya dingi ukidhani ni mzinga!, kumbe simu nyingine wala sio mizinga, ni dingi amekukumbuka tuu na anakupigia ili kukusalimia tuu.

Kitu kinacholeta stress kubwa Kwa wastaafu wengi, ni wengi kutofanya biashara yoyote wakati wa utumishi wao, halafu akiisha staafu yale malipo ya pensheni ya mkupuo kuyatumia kama mtaji wa kuanzisha biashara, biashara isipokwenda vizuri, matoi yake ni kupata stress, kuchoka mapema na kuchakaa, na hapo hapo maradhi ya depression na mwisho ni kufa mapema kwa ma pressure, heart attacks, maumivu ya viungo, organ failure etc.

Ili kuzuia stress za kustaafu, kama unapanga kufanya biashara fulani baada ya kustaafu, start small!, anza kidogo kidogo ukingali kazini kupata uzoefu wa kutosha ukiona unaweza ndipo ukistaafu ujikite zaidi.

Ushauri wangu wa the best way ya kustaafu, ni zile fedha za mafao yako ya kustaafu ambayo umelipwa kupitia benki, wastaafu wengi huziweka fedha hizo Benki kama akiba, na kuzitumia kidogo kidogo.

Kitendo cha fedha hizo kukaa Benki kwenye account ya savings, faida yake ni kiduchu Sana. Zingekaa kwenye a fixed deposit account, FDA, zingezalisha faida kubwa kidogo, lakini mpango mzima wa ukweli na wa uhakika wa uwekezaji wa mafao yako ni Kwa kuwekeza Kwa ununuzi wa dhamana za serikali, yaani Government Bonds, ambazo huuzwa na Benki Kuu ya Tanzania ambapo hutoa riba ya mpaka asilimia 16%!.

Sasa tupige hesabu ya Pamoja.
Tuseme mafao yangu ya kustaafu ya mkupuo ni milioni 100. Nikinunulia Government Bonds za miaka 25, kila mwaka nitapata shilingi milioni 16. Bonds wanalipa gawio mara 2 Kwa mwaka, kila baada ya miezi 6. Hivyo nitalipwa shilingi milioni 8 kila miezi 6.

Ukiisha nunua bonds zile Bondi certificate ni dhamana ya uhakika ya kupata mkopo Benki yoyote kufanyia biashara yoyote.

Nakushauri, fanya utaratibu na Benki yako, badala ya kusubiri kupokea gawio lako la milioni 16 kwa mwaka, unaomba ulipwe shilingi milioni 1,300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka 25, bado wewe mstaafu utakuwa na stress au kusumbua kupiga mizinga watoto?.

Wastaafu wenzangu watarajiwa, ni muhimu sana kupanga uzazi, ni muhimu kupanga familia, ni muhimu kujipanga kustaafu bila stress, ila ikitokea umepata ugeni kama wa Pascal Mayalla Jnr, mida ya machweo, mpokee tuu mgeni with positivism after all kila mtoto anakuja na rizki yake,
Karibu Pascal Mayalla Jnr.
Happy Born Day Pascal Mayalla Jnr
Happy Birthday Pascal Mayalla Snr
Paskali
Una uhakika huyo ni mwanao?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo Ijumaa ya Tarehe 8 April, ni siku yangu ya kuzaliwa, nikiwa nimeipiga mingi nikikaribia 60! ambao ndio umri rasmi wa kustaafu, nikiwa tayari ni father of 8 +1= 9, Grand Pa of 6, and about to retire!.

Sababu ya makala hii ya leo sio kusherehekea siku yangu ya kuzaliwa, bali kutoa mbinu za changamoto za ulezi katika umri mkubwa kwa huku unajiandaa kustaafu, huku vichanga vinaendelea kuzaliwa!.

Naomba kutoa taarifa ya ujio wa mgeni mwingine kwenye familia yangu, ujio wa mgeni huyu, ume concide na tarehe yangu ya kuzaliwa, mgeni huyu mpya, amebisha hodi Duniani Leo, 8 April, 2022 majira ya saa 4:00 asubuhi, katika hospital ya Aga Khan, na kwa vile mgeni mwenyewe ni kidume, hivyo nimetoa jina langu la Pascal, hivyo ataitwa Pascal Mayalla, Jnr na kuanzia leo mimi nimebadili jina na kuwa Pascal Mayalla Snr baada ya ujio wa Pascal Mayalla Jnr.

Kupata mtoto katika umri mkubwa kama huu, kuna changamoto zake, changamoto ya kwanza, ni watoto wangu wakubwa tayari wana watoto, yaani mimi ni Babu, halafu unapata mtoto mdogo kuliko mjukuu, hivyo kwa wajukuu wa watoto wangu wa kiume, huyu Pascal Mayalla Jnr ni baba yao mdogo na wajukuu wa mabinti huyu ni mjomba wao, baba mdogo na mjomba kuwa ni mdogo kuliko wajukuu, haupendezei kivile!.

Kuna watu wataona ni ajabu kwa mtu over 50 kupata mtoto, japo nikweli sio kawaida sana, watu wanajenga familia wakiwa vijana, ukifika miaka 50 ni umri wa kujiandaa kustaafu na sio tena kuanza kulea na kuitwaa baba wakati umri ni wa babu, lakini amini usiamini, kupata mtoto at 50 plus ni kawaida sana, tuna mfano mingi tuu, ukitafuta umri wa Chief Burito wakati Julius Kambarage Nyerere anazaliwa, hutashangaa!. Hata Nabii Ibrahim alipomzaa Isaka alikuwa na miaka 90!. Mfano mzuri wa karibu ni yule Mzee wetu fulani, Al maarufu na mashuhuri, alipata watoto twins at 74 years!, hivyo mimi kupata mtoto at 50 plus, mimi ni bado sana!, ila huyu ni last born!.

lengo la makala hii ya leo ni kutoa somo la kujiandaa kustaafu, ili ustaafu bila stress. Kitendo tuu cha mstaafu mtarajiwa kupata mtoto at 50 +, hiyo peke yake tayari ni stress tosha, kwasababu mtoto anatakiwa kutimiza the age of majority, akiwa total dependant. Pesa za mstaafu, haziwezi kumlipia shule nzuri mtoto, unless nikubali akasome St. Kayumba!. Kama hao wenzake 8, hakuna aliyesoma St. Kayumba, hivyo huyu kitinda mimba wa Baba Babu, needs a little bit kujipanga zaidi. Hivyo makala hii, itakuwa ni msaada mkubwa sana kwa wale wote wenye umri mkubwa, huku wakikabiliwa na changamoto za ulezi.

Kutokana na maandalizi duni ya kustaafu, wastaafu wengi hujikuta hawana vitega uchumi vya kutosha kuwa sustain baada ya kustaafu, hivyo kuishi maisha ya stress, wengine kusumbua watoto kwa kupiga muzinga, hali inayopelekea ikiona tuu simu ya dingi, unahisi ni mzinga, hivyo ukijiona uko apeche alolo, unaogopa hata kupokea simu ya dingi ukidhani ni mzinga!, kumbe simu nyingine wala sio mizinga, ni dingi amekukumbuka tuu na anakupigia ili kukusalimia tuu.

Kitu kinacholeta stress kubwa Kwa wastaafu wengi, ni wengi kutofanya biashara yoyote wakati wa utumishi wao, halafu akiisha staafu yale malipo ya pensheni ya mkupuo kuyatumia kama mtaji wa kuanzisha biashara, biashara isipokwenda vizuri, matoi yake ni kupata stress, kuchoka mapema na kuchakaa, na hapo hapo maradhi ya depression na mwisho ni kufa mapema kwa ma pressure, heart attacks, maumivu ya viungo, organ failure etc.

Ili kuzuia stress za kustaafu, kama unapanga kufanya biashara fulani baada ya kustaafu, start small!, anza kidogo kidogo ukingali kazini kupata uzoefu wa kutosha ukiona unaweza ndipo ukistaafu ujikite zaidi.

Ushauri wangu wa the best way ya kustaafu, ni zile fedha za mafao yako ya kustaafu ambayo umelipwa kupitia benki, wastaafu wengi huziweka fedha hizo Benki kama akiba, na kuzitumia kidogo kidogo.

Kitendo cha fedha hizo kukaa Benki kwenye account ya savings, faida yake ni kiduchu Sana. Zingekaa kwenye a fixed deposit account, FDA, zingezalisha faida kubwa kidogo, lakini mpango mzima wa ukweli na wa uhakika wa uwekezaji wa mafao yako ni Kwa kuwekeza Kwa ununuzi wa dhamana za serikali, yaani Government Bonds, ambazo huuzwa na Benki Kuu ya Tanzania ambapo hutoa riba ya mpaka asilimia 16%!.

Sasa tupige hesabu ya Pamoja.
Tuseme mafao yangu ya kustaafu ya mkupuo ni milioni 100. Nikinunulia Government Bonds za miaka 25, kila mwaka nitapata shilingi milioni 16. Bonds wanalipa gawio mara 2 Kwa mwaka, kila baada ya miezi 6. Hivyo nitalipwa shilingi milioni 8 kila miezi 6.

Ukiisha nunua bonds zile Bondi certificate ni dhamana ya uhakika ya kupata mkopo Benki yoyote kufanyia biashara yoyote.

Nakushauri, fanya utaratibu na Benki yako, badala ya kusubiri kupokea gawio lako la milioni 16 kwa mwaka, unaomba ulipwe shilingi milioni 1,300,000 kila mwezi kwa muda wa miaka 25, bado wewe mstaafu utakuwa na stress au kusumbua kupiga mizinga watoto?.

Wastaafu wenzangu watarajiwa, ni muhimu sana kupanga uzazi, ni muhimu kupanga familia, ni muhimu kujipanga kustaafu bila stress, ila ikitokea umepata ugeni kama wa Pascal Mayalla Jnr, mida ya machweo, mpokee tuu mgeni with positivism after all kila mtoto anakuja na rizki yake,
Karibu Pascal Mayalla Jnr.
Happy Born Day Pascal Mayalla Jnr
Happy Birthday Pascal Mayalla Snr
Paskali
Umepishana na Lowasa miaka michache sana ila bado unaonekana kijana mkuu
 
Happy birthday brother, Mungu akupe maisha marefu kaka. Wewe ni moja ya watu mnastahili kuwa na kitabu cha kuelezea maisha yako ya uandishi/utangazaji.

Guru wa mahojiano, Respect brother!
Mkuu MTAZAMO , asante sana, kila siku huwa nasema nitaandika ila pilika za kukimbizana na shilingi, zinanikosesha muda. Kama Mama ataendelea na hii trends anayokwenda nayo, then I hope this time around nitaanza compilation.
Kiukweli nimepitia mengi kustahili kuyaandika and share ili kwa wengine, maisha yangu yawe ni shamba darasa kwao.
 
Pasco, umezaa na mkeo? Watoto 8 ni wengi sana. Wanatumia financial, physical and emotional resources nyingi sana kuwahudumia na kuwalea. I think it wasn’t the wisest decision for you to have a baby at this point in your life. Hapo umefulia mzee. Big time.
Mkuu Goldschmidt , kwanza asante sana kwa kuwa mkweli, bonafide genuine, watu huwa hatupendi kuambiwa ukweli mchungu, hiki ulichosema hapa ni ukweli mchungu!.

It's true watoto 8, now 9 ni wengi. Mimi ni a modern man, niliao a classmate sweetheart Mimi nikiwa at 25 years mwenzagu 21, tukahama nchi kwenda UK tukapata mtoto wa kwanza a girl then tukahamia US tukapata mtoto wa pili, a boy tukaamua that is it. Hatuhihitaji tena kuongeza watoto.

Wife akapata full sponsored fellowship ya 4 years US mimi ndio niwe house husband na babysitter wa watoto wetu wawili. Very unfortunately, nilishindwa nikamwacha wife US na kurudi Bongo.

Long distance relationships doesn't work well Kwa baadhi ya makabila, so does maisha ya u Marioo, yaani mke ndio mwenye kazi, pesa, mimi niwe Marioo. Wasukuma ni one of such tribes.

Hivyo niliporudi kuishi bongo huku wife US, nikajikuta wametokelezea watoto 3. 2 boys and a girl hivyo I had 5 kids. (naomba usiulize ufafanuzi wowote kuhusu hawa watoto 3).

Wife baada ya kumaliza shule with news ya uwepo wa watoto 3, wife akaamua kugomea US hivyo mimi nikawa sina jinsi bali kurudi Bongo na kuendeshea na life.

Mwaka 2008 I suffered a bad motor accident, I was confirmed to a wheelchair!. Hapa akajitokeza kabinti fulani with a heart of gold, she came with love and care , kiukweli mtu ukiwa invalid confined to a wheelchair, akatokea mtu kupenda hivyo ulivyo, ni very rare and amaizing love.

She told me something was telling her tukijaribu pengine, nitaweza kupona. She made some efforts tukahangaika huku na kule, tukaenda South gharama zikatushinda , tukaenda India, ndiko nilikoponea na kusimama tena!.

Baada ya kupona na kurudi Bongo,
kwanza nitoa shukrani kwa yote niliyopitia

nikajikuta zawadi pekee kwa huyu binti ni ndoa, hivyo 2010 nikaoa tena, by then nikiwa over 40!.

Kabinti kakanizalia 3 beautiful daughters the number was 8, ilipotokea tena dalili ya ugeni, we didn't say no, then ndio hiyo jana kaleta kidume, na kiukweli hapo sasa ndio mwisho.
P
 
Bandiko refu lakini linakutia stress mwenyewe!

Hofu hii ya kuogopa watoto wa kustaafia huwapata wastaafu watarajiwa walio wengi bila kuwa wamefanya utafiti wa kina.

Lakini acha nikupe angalizo la upande mwingine wa shilingi ambao wewe haujauangazia!

Kuna point moja tu hapo inayokusaga roho, ni ile hofu ya kushindwa kumsomesha shule ghali mwanao baada ya kustaafu!

Nitakuuliza kwa nini uhofie jambo dogo kiasi hicho wakati mchanganuo wako wa kutumia mafao yako upo vizuri, kama kweli umejipanga katika uwekezaji wa namna hiyo?

Mtoto wa kustaafia wala asikuhofishe bure, ni faraja aliyokuletea Mwenyezi Mungu unapoyakaribia maisha rasmi ya upweke!

Ukiisha kustaafu, urafiki wa maofisini hukoma rasmi, mke naye ashakuwa mbibi kachoka, inabidi umsaidie majukumu yake mengine!

Umri huo uliofikia na kwa kukiri mwenyewe, ushasomesha watoto zako hao na pengine washajitegemea kimaisha, hauishi nao hapo nyumbani.

Utakapostaafu, utabakia hapo wewe na "shemeji" tu jumba lote bila kitegemezi wa kuwafariji!

Ukiwa kazini, ulikuwa boss kuanzia ofisini hadi nyumbani ambapo ulikuwa umezungukwa na familia kubwa ya mke na watoto, sasa mmebakia wawili, uboss haupo tena mkuu kuanzia ofisini hadi nyumbani.

Kupata zawadi ya huyo mtoto sasa, mshukuru sana Mungu kwa kuwa umepata "pakushika" na mfariji wako mkubwa.

Cheo na hadhi ya mwanao huyo mchanga iko pale pale, ni "bwana mdogo", "ba'mdogo", "babu mdogo" nk nk, heshima yake haina mjadala na kwako ni utajiri wa familia, ambapo hautakosa kabisa watoto vyumbani mpaka mwisho wako.

Umepata faraja itakayokulinda mpaka ukikongwe wako ama mpaka kudaja!

60 kwa 20 utakuwa na 80 Mungu akikupa uhai.

Na shemeji anaonekana bado ni kijana kwa kukuletea hiyo faraja uzeeni isee!

Kumlisha mtoto mmoja, kumsomesha utakavyo na mahitaji mengine hayatakushinda maana vyanzo vya mapato rasmi unavyo.

Nimeitamani sana baraka hiyo uliyoipata wewe kama ingelikuja kwangu singelijuta, ningelishukuru sana Mungu.

Nimeandika nikiwa na uzoefu wa adha ya kuishi bila mtoto nyumbani baada ya kustaafu.

Pokea hongera za dhati kabisa na hofu ondoa, mtoto atakua kama kawaida na mahitaji umtakiayo atapata , Mungu ni mkubwa omba tu uhai.
Paskali hajajibu huyu junior, ni wa kutokea mke yupi??

Waliyepata naye watoto walio na watoto?? Waliyeishi naye miaka yote?!

Wanayeishi naye sasa!?
 
Umepishana na Lowasa miaka michache sana ila bado unaonekana kijana mkuu
Kuwa serious kidogo Mkuu, labda umlinganishe Mkuu P, na Le Mutuz king of all social media, mamvi yupo mbali wewe! Miaka 68+ siyo kidogo, Lowassa yupo la pili Paskali ndiyo anazaliwa!

Halafu Edo lazima achoke mapema, wapiga deal wanakuwaga na stress Sana. Za huku na kule! Wanaishi Ka digidigi hawajui nani adui au rafiki wa kweli! Hawali hawalali vizuri! Shidaaah Ka kunguru!
 
Bandiko refu lakini linakutia stress mwenyewe!

Hofu hii ya kuogopa watoto wa kustaafia huwapata wastaafu watarajiwa walio wengi bila kuwa wamefanya utafiti wa kina.

Lakini acha nikupe angalizo la upande mwingine wa shilingi ambao wewe haujauangazia!

Kuna point moja tu hapo inayokusaga roho, ni ile hofu ya kushindwa kumsomesha shule ghali mwanao baada ya kustaafu!

Nitakuuliza kwa nini uhofie jambo dogo kiasi hicho wakati mchanganuo wako wa kutumia mafao yako upo vizuri, kama kweli umejipanga katika uwekezaji wa namna hiyo?

Mtoto wa kustaafia wala asikuhofishe bure, ni faraja aliyokuletea Mwenyezi Mungu unapoyakaribia maisha rasmi ya upweke!

Ukiisha kustaafu, urafiki wa maofisini hukoma rasmi, mke naye ashakuwa mbibi kachoka, inabidi umsaidie majukumu yake mengine!

Umri huo uliofikia na kwa kukiri mwenyewe, ushasomesha watoto zako hao na pengine washajitegemea kimaisha, hauishi nao hapo nyumbani.

Utakapostaafu, utabakia hapo wewe na "shemeji" tu jumba lote bila kitegemezi wa kuwafariji!

Ukiwa kazini, ulikuwa boss kuanzia ofisini hadi nyumbani ambapo ulikuwa umezungukwa na familia kubwa ya mke na watoto, sasa mmebakia wawili, uboss haupo tena mkuu kuanzia ofisini hadi nyumbani.

Kupata zawadi ya huyo mtoto sasa, mshukuru sana Mungu kwa kuwa umepata "pakushika" na mfariji wako mkubwa.

Cheo na hadhi ya mwanao huyo mchanga iko pale pale, ni "bwana mdogo", "ba'mdogo", "babu mdogo" nk nk, heshima yake haina mjadala na kwako ni utajiri wa familia, ambapo hautakosa kabisa watoto vyumbani mpaka mwisho wako.

Umepata faraja itakayokulinda mpaka ukikongwe wako ama mpaka kudaja!

60 kwa 20 utakuwa na 80 Mungu akikupa uhai.

Na shemeji anaonekana bado ni kijana kwa kukuletea hiyo faraja uzeeni isee!

Kumlisha mtoto mmoja, kumsomesha utakavyo na mahitaji mengine hayatakushinda maana vyanzo vya mapato rasmi unavyo.

Nimeitamani sana baraka hiyo uliyoipata wewe kama ingelikuja kwangu singelijuta, ningelishukuru sana Mungu.

Nimeandika nikiwa na uzoefu wa adha ya kuishi bila mtoto nyumbani baada ya kustaafu.

Pokea hongera za dhati kabisa na hofu ondoa, mtoto atakua kama kawaida na mahitaji umtakiayo atapata , Mungu ni mkubwa omba tu uhai.
Mkuu Sakasaka Mao , asante sana kwa mchango wako huu, kiukweli ni faraja kubwa. Sisi nyumbani tulizaliwa 8, hivyo dingi akajenga ghorofa ili tuenee.

Baada ya watoto wote kujitegemea lile jumba ni empty, wazee walikuja kuwa lonely wakitafuta wajukuu wa kuishi nao huku kila mtoto ameatamia familia yake.
The house now is too big, kui maintain ni issue!.

I did the same, kujenga nyumba kubwa ili hao 8 waenee, now wameanza kuondoka ila mimi I have plans in place, some rooms will turn into home office, Kwa vile napenda sana vitabu, licha ya vast digital library ya vitabu, bado napenda hardbacks, hivyo one room will turn to home library. Na chumba kingine kitakuwa home studio.

You have given me a new perspective ya having a kid at 50+, this is one more reason to be a proud father at 50+.
Thank you.
P
 
Back
Top Bottom