Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 94,296
- 122,540
i love you more baby
Blow me a kiss baby...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
i love you more baby
Leo umepoaaa... Nilikuchokoza, nikajua utawaka....nimesema tu watu wawe makini stuu
18+umri wa kuoa au kuolewa ni upi?
Ndio nakutakakwani unanitaka?
wewe cheka mnataka mgegede tu watuHa ha ha ha ha kazi ipo....
hadi ngapi?
ahahahaaaaBlow me a kiss baby...
Infinityhadi ngapi?
Miss natafuta at her bestSio kwamba huku wanaopost kutafuta wenza wana kasoro kwamba wamekosa wenza, huko walipo ni maisha tu mke au mume anaweza kupatikana popote pamoja na kuwepo post nyingi hapa ila imekuwa ni shida sana kupata mtu kwa upande wangu mimi nimeona changamoto zifuatazo;
Moja; Ukurupukaji na unafiki
Mtu anapost sifa za mtu ambae anazitaka mtu unajijua kabisa huna hata robo ila unaanza kumfukuzia huko ni kupotezeana muda, soma posti kwa makini kama huna acha kabisa subiri wa kufanana nae.
Mbili; Matapeli
Hawa nao wana familia zao basi tu kukusanifu ili akujue, kwani ukishamjua mtu huku unadhani unapata nini? Au utamfanya nini? Kama unajiona unajua kupeleleza sana kasaidie serikali kule kibiti mfyu.
Tatu;
Kutojipanga mtu hajajipanga kimahusiano au kindoa, posti inasema mtu anahitaji ndoa unaanza kumtafuta kumbe mipango yako ya kuoa au kuolewa hadi 2025! Subiri wakati wako ukifika ndo utafute ukiona mtu anatafuta mwenza ujue kachoka kuishi peke yake anataka mtu asap! Muache acha kumpotezea muda.
Nne
Location
Soma vizuri location ya mtafutaji mtu yupo songea anatafuta mke au mume na wewe upo chato na unajijua kabisa huwezi kuhama hata kwa winchi au yeye unajua kabisa kukufata alipo ni ndoto bado unajifanya kumfukuzia huko ni kupotezeana muda na mb pm na muda wa maongezi.
Tano
Dini
Mtu anasema kabisa dini yake na dini aitakayo unajijua kabisa wewe ni msabato bado unajilazimisha kwenda kwenye pm ya mtoto wa mtume wa saudi arabia kweli? Masalia na dini ya haki wapi na wapi?
Ha ha ha ha kazi mnayo...hapo ni kamari tu kekundu keusi...kekundu umeliwa!wewe cheka mnataka mgegede tu watu
Nyani ngabu Inaonekana anayapunga mashetani vizuri ha ha ha ha.Leo umepoaaa... Nilikuchokoza, nikajua utawaka....
ahahaaa wengine tumeamkia mashariki kekundu kekunduHa ha ha ha kazi mnayo...hapo ni kamari tu kekundu keusi...kekundu umeliwa!
ndivo nilivoLeo umepoaaa... Nilikuchokoza, nikajua utawaka....
ushasomba wangapi huku?Miss natafuta at her best
soma comment yako ya kwanza thenInfinity
Kwani wewe unatafuta mwenza humu? Jina lako nilijua unatafuta maisha...!ahahaaa wengine tumeamkia mashariki kekundu kekundu
Yaani Miss natafuta umeniona mimi somba somba ...sawa bana.ushasomba wangapi huku?
ndio nimechoka kuishi peke yangu nataka mtu wa kuishi naeKwani wewe unatafuta mwenza humu? Jina lako nilijua unatafuta maisha...!
All the best....utapata mtu mwema akufaae.ndio nimechoka kuishi peke yangu nataka mtu wa kuishi nae