Changamoto za kupata mwenza JF

Madame umetisha ...emu chukua 3 gold hapo ACACIA ntalipa nikirud london
 
Na ndio maana hata wanaojibu hayo matangazo wanajibu utumbo kwasababu wanajua waweka matangazo wanachezea watu akili.
unajuaje mtu anawachezea akili.unawahukumu watu mia kwa kosa la mtu mmoja?
 
unashepu ya kutafutwa, sasa hivi ilibidi uwe ndani. Au sio wewe kwenye hiyo profile?[emoji85]
 
Umekaa na lijamaa kwenye vichaka tunapita tunawaona kesho unatafuta mume ...ukikosa unamlaum shetani! Unajiharibia sif za kuitwa mke mbele za watu.

Unavaa visuruali vime chora maungo yako kesho unatafuta mume unakosa unamsingizia shetani!...

Unatoa kauli mbaya hadi jirani wanakujua nani anataka manual speaker kwenye ndoa yake.

Unakutana na dada kavaa kabana makalio mjini na wigi la mkorea sasa nani aweke hiyo liability ndani?

Unatumika unadai unakula ujana...nani amalizie uzee wako ?

Mchawi hayupo ila ni wadada wenyewe ndo wachawi sisi watoto wa West London hatuna shida ...tunawaangalia tu.
 
sasa pm unafata nini?
 
Ukwel mtupu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Madame umetisha ...emu chukua 3 gold hapo ACACIA ntalipa nikirud london
ahsante mkuu maneno yametulia haya
 
We mwenyewe ushatafuta hapa sijui ulipata au ndo baada ya kukosa umeamua kulalamika?
 
Umepatia kabisa!!!

Mimi niliweka bandiko langu hapa nikasema kabisa sitaki viserengeti boys ila eti Mtoto ka miaka 20 akanifuata PM... Si uchokozi huoooo! [emoji16][emoji16][emoji16]
Aiseee mbona sikua taged, au ni bandiko la kitambo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…