Naaam mkuu...Naunga mkono wazo lako 100%
Kweli mkuuNaunga mkono wazo lako 100%
Wengi wanabeba tamaduni za wazazi wetu ooh "Mzazi wako ni mungu" uki endelea kuwa hivo hujengi uhusiano mzuri na mtoto, kuwa Transparent sio hypocrite katika malezi, Mtoto ukimkosea mwambie Niwie radhi mwanangu nlighafilika nkakuonea, akikosea ki ukweli muadibishe ki haki, wajua ukikua na kanuni ya "Tenda kwa wengine upendavyo kutendewa " uta ishi kwa amani sana.
Junior ana hisia,ana mawazo,ana kila kitu km mim,tofauti ni umri kuwa mdogo,hivyo namkuza ajue kuheshimu hisia za wengine na aje kuwa raia boraHAO WALE WATOTO WENU AKINA JUNIOR. Endelei kuwalea hivo. Mtakuja kutupa majibu.
Kweli kabisa mkuu...unior ana hisia,ana mawazo,ana kila kitu km mim,
Sawa dada...Basi km samahani ngumu basi sema hata poleh.,
Absolutely right.Mtoto akishaanza kukua anaeleea anaweka vitu rohoni.,na havitoki kirahisi
Mimi ninapomkosea mtoto wangu huwa namuomba msamaha na kumpa hugs za kutosha hadi nyongeza. Likewise akinikosea huniomba msamaha na kuhakikisha nimecheka kabla hajaendelea na mishe nyingine. He is just four years and saying sorry to each other is our life style.Mtoto akikosewa anaombwa msamaha kabisa,yeye ndipo anapojifunza kuwa akikosea naye aombe msamaha.maisha ya famiia ni uwazi na ukweli ndiyo hunogesha mahusiano,hata km ni mtoto wa kindergaten unamwomba tuu.mf ohh mwanangu nilikosea nilipokugombeza kumbe siyo wewe uliyemwaga maziwa,nisamehe mwanangu,then una mb
mzazi hakosei? Kwani kuna mzazi malaika? Hapo tunajifariji kwa ajili ya kuogopa kushuka,shuka ndugu hapo ndipo penye unyenyekevu
Telling the truth,admit your mistakes and ask for his/her forgiveness, itamjenga mtoto kuwa loyal na kuwa responsible katika makosa yake, pia itamjengea tabia ya kuomba msamaha pale anapoona amekosea na itamfanya kujifunza kutokana na makosaShikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.
Ndugu zangu Watanzania eti;
Ukigundua kuwa umemkosea mtoto wako mdogo huwa unafanya nini ili kuweza kupooza machungu yake na wewe kujipunguzia hatia nafsini mwako?
Unamnunulia anachokipenda (chips), unamuomba msamaha au unapotezea tu?
(1) Just imagine umemchapa mtoto kwa kumhisi anang'ata buttons za remote controller ya TV kumbe sio yeye bali ni panya ndio wanaharibu? Au;
(2) Mwanao umemkosea ulipomgombeza kumbe siyo wewe aliyemwaga maziwa...!!!!!
Ukigundua kuwa umemkosea mtoto unafanya nini?
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Baadhi ya maoni ya wadau
=========
Sawa mkuu...Telling the truth,admit your mistakes and ask for his/her forgiveness, itamjenga mtoto kuwa loyal na kuwa responsible katika makosa yake,
I see...itamjengea tabia ya kuomba msamaha pale anapoona amekosea na itamfanya kujifunza kutokana na makosa
NimekuelewaTelling the truth,admit your mistakes and ask for his/her forgiveness, itamjenga mtoto kuwa loyal na kuwa responsible katika makosa yake, pia itamjengea tabia ya kuomba msamaha pale anapoona amekosea na itamfanya kujifunza kutokana na makosa
Tatizo wazazi wa kibongo sijui ni stress, hawawezi kuomba watoto msamaha, tena hawajui kuwaambia watoto ukweli, wana kazi ya kuwadanganya watoto mwisho wa siku tunatengeneza taifa la waongo na ndio maana hata viongozi wetu wengi ni waongo na hawapendi kuwajibika pale wanapokosea
Good...Nimekuelewa
Hakika mkuu.Umenena vema.
Hahahahaaaa kweli kabisa mkuu...Tatizo wazazi wa kibongo sijui ni stress, hawawezi kuomba watoto msamaha,
Hakika mkuu.Rais Magufuli anafanya kazi kubwa sana mzalendo huyu.