Changamoto za Malezi: Ukigundua umemkosea mtoto wako mdogo huwa unafanya nini? Unamnunulia anachokipenda (chips), unamuomba msamaha au unapotezea tu?

Changamoto za Malezi: Ukigundua umemkosea mtoto wako mdogo huwa unafanya nini? Unamnunulia anachokipenda (chips), unamuomba msamaha au unapotezea tu?

Ngoja wazazi tukae kimya tu, maana tukifunguka mnaweza mkatufundisha hata jinsi ya kulea watoto....teh[emoji12]
 
Naunga mkono wazo lako 100%
Wengi wanabeba tamaduni za wazazi wetu ooh "Mzazi wako ni mungu" uki endelea kuwa hivo hujengi uhusiano mzuri na mtoto, kuwa Transparent sio hypocrite katika malezi, Mtoto ukimkosea mwambie Niwie radhi mwanangu nlighafilika nkakuonea, akikosea ki ukweli muadibishe ki haki, wajua ukikua na kanuni ya "Tenda kwa wengine upendavyo kutendewa " uta ishi kwa amani sana.
Kweli mkuu
 
Mtoto akikosewa anaombwa msamaha kabisa,yeye ndipo anapojifunza kuwa akikosea naye aombe msamaha.maisha ya famiia ni uwazi na ukweli ndiyo hunogesha mahusiano,hata km ni mtoto wa kindergaten unamwomba tuu.mf ohh mwanangu nilikosea nilipokugombeza kumbe siyo wewe uliyemwaga maziwa,nisamehe mwanangu,then una mb
mzazi hakosei? Kwani kuna mzazi malaika? Hapo tunajifariji kwa ajili ya kuogopa kushuka,shuka ndugu hapo ndipo penye unyenyekevu
Mimi ninapomkosea mtoto wangu huwa namuomba msamaha na kumpa hugs za kutosha hadi nyongeza. Likewise akinikosea huniomba msamaha na kuhakikisha nimecheka kabla hajaendelea na mishe nyingine. He is just four years and saying sorry to each other is our life style.
 
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa jamiiforums.

Ndugu zangu Watanzania eti;

Ukigundua kuwa umemkosea mtoto wako mdogo huwa unafanya nini ili kuweza kupooza machungu yake na wewe kujipunguzia hatia nafsini mwako?

Unamnunulia anachokipenda (chips), unamuomba msamaha au unapotezea tu?


(1) Just imagine umemchapa mtoto kwa kumhisi anang'ata buttons za remote controller ya TV kumbe sio yeye bali ni panya ndio wanaharibu? Au;

(2) Mwanao umemkosea ulipomgombeza kumbe siyo wewe aliyemwaga maziwa...!!!!!

Ukigundua kuwa umemkosea mtoto unafanya nini?

USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.

Baadhi ya maoni ya wadau
=========
Telling the truth,admit your mistakes and ask for his/her forgiveness, itamjenga mtoto kuwa loyal na kuwa responsible katika makosa yake, pia itamjengea tabia ya kuomba msamaha pale anapoona amekosea na itamfanya kujifunza kutokana na makosa

Tatizo wazazi wa kibongo sijui ni stress, hawawezi kuomba watoto msamaha, tena hawajui kuwaambia watoto ukweli, wana kazi ya kuwadanganya watoto mwisho wa siku tunatengeneza taifa la waongo na ndio maana hata viongozi wetu wengi ni waongo na hawapendi kuwajibika pale wanapokosea
 
Telling the truth,admit your mistakes and ask for his/her forgiveness, itamjenga mtoto kuwa loyal na kuwa responsible katika makosa yake, pia itamjengea tabia ya kuomba msamaha pale anapoona amekosea na itamfanya kujifunza kutokana na makosa

Tatizo wazazi wa kibongo sijui ni stress, hawawezi kuomba watoto msamaha, tena hawajui kuwaambia watoto ukweli, wana kazi ya kuwadanganya watoto mwisho wa siku tunatengeneza taifa la waongo na ndio maana hata viongozi wetu wengi ni waongo na hawapendi kuwajibika pale wanapokosea
Nimekuelewa
Umenena vema.
 
Magufuli aliposema yeye ni kiongozi anayewajali sana wanyonge na watu wa chini ulidhani anatania?
 
Ambaye angemsumbua Rais Magufuli kwenye Uchaguzi labda yule mama wa ujerumani tu.
 
Rais Magufuli anafanya kazi kubwa sana mzalendo huyu.
 
Rais Magufuli anafanya kazi kubwa sana mzalendo huyu.
Hakika mkuu.
Screenshot_2020-09-24-19-55-15-1.jpg
 
Back
Top Bottom