Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Halafu vp mwenzangu kwenye kujaza index number. Umeweka cha form four au form six
 
Namba iko

Nisaidieni hii barua ya kujitolea inakuwa uploaded sehem gani pia CV safari hii haitakiwi au
 
Unauthorized user ni tatizo la mtandao au Kuna mahali nabugi?account nilifanikiwa kutengeneza,wakasema nitumie NIN kulog in
 
Mtu amemaliza St. Augustine University lkn pale kwenye course hakuna bachelor kuna certification na diploma tuu
Msaada wenu tafadhali
Iyo shida ipo kwa watu wengi, tujaribi kuongea na tamisemi huwenda wakatatua shida hii
 
WUNGWANA NAOMBA KUULIZA VIPI CHETI CHA KUZALIWA WANACHOTAKA KIWE UPLOADED PALE MWANZONI TUNAWEKA pdf YA CHETI ORIGINAL AU COPY?... NA VIPI NA CHENYEWE KINATAKIWA KUWA CERTIFIED?
kwenye tangazo walisema attachment ziwe zinasomeka vizuri....hata kama ni copy hakikisha inasomeka
 
Jamani msaada kwenye kipengere cha course sijui naweka nini kwasabubu nimeweka diploma in secondary Education haifanyi respond yoyote
 
Mabilionea wanahaha kwenye website ya ortamisemitz kusaka fursa za Ualimu.....Achana na standards za mtandaoni...watu Wana msoto nyuma ya Keyboards huko....sema huwa wanajiliwaza tu kuwaponda walimu walioko field
Nakuona Bajabir unarusha makombora kila kona[emoji3]
 
Mimi sina haraka nitaomba hata wiki ijayo ,mtandao ukiwa ni kuteleza tu kama nyoka pangoni
 
Vipi kuhusu barua ya kujitolea au CV kuna sehemu ya ku-attach?
 
Nimefikia kwenye machaguo ya mikoa, naomba ujuzi wenu hapa nizingatie nn
 
Jamani msaada kwenye kipengere cha course sijui naweka nini kwasabubu nimeweka diploma in secondary Education haifanyi respond yoyote
Jamani naomba msaada, naona error 8002
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…