Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Nimefanikiwa kutuma maombi muda huu teaching subjects zangu ni Geography na Economics , ila kilichoniuma ni baada ya kutoiona economics kule ndani , nimesikitika kuona hilo somo halina uhitaji. Maana nilitegemea lingenisaidia kwenye kupunguza ushindani .

Imeniuma sana hasa kila nikikaa vile nilivyokuwa nateseka nalo huku nikipigwa mikuki mikali ya Dr oswald mashindano , Dr osolo , madam mkenda , Dr joel bila kumsahau mdadila kumbe somo lenyewe hata siyo marketable kwenye uwanja wa ajiraaa .
Halafu vp mwenzangu kwenye kujaza index number. Umeweka cha form four au form six
 
Namba iko

Ndugu zangu naomba tutumie ukrasa huu kujadi tunazo kutananazo kwenye mfumo wa maombi mpaka hivi leo tarehe 21/4/2022 nimefanikiwa kufungua akaunti mbili tu kwa mbinde sana nilicho kigundua ni lazima ufungue akaunti mpya hivyo...utaingiza email yako kisha itafuata utambuzi wa namba ya UTAIFA. mida ya jioni ya leo 22/4/2022 saa 11:45 jioni nilifanikiwa kuona kipengele cha kuattach file kwenye eneo la shule kimefunguliwa ambapo kuanzia jana nilikuwa siwezi kuattach vyeti.
View attachment 2195644

tuendelee kupeana update hadi kieleweke hakuna kulalaView attachment 2195669
Nisaidieni hii barua ya kujitolea inakuwa uploaded sehem gani pia CV safari hii haitakiwi au
 
Unauthorized user ni tatizo la mtandao au Kuna mahali nabugi?account nilifanikiwa kutengeneza,wakasema nitumie NIN kulog in
 
Mtu amemaliza St. Augustine University lkn pale kwenye course hakuna bachelor kuna certification na diploma tuu
Msaada wenu tafadhali
Iyo shida ipo kwa watu wengi, tujaribi kuongea na tamisemi huwenda wakatatua shida hii
 
WUNGWANA NAOMBA KUULIZA VIPI CHETI CHA KUZALIWA WANACHOTAKA KIWE UPLOADED PALE MWANZONI TUNAWEKA pdf YA CHETI ORIGINAL AU COPY?... NA VIPI NA CHENYEWE KINATAKIWA KUWA CERTIFIED?
kwenye tangazo walisema attachment ziwe zinasomeka vizuri....hata kama ni copy hakikisha inasomeka
 
Jamani msaada kwenye kipengere cha course sijui naweka nini kwasabubu nimeweka diploma in secondary Education haifanyi respond yoyote
 
Mabilionea wanahaha kwenye website ya ortamisemitz kusaka fursa za Ualimu.....Achana na standards za mtandaoni...watu Wana msoto nyuma ya Keyboards huko....sema huwa wanajiliwaza tu kuwaponda walimu walioko field
Nakuona Bajabir unarusha makombora kila kona[emoji3]
 
Mimi sina haraka nitaomba hata wiki ijayo ,mtandao ukiwa ni kuteleza tu kama nyoka pangoni
 
Vipi kuhusu barua ya kujitolea au CV kuna sehemu ya ku-attach?
Wakuu msikate tamaa. MUNGU amenisaidia kukamilisha application by saa 17:04 jioni ya Leo.,Naamini atawasaidia hata ninyi kwa kuwa ninyi ni watu WAKE kama tu mtamtegemea kuwasaidia katika application hizi. Mimi ninatumia simu kufanya application bcoz it is less expensive, i.e MB hazitumiki Sana, nikitumia pc GB moja inaisha faster sana.

Changamoto nimeziona zinazojitokeza kwenu(mlizopost) nami nimepitia changamoto kama hizo; cha msingi endelea ku-refresh (reload) page husika mara kwa mara ukiona imeload mda mrefu saaaana kupita kawaida au kama hairespondView attachment 2196900

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimefikia kwenye machaguo ya mikoa, naomba ujuzi wenu hapa nizingatie nn
 
Jamani msaada kwenye kipengere cha course sijui naweka nini kwasabubu nimeweka diploma in secondary Education haifanyi respond yoyote
Jamani naomba msaada, naona error 8002
IMG-20220422-WA0010.jpg
 
Back
Top Bottom