Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Prince Mhando nizingatie kipi wakati wa kuweka machaguo ya mikoa ya kufundisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma IT wa Tamisemi wanakula pesa tu, hata hawashtuki na huu utopolo waomfumo unastuck vibaya servers zao zipo down
Yah..hiyo tangu Jana usiku..inaandika error 8002 no regions with deficiets foundJamani naomba msaada, naona error 8002View attachment 2197211
....pale unapofikia hatua ya machaguo yako kulingana na nafasi za shule kimasomoYah..hiyo tangu Jana usiku..inaandika error 8002 no regions with deficiets found
Iwe pdfWakuu nipo na changamoto ya ku upload Cheti cha kuzaliwa ..Sijajua kama sijui ku upload au ni system inazingua..
Naombeni nisaidiwe jinc ya ku upload hz documents.[emoji120]
Kuna option ya kufuta/toaNataka kubadilisha attachment ya cheti Cha kuzaliwa kwenye taarifa binafsi, nafanyaje wakuu au ndo imekula kwangu mana nimekosea
Kwenye attachment ya cheti Cha kuzaliwa nimeweka cheti kingine
Mkuu upo serious au una nijibu kwa majibu ya utani.Sasa ndugu zangu walimu na manesi hapa kosa la mtu wa IT ni lipi jamani?
Mbona mnapenda kutoa lawama sana.Haya unataka mtu wa IT afanye nini cha ziada hapa?
Nakupa elimu ya bure ili siku nyingine kabla ya kuponda IT wa bongo ujue nini kiko nyuma ya pazia.
Ni kwamba unapoingia kwenye browser yako na kutype address yako kwa ajili ya page hiyo ya maombi.Browser yako ndio inakuwa mteja na mhudumu wake ni hizo servers ambazo zina hiyo page.Ombi lako linapochelewa kushughulikiwa ni kwamba unakuwa umewekwa foleni kwa sababu server inakuwa imepokea maombi mengi na kila ombi linalotumwa linakuwa na mda wake wa kusubiri kabla ya kujibiwa.Mda wa kusubiri unaokuwa umepewa ukiisha bila kuhudiwa wewe unakuwa umetolewa kwenye foleni.
Sasa kama kwa kifupi sana jambo liko hivi kosa la IT wa bongo ni lipi sasa hapa?
Mwaka huu hawajaandika limit ya MB, but mwaka juzi walisema isizidi 2MBHabari zenu?Binafsi sijakamilisha Bado kwa sababu ya ile sehemu ya kuambatanisha nyaraka za chuo!Nauliza tu endapo pdf zangu hazijafika 2MB inaweza ikaniletea shida ya kukosa sifa ya kuchaguliwa?(Kwa kuwa mafaili yote niliyotuma mpaka Sasa Ni chini ya 2 MB)!Ni hayo tu wadau
Highest level uliyonayo..Halafu vp kuhusu sehemu ya kujaza shule niliyosoma maana wanaleta option mbili. O level na Advance. Sasa nichague ipi niache ipi
Nadhani kwa afya bado wanafeed details za courses... Bado haileti options.Kuna Mtu wa kada ya afya amefanikiwa kipengele cha elimu ya chuo ? Kama yupo msaada maana kwenye Mwaka na cheti akufunguki
Afya ama Education?Jaribu Mala nyingi uwezavyo. Hata mm ilikuwa hivyo ikakubali
Acha kuwafanganya wenzio.... Verified certificates ni better zaidi than uncertified ones.sytem inaverify yenyewe kama sio chako haikubari
Chagua Dar. Wengi wanaikwepa wakijua hawawezi kuchaguliwa kwahiyo utajikuta upo pekee akoNimefikia kwenye machaguo ya mikoa, naomba ujuzi wenu hapa nizingatie nn
Je vyeti inabidi vigongwe muhuri???. Kwani wakili anautashi wakugundua cheti feki na original?.kwenye tangazo walisema attachment ziwe zinasomeka vizuri....hata kama ni copy hakikisha inasomeka
Hili tatizo kwangu piaMbona mm sehemu yakujisali inagoma jamani. Nifanyeje kwasababu nimeingiza namba ya nida inaniambia unauthorized user. Nimejarib pia kuingiza email lakini Hola. Sijui naanzia wapi View attachment 2196896
Ongeza kukumbuka.utakuwa imesahau.maswali yanahitaji kukumbuka sanaJamani mie najaza details za NIDA mda wote inasema umekosea. Nifanyeje
Hahahaha Dar hapana aisee, lkn kama mikoa uliyochagua ikishindikana c unaweza kupangiwa mikoa mingine huko huko na Tamisemi au.?Chagua Dar. Wengi wanaikwepa wakijua hawawezi kuchaguliwa kwahiyo utajikuta upo pekee ako