Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Nimefanikiwa kutuma maombi muda huu teaching subjects zangu ni Geography na Economics , ila kilichoniuma ni baada ya kutoiona economics kule ndani , nimesikitika kuona hilo somo halina uhitaji. Maana nilitegemea lingenisaidia kwenye kupunguza ushindani .

Imeniuma sana hasa kila nikikaa vile nilivyokuwa nateseka nalo huku nikipigwa mikuki mikali ya Dr oswald mashindano , Dr osolo , madam mkenda , Dr joel bila kumsahau mdadila kumbe somo lenyewe hata siyo marketable kwenye uwanja wa ajiraaa .
we jamaa itakuwa tulisoma pamoja
 
Job seekers tupo wengi mno.

Nakumbuka wakati naomba mkopo niliombea kwenye Nokia Xpress Music.

Nilitegea saa tisa usiku ndiyo nikafanya kazi husika.

Tangu pale mi naamini hizi systems za serikali we ziamkie usiku mnene.
 
Mbona ni kama kiswahili siioni au ni kwangu tuu waungwana
Screenshot_20220423-124710.jpg
 
Ukimaliza kufungua account. Sehemu ya kujaza personal details kama mkoa unaoishi, elimu yako. Kwenye simu yangu ukibofya mfumo hauketi options shida ni nini?

Natumia browser ya mozilla firefox.
 
Mnaoona masomo yenu hakuna ,harafu mnachagua masomo yeyote eti kisa unajua kuyafundisha mnajitengenezea matatizo huko mbele ,kwanini usisubili SoMo lako waliweke ?...

Huko mbele mtakuja kukaguliwa na Kuna watu watawakataa kuwa sio walimu ,au watawakataa kuwa masomo uliyosomea chuo na uliyoomba ni tofauti ....Sasa wewe kurupuka huku kwenye system ukifikili tayari ushamaliza ....

Kuna vijana kibao wamefika kwa mkurugenz na kukataliwa baada ya kuaangalia maombi yao na taaaluma zao ,walidanganya mfumo .....
 
Mnaoona masomo yenu hakuna ,harafu mnachagua masomo yeyote eti kisa unajua kuyafundisha mnajitengenezea matatizo huko mbele ,kwanini usisubili SoMo lako waliweke ?...

Huko mbele mtakuja kukaguliwa na Kuna watu watawakataa kuwa sio walimu ,au watawakataa kuwa masomo uliyosomea chuo na uliyoomba ni tofauti ....Sasa wewe kurupuka huku kwenye system ukifikili tayari ushamaliza ....

Kuna vijana kibao wamefika kwa mkurugenz na kukataliwa baada ya kuaangalia maombi yao na taaaluma zao ,walidanganya mfumo .....
Watalia na kusaga meno
 
Mnaoona masomo yenu hakuna ,harafu mnachagua masomo yeyote eti kisa unajua kuyafundisha mnajitengenezea matatizo huko mbele ,kwanini usisubili SoMo lako waliweke ?...

Huko mbele mtakuja kukaguliwa na Kuna watu watawakataa kuwa sio walimu ,au watawakataa kuwa masomo uliyosomea chuo na uliyoomba ni tofauti ....Sasa wewe kurupuka huku kwenye system ukifikili tayari ushamaliza ....

Kuna vijana kibao wamefika kwa mkurugenz na kukataliwa baada ya kuaangalia maombi yao na taaaluma zao ,walidanganya mfumo .....
Ukiweka somo tofauti na ulilosomea system inakured chap
 
Unasemaa....!

Kwamba system inakataa nyaraka feki? ebu niweke wazi hapa
ukifoji system inatambua...ndio maana taarifa za nida zikipishana kidogo tu na cheti inakua haikutambui...hivyo ukifoji kwenye system hii mtu anajisumbua tu....
 
Back
Top Bottom