Mpwayungu Village
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 14,540
- 30,875
Huku moshi wanatuonea sana mtandao haufunguki totally. Sijui kwakua mbowe ndoanatoka huku.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilishangaa sasa, kuna mdau huko juu alisema doxc zinakataliwa na mfumo endapo haziko sawaSystem haiwezi ku prove scanned documents
we jamaa itakuwa tulisoma pamojaNimefanikiwa kutuma maombi muda huu teaching subjects zangu ni Geography na Economics , ila kilichoniuma ni baada ya kutoiona economics kule ndani , nimesikitika kuona hilo somo halina uhitaji. Maana nilitegemea lingenisaidia kwenye kupunguza ushindani .
Imeniuma sana hasa kila nikikaa vile nilivyokuwa nateseka nalo huku nikipigwa mikuki mikali ya Dr oswald mashindano , Dr osolo , madam mkenda , Dr joel bila kumsahau mdadila kumbe somo lenyewe hata siyo marketable kwenye uwanja wa ajiraaa .
Mbona ni kama kiswahili siioni au ni kwangu tuu waungwanaView attachment 2197542
Kwahiyo umefanya nini apo ndg!?
Watalia na kusaga menoMnaoona masomo yenu hakuna ,harafu mnachagua masomo yeyote eti kisa unajua kuyafundisha mnajitengenezea matatizo huko mbele ,kwanini usisubili SoMo lako waliweke ?...
Huko mbele mtakuja kukaguliwa na Kuna watu watawakataa kuwa sio walimu ,au watawakataa kuwa masomo uliyosomea chuo na uliyoomba ni tofauti ....Sasa wewe kurupuka huku kwenye system ukifikili tayari ushamaliza ....
Kuna vijana kibao wamefika kwa mkurugenz na kukataliwa baada ya kuaangalia maombi yao na taaaluma zao ,walidanganya mfumo .....
Ukiweka somo tofauti na ulilosomea system inakured chapMnaoona masomo yenu hakuna ,harafu mnachagua masomo yeyote eti kisa unajua kuyafundisha mnajitengenezea matatizo huko mbele ,kwanini usisubili SoMo lako waliweke ?...
Huko mbele mtakuja kukaguliwa na Kuna watu watawakataa kuwa sio walimu ,au watawakataa kuwa masomo uliyosomea chuo na uliyoomba ni tofauti ....Sasa wewe kurupuka huku kwenye system ukifikili tayari ushamaliza ....
Kuna vijana kibao wamefika kwa mkurugenz na kukataliwa baada ya kuaangalia maombi yao na taaaluma zao ,walidanganya mfumo .....
Tumia chromeUkimaliza kufungua account. Sehemu ya kujaza personal details kama mkoa unaoishi, elimu yako. Kwenye simu yangu ukibofya mfumo hauketi options shida ni nini?
Natumia browser ya mozilla firefox.
Mku hata chrome mi toka jana inanigomea hakuna effects kila nikitapTumia chrome
Tamisemi au Wizarani?Nani amefanikiwa kuchagua mikoa kwenye upande wa afya msaada
ukifoji system inatambua...ndio maana taarifa za nida zikipishana kidogo tu na cheti inakua haikutambui...hivyo ukifoji kwenye system hii mtu anajisumbua tu....Unasemaa....!
Kwamba system inakataa nyaraka feki? ebu niweke wazi hapa
ina prove namba za chuo na shule ulizo zijaza...vyeti ni uthibitisho tu...ila kikubwa ni zile nambaSystem haiwezi ku prove scanned documents