Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Kumbe hatuwezi kuweka mikoa bila barua, haya wanangu ety barua tunaandika kwa mkono au ku-typing.? Nimejaribu kuwapigia tamisemi ili niulize ila simu haitoki inakata yenyewe.
 
Kumbe hatuwezi kuweka mikoa bila barua, haya wanangu ety barua tunaandika kwa mkono au ku-typing.? Nimejaribu kuwapigia tamisemi ili niulize ila simu haitoki inakata yenyewe.

Nakuona Mzee wangu, pambania kombe.[emoji276]
 
Uzi huu unaonesha tuna wasomi wengi vilaza mno, wanateseka na vitu vidogo vidogo sana.
Ukweli mchungu huu...

Pia inaonesha si wasomaji wazuri sababu mambo mengi yamewekwa/kuelezwa kwenye tangazo.
Kuna vitu vichache hawajaviainisha kwenye tangazo ndio vinahitaji ufafanuzi.
Mf: Wamesema wanaofanya kwenye mashirika waambatanishe mikataba yao lakini hakuna sehemu ya ku upload.
👉Hawajasema tu verify vyeti
 
Mtandao muda huu naona haufany kazi kabisa sio kwenye PC Wala simu sijui wenzangu
 
Sehemu ya taarifa za chuo umefanyaje hadi ukafanikiwa kupajaza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nakataa sababu zako.

Hivi Amazon, ebay zilizotapakaa Dunia nzima na kutumiwa na mamilioni ya watu ulimwenguni, huu usumbufu mbona haupo huko? Kama ni wingi wa watumiaji basi Amazon ingekuwa na foleni isiyo na kifani kwani inawatumiaji wengi sana.

Mbona page ya Wizara ya Afya iko vizuri hamna tatizo kama huku Tamisemi. Ma IT wa Tamisemi wanakwama sana
 
Ukiandika tu index namba na mwaka uliomaliza system inakuletea information zote mpaka jina la shule ulomaliza
Pia system inaweza kuprove scanned doxc na kama zipo tofauti na taarifa ilizodisplay inaikataa? hili swali ndio msingi wa kuwa doxc zinakataliwa na system
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…