The real Daniel
JF-Expert Member
- Jan 5, 2017
- 2,117
- 7,899
Hili swala la kiswahili Kuna mtu kafanikiwa kuona Hilo somo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Barua umeandika kwa ku-typing au mkono.?Mfumo naona bado unafunguka vizur muda huu. Kwa ambao hamjakamilisha tumieni fursa hii.View attachment 2198143
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 Chuo gn hicho umeweka necta ikakubaliKOZI GANI? JARIBU NECTA MKUU mimi nimeomba nacte imegoma tcu imegoma nimetumia necta imekubali
😂😂 Labla Zoom college ndo ukiweka necta inakubaliYaani taarifa za chuo zitoke NECTA? hapo hapana.
Huwezi ukawa umesoma chuo kikuu halafu urudi kutafuta taarifa zako za chuo NECTA.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Barua umeandika kwa ku-typing au mkono.?
[emoji23][emoji23] Chuo gn hicho umeweka necta ikakubali
[emoji23][emoji23] Labla Zoom college ndo ukiweka necta inakubali
Mimi ilikubali.. changamoto ni mikoa tuu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila shaka umeamka salama mkuu.
Kwa wale wa upande Afya, mumefanikiwaje kujaza taarifa za chuo. Chuo nakipata ila kozi inagoma kupatikana hivyo nakwama kwenda mbele.
Hongera mkuu, umefika pazuri.Mimi ilikubali.. changamoto ni mikoa tuu
Kuna vitu sivielewHongera mkuu, umefika pazuri.
Kwenye sehemu ya kuattach vitu vingine hamna kipengele hicho?Kuna vitu sivielew
Kweny tangazo walisema tuweke na recommendation letter au nakal za mikataba lakn sijaona sehem ya kuattach!
HakunaKwenye sehemu ya kuattach vitu vingine hamna kipengele hicho?
Sehemu ya "accredited by" weka NECTA kama ni diploma au certificate baada ya hapo reg number itaweza kuwa verified kwa urahisi uendelee mbele. Japo pia kwenye selection za mikoa Kuna changamoto Mimi ndo nimekwama[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Bila shaka umeamka salama mkuu.
Kwa wale wa upande Afya, mumefanikiwaje kujaza taarifa za chuo. Chuo nakipata ila kozi inagoma kupatikana hivyo nakwama kwenda mbele.
Pole sana Itakua network yake ndo inatatizo.....mm nishafanyia application za education Kam 3 na mm mwenywe nishamaliz Kila kitu na kuedit naedit vzr tuuu......atafute mb za kutoshaHabar za asubuh ndugu.Nilikua na mpango wa kuamkia stationary,nimempigia mhusika anasema mtandao bado unasumbua mpaka jana hajafanikiwa kumfanyia mtu aplication.Mnanishauri nini?Naomben wenye uzoefu Na hili jambo wanipe ushaur nianzie wapi.
N.B.Sina Laptop,Nina Simu Yenye uwezo kias,japo netwk napoish ipo chini /saiz ya kati.
Diploma elimu msingi na certificate ni NECTA ndo watoajiYaani taarifa za chuo zitoke NECTA? hapo hapana.
Huwezi ukawa umesoma chuo kikuu halafu urudi kutafuta taarifa zako za chuo NECTA.
Acha kupotosha watu, Diploma na Certificate wapo chini ya NACTEDiploma elimu msingi na certificate ni NECTA ndo watoaji
Nakumbuka kipindi kilichopita hizi recommendation letter watu waliziscan pamoja na barua kwenye pdf moja.Hakuna
Kuna barua iliyosainiwa
Birth certificate
Cheti cha MCT
Kama ni Bachelor si ndio TCU inahusika?Sehemu ya "accredited by" weka NECTA kama ni diploma au certificate baada ya hapo reg number itaweza kuwa verified kwa urahisi uendelee mbele. Japo pia kwenye selection za mikoa Kuna changamoto Mimi ndo nimekwama
Endelea kuforce itakubaliMsaada jamani najaribu kufungua akaunt kwenye hatua ya mwanzo kabisa nimejaza taarifa binafsi kisha inaniandikia "failed to verify login credentials"
View attachment 2198383
unaongea kitu usichokijua halaf unaongea kwa kujiamin yan😀😀 tangu lini elimu ngazi ya cheti na diploma wakatoa NACTEAcha kupotosha watu, Diploma na Certificate wapo chini ya NACTE
Certificate ni NECTAunaongea kitu usichokijua halaf unaongea kwa kujiamin yan[emoji3][emoji3] tangu lini elimu ngazi ya cheti na diploma wakatoa NACTE