kakasamjr
Member
- Oct 28, 2014
- 5
- 2
tarehe 4 mwezi ujao
Asante rafiki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tarehe 4 mwezi ujao
Ufafanuzi upi kiongoz, wengine hatujausikia tujuze tafadhali.Kwa ufafanuzi huu,Wenzangu Wa ualimu grade A twendeni tukatafute vibarua vingine vya kufanya. Nadhani hii ndio sababu ya kibox cha kozi uliyosoma kutokufunguka.
yana badilisha ila sina uhaika kama kwa kutumia simu unaweza...il kwenye computer unaona jinsi ya kuondoa...chochoteHivi mazee ukimaliza kuomba no zote zikawa 100% na system ikasema maombi yako yametumwaa Tamisemi ...vip nikitaka kubadili inawezekanaa .?? Kwa mfano mie nimeambatanisha barua ya maombi na Cv je nikitaka kutoa natoa?? Au maombi yakitumwaa hayabadiliki??
Unapakubali butiama? Huko utapata tu tena asilimia miaWakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
View attachment 2201340
Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
View attachment 2201342
Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
View attachment 2201344
Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
View attachment 2201346
Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!
Msaada tutani!
Hata cm pia anabadilisha tu bila tatzoyana badilisha ila sina uhaika kama kwa kutumia simu unaweza...il kwenye computer unaona jinsi ya kuondoa...chochote
Kwani ajabu ni nini. Walimu wa physics na math wapo wengi kuliko arts baada yakuona science ndokila kitu wote wakahamia huko. Ila hayo masomo yapo nanimeapplykwamba hakuna uhitaji wa walimu wa physics na hesabu?
Mkuu na me nimekwama hapa hapa ase chaguo linakuja moja tu alafu ukisev halionekan na ukitaka ku-add sehem nyingine mfumo una-baunse tuWakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
View attachment 2201340
Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
View attachment 2201342
Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
View attachment 2201344
Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
View attachment 2201346
Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!
Msaada tutani!
Mimi Afya upande wa taarifa za chuo kuweka kozi inagoma, machaguo ya muombaji pia inagoma kabisa.Wakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
View attachment 2201340
Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
View attachment 2201342
Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
View attachment 2201344
Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
View attachment 2201346
Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!
Msaada tutani!
sijatumia simu...kuingilia kwenye mfumo kama ndio hivyo basi wameuboresha sana kwa kweliHata cm pia anabadilisha tu bila tatzo
Mkuu na me nimekwama hapa hapa ase chaguo linakuja moja tu alafu ukisev halionekan na ukitaka ku-add sehem nyingine mfumo una-baunse tu
sio graduates wote wana masomo ya kufundishia sekondari.Imemletea hizo kozi kwa kuwa kwa sifa yake anapaswa afundishe Sekondari,aombe kozi za Sekondari tu
Ndo nilichomwambia. Maana yeye yupo mbali, nikimwambia hivyo anahisi namfanyia hujuma kisa wenzake wameapply bila shida. Msaada ukawa mzigo 😆😆😆 kweli ndugu lawamaAwapigie Necta aulize
Sio kweli mimi nimemjazia mtu matano..nilikuwa nabonyeza neno ongeza mpaka yakakamilika 5Afya machaguo ni moja tu
Duh ukiwa unatumia simu kuedit taarifa kwenye huu mfumo ni changamoto sana hata ukirotate simu haileti sehemu ya edit. Hili nalo ni tatizo lingine
We jamaa umejitahidi Sana kutoa msaada hapa kila SAA upo online nakuombea kwa mungu upate ajira[emoji122]sijatumia simu...kuingilia kwenye mfumo kama ndio hivyo basi wameuboresha sana kwa kweli