Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Hivi mazee ukimaliza kuomba no zote zikawa 100% na system ikasema maombi yako yametumwaa Tamisemi ...vip nikitaka kubadili inawezekanaa .?? Kwa mfano mie nimeambatanisha barua ya maombi na Cv je nikitaka kutoa natoa?? Au maombi yakitumwaa hayabadiliki??
yana badilisha ila sina uhaika kama kwa kutumia simu unaweza...il kwenye computer unaona jinsi ya kuondoa...chochote
 
Wakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
IMG_9246.png



Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
IMG_9247.png



Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
IMG_9248.png



Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
IMG_9245.png



Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!

Msaada tutani!
 
Wakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
View attachment 2201340


Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
View attachment 2201342


Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
View attachment 2201344


Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
View attachment 2201346


Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!

Msaada tutani!
Unapakubali butiama? Huko utapata tu tena asilimia mia
 
kwamba hakuna uhitaji wa walimu wa physics na hesabu?
Kwani ajabu ni nini. Walimu wa physics na math wapo wengi kuliko arts baada yakuona science ndokila kitu wote wakahamia huko. Ila hayo masomo yapo nanimeapply
 
Wakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
View attachment 2201340


Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
View attachment 2201342


Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
View attachment 2201344


Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
View attachment 2201346


Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!

Msaada tutani!
Mkuu na me nimekwama hapa hapa ase chaguo linakuja moja tu alafu ukisev halionekan na ukitaka ku-add sehem nyingine mfumo una-baunse tu
 
Wakuu ninafanya maombi kwa Upande wa Afya na nimefikia hapa
View attachment 2201340


Lakini nikicheki Machaguo yangu ya Kituo cha kazi hayaonekani
View attachment 2201342


Nimebonyeza kwenye hiyo button ya “ongeza machaguo”nikajaribu kuchagua Kama inavyooneka hapa chini Kama Chaguo langu la pili.
View attachment 2201344


Sasa kimbembe kwenye KUHIFADHI inagoma kabisa yaani inabaunsi tuu na ukicheki mtandao upo fresh tuu wakuu
View attachment 2201346


Wakuu nauliza inakuaje hii?
Afya tunafanya machaguo mangapi mwisho?
Walimu nimeona wamechagua sehemu nyingi kidogo!

Msaada tutani!
Mimi Afya upande wa taarifa za chuo kuweka kozi inagoma, machaguo ya muombaji pia inagoma kabisa.
 
Habari wadau mimi napata changamoto kwenye ku upload cheti cha diploma inagoma na kwenye section ya year of graduate ! Kuna mtu pia amekutana na changamoto hii ?
Natuma maombi AFYA
 
Jana nilienda wakati nasubiri foleni ya Internet kunammoja jamaa shababi hivi alimsogezea secretary barua nyingine tofauti na ile yakuombakazi afu akamsogelea Secretary akamnon'goneza jambo. JAMANI KAMA KUNAKITU KINGINE ULIMWENGU MWINGINE TUAMBIANE!
 
Back
Top Bottom