Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Changamoto za mfumo wa maombi ya ajira za Elimu na Afya 2022

Simu ipo fresh sana tu mi nimetumia simu na nlifanikiwa mapema sana kukamilisha maombi na sasa naedit tu pale ninapojiskia kufanya hivyo hadi siku ya deadline
 
nili apply fresh nasema nicheki sahii nakuta hiki...sehemu ya chuo pako 0 tatzo linaweza kua nn??
Screenshot_20220427-002628_Chrome.jpg
 
Nishamaliza kujaza taarifa zote 100%.Sioni sehemu ya ku-submit maombi yangu.NISAIDIENI
ukisha kamilisha inajituma yenyewe...utaona imeandikwa maombi yako yamekamilika na kutumwa...kama kiambatanishi hapo chini kinavyoonyesha
Capture.JPG
 
Wakuu kuna hii ishu ya iutoonekana machaguo, je ndio yapo kweli au ni fix tu maana nikiweka tu barua kitu kinajituma moja kwa moja. Naomba kufahamu hili kabla sijamalizia kuweka barua
IMG_20220427_082910_229~2.jpg
 
Wakuu kuna hii ishu ya iutoonekana machaguo, je ndio yapo kweli au ni fix tu maana nikiweka tu barua kitu kinajituma moja kwa moja. Naomba kufahamu hili kabla sijamalizia kuweka baruaView attachment 2202020
Na mimi nina changamoto hapa alafu mimi kwangu inagoma kuongeza machaguo hasa ninapofika kusave haifanyi chochote
 
Back
Top Bottom