#COVID19 Changamoto za safari nje ya nchi na covid19 | delta, chanjo, cheti mambo yako vipi?

#COVID19 Changamoto za safari nje ya nchi na covid19 | delta, chanjo, cheti mambo yako vipi?

6WaS9

JF-Expert Member
Joined
Mar 2, 2021
Posts
2,562
Reaction score
3,028
Habari,

Kufuatia wimbi jingine la ugonjwa huu na maambukizi mapya ya covid19 delta.

Baadhi ya Nchi zimeingia kwenye travelling ban , mfano nchi kadhaa zimeiban India , Kenya na nyinginezo kusafiri...

Karibu uwasilishe changamoto zozote ulizokutana nazo hivi karibuni kama ulisafari kutoka tz kwenda nje ya nchi, au nje ya nchi na kurudi nyumbani Tanzania.

Nchi nyingine kwasaaa hawakupi Visa hadi uwe umepata chanjo tena mbili na uwe na certificate ya chanjo.

Sasa kwa Tz ambapo hata bado mchakato huu haujaanza tunafanyaje??

Ni chanjo zipi zipo approved na zinakubalika internationally kwa ajiri ya wasafiri?

Utaratibu na gharama zikoje kupata chanjo?
 
Kwa ajili ya usalama wetu kama raia ni bora tukachomwa hizo chanjo na mambo mengine yaendelee......

Wenzetu walianza kuwa "serious" muda mrefu....

Sasa unapokuwa na raia wasio na chanjo utaendeshaje SHUGHULI za kitalii na mahoteli yake?!!!

Utasafirije nje kibiashara?

Wanaokwenda kuhiji Bethlehem na Makka watasafirije?

#ChanjoNiMuhimu
 
Kwa ajili ya usalama wetu kama raia ni bora tukachomwa hizo chanjo na mambo mengine yaendelee......

Wenzetu walianza kuwa "serious" muda mrefu....

Sasa unapokuwa na raia wasio na chanjo utaendeshaje SHUGHULI za kitalii na mahoteli yake?!!!

Utasafirije nje kibiashara?

Wanaokwenda kuhiji Bethlehem na Makka watachukuliwaje?

#ChanjoNiMuhimu
Kupima covid19 ni 100usd , je chanjo itakuwa free...? Najiuliza hapa Mkuu.
 
Kupima covid19 ni 100usd , je chanjo itakuwa free...? Najiuliza hapa Mkuu.
Mkuu WHO wanaratibu chanjo za bure kwa nchi "zinazoendelea" baada ya kujiorodhesha.....hizi wananchi hatutalipia(free of charge)....

Ila pia ziko za kulipia mkuu wangu....
 
Kwa ajili ya usalama wetu kama raia ni bora tukachomwa hizo chanjo na mambo mengine yaendelee......

Wenzetu walianza kuwa "serious" muda mrefu....

Sasa unapokuwa na raia wasio na chanjo utaendeshaje SHUGHULI za kitalii na mahoteli yake?!!!

Utasafirije nje kibiashara?

Wanaokwenda kuhiji Bethlehem na Makka watasafirije?

#ChanjoNiMuhimu
Wewe ni mbweha kweli.
 
Mimi nilienda SA mwanzo kabla ya delta nimitumia usafiri wa bus kutokea Lusaka hapo unapima Corona tena kwa appointment siku moja kabla ya safari unalipa kama laki na therathini hivi hapo UTH..usafiri mnaanza saa kumi na moja alfajiri bus zinapitia Kazungura border kuingia botswana ni masaa sita hivi mkifika hapo abiria wote mnashuka mnapima tena mara nyingi bus huwa linalala hapo mpaka kuwamaliza abiria wote ila kuingia Botswana hakuna malipo na kuingia SA ila kutoka SA kuna malipo kupata kipimo cha korona kama laki na ishirini...mwezi uliopita nikasema ngoja niende na Rwanda air usumbufu hakuna ni cheti chako ambacho umepima Tanzania kiwe ndani ya masaa 72 ndio unaruhusiwa kuingia SA ila hupimwi tena pale Oliver Tambo labda waamue tuu wao wanaamini taarifa za vyeti za nchi zingine ila unaporudi Tanzania na SA umepima na cheti bado kipo ndani ya masaa unalipia 57,000 tena kupima kipimo ambacho Botswana ni bure vifaa vya kupimia vipo kwenye maduka hata elfu kumi na sita haifiki kununua tena vikiwa 12...
IMG-20210110-WA0090.jpg
IMG-20210110-WA0066.jpg
 
Mkuu WHO wanaratibu chanjo za bure kwa nchi "zinazoendelea" baada ya kujiorodhesha.....hizi wananchi hatutalipia(free of charge)....

Ila pia ziko za kulipia mkuu wangu....
Tofauti yake ni ipi kati ya hizo mbili?
 
Mkuu WHO wanaratibu chanjo za bure kwa nchi "zinazoendelea" baada ya kujiorodhesha.....hizi wananchi hatutalipia(free of charge)....

Ila pia ziko za kulipia mkuu wangu....
Mchakato huu wa chanjo unatarajiwa kuanza lini..?
 
Mimi nilienda SA mwanzo kabla ya delta nimitumia usafiri wa bus kutokea Lusaka hapo unapima Corona tena kwa appointment siku moja kabla ya safari unalipa kama laki na therathini hivi hapo UTH..usafiri mnaanza saa kumi na moja alfajiri bus zinapitia Kazungura border kuingia botswana ni masaa sita hivi mkifika hapo abiria wote mnashuka mnapima tena mara nyingi bus huwa linalala hapo mpaka kuwamaliza abiria wote ila kuingia Botswana hakuna malipo na kuingia SA ila kutoka SA kuna malipo kupata kipimo cha korona kama laki na ishirini...mwezi uliopita nikasema ngoja niende na Rwanda air usumbufu hakuna ni cheti chako ambacho umepima Tanzania kiwe ndani ya masaa 72 ndio unaruhusiwa kuingia SA ila hupimwi tena pale Oliver Tambo labda waamue tuu wao wanaamini taarifa za vyeti za nchi zingine ila unaporudi Tanzania na SA umepima na cheti bado kipo ndani ya masaa unalipia 57,000 tena kupima kipimo ambacho Botswana ni bure vifaa vya kupimia vipo kwenye maduka hata elfu kumi na sita haifiki kununua tena vikiwa 12...View attachment 1854344View attachment 1854346
So mkuu inaelekea ukisafiri kwa ndege , utapunguza usmbufu na gharama za kupima kila Border za huko kwa safari ya SA au botsawana?
 
Mimi nilienda SA mwanzo kabla ya delta nimitumia usafiri wa bus kutokea Lusaka hapo unapima Corona tena kwa appointment siku moja kabla ya safari unalipa kama laki na therathini hivi hapo UTH..usafiri mnaanza saa kumi na moja alfajiri bus zinapitia Kazungura border kuingia botswana ni masaa sita hivi mkifika hapo abiria wote mnashuka mnapima tena mara nyingi bus huwa linalala hapo mpaka kuwamaliza abiria wote ila kuingia Botswana hakuna malipo na kuingia SA ila kutoka SA kuna malipo kupata kipimo cha korona kama laki na ishirini...mwezi uliopita nikasema ngoja niende na Rwanda air usumbufu hakuna ni cheti chako ambacho umepima Tanzania kiwe ndani ya masaa 72 ndio unaruhusiwa kuingia SA ila hupimwi tena pale Oliver Tambo labda waamue tuu wao wanaamini taarifa za vyeti za nchi zingine ila unaporudi Tanzania na SA umepima na cheti bado kipo ndani ya masaa unalipia 57,000 tena kupima kipimo ambacho Botswana ni bure vifaa vya kupimia vipo kwenye maduka hata elfu kumi na sita haifiki kununua tena vikiwa 12...View attachment 1854344View attachment 1854346
Nchi ulizopita wameanza utaratibu wa chanjo?, ni chanjo za aina gani?
 
Back
Top Bottom