#COVID19 Changamoto za safari nje ya nchi na covid19 | delta, chanjo, cheti mambo yako vipi?

#COVID19 Changamoto za safari nje ya nchi na covid19 | delta, chanjo, cheti mambo yako vipi?

Hizi za kulipia Mkuu nina wasiwasi nazo sana kwani matapeli wanaweza kuona opportunity ya kutengeneza millions na hivyo kuwadunga watu sindano zenye maji huku wahusika wakijua wamepata chanjo.
Mkuu WHO wanaratibu chanjo za bure kwa nchi "zinazoendelea" baada ya kujiorodhesha.....hizi wananchi hatutalipia(free of charge)....

Ila pia ziko za kulipia mkuu wangu....
 
Mimi nilienda SA mwanzo kabla ya delta nimitumia usafiri wa bus kutokea Lusaka hapo unapima Corona tena kwa appointment siku moja kabla ya safari unalipa kama laki na therathini hivi hapo UTH..usafiri mnaanza saa kumi na moja alfajiri bus zinapitia Kazungura border kuingia botswana ni masaa sita hivi mkifika hapo abiria wote mnashuka mnapima tena mara nyingi bus huwa linalala hapo mpaka kuwamaliza abiria wote ila kuingia Botswana hakuna malipo na kuingia SA ila kutoka SA kuna malipo kupata kipimo cha korona kama laki na ishirini...mwezi uliopita nikasema ngoja niende na Rwanda air usumbufu hakuna ni cheti chako ambacho umepima Tanzania kiwe ndani ya masaa 72 ndio unaruhusiwa kuingia SA ila hupimwi tena pale Oliver Tambo labda waamue tuu wao wanaamini taarifa za vyeti za nchi zingine ila unaporudi Tanzania na SA umepima na cheti bado kipo ndani ya masaa unalipia 57,000 tena kupima kipimo ambacho Botswana ni bure vifaa vya kupimia vipo kwenye maduka hata elfu kumi na sita haifiki kununua tena vikiwa 12...View attachment 1854344View attachment 1854346
Duh kumbe unaweza pita Botswana? Sikuwahi kujua,najua ya Zimbabwe tu ! Lusaka-Harare-Jorbeg.

Duh mbona naona gharama sana kwa basi sbb ya hivyo vipimo jmn[emoji848]
Sijui itakuwaje inabidi nisisafiri kwakweli coz siwezi kuchanja

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Dah kwa huku Qatar kwanza ni lazima uje na certificate ile ya corona. Na ukifika airport pale wanakupiga tena kwa gharama zako. Na watahitaji at least uwena USD 2800 kwa ajili ya quarantine for two weeks. Hiyo ni lazima kwa wageni ambao siyo raia wa nchi hii. Ni lazima use tumepigwa chanjo tena mbili, wanafanya hivyo kwa maana ya kombe la dunia mwakani hivyo wako makini balaa.. Hivyo kama una mpango wa kuja Qatar kwa sasa ufute maana gharama na vigezo vimekuwa vyingi mfano huku kazi ni nyingi lakini za mkataba mifupi mifupi miezi sita, Tisa, mitatu hivyo..
Na baada ya kombe la dunia wageni wengi watarudishwa makwao hasa wale kwenye mkataba mifupi. Mfano Mimi mkataba wangu unaisha July 2023 hivyo naruhusiwa kuingia na kutoka Qatar ila kwa sababu maalumu.
Kwanza January may be wataanza kupokea watu kwa ajili ya kombe la dunia..
Mambo ni mengi sana huku ya kufanya, ingekuwa hakuna mavigezo ya kuingia basi ningewaboost vijana wenzangu wake kubeba boksi huku tusukume life.
[emoji848]aiseee

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Hizi za kulipia Mkuu nina wasiwasi nazo sana kwani matapeli wanaweza kuona opportunity ya kutengeneza millions na hivyo kuwadunga watu sindano zenye maji huku wahusika wakijua wamepata chanjo.
Hakika....
 
Corona ni biashara siku hizi nchi zote ukitoka unapima ukiingia unapima
So unapimwa na bado watataka cheti cha covid19 pamoja na cheti cha chanjo ya covid19???
 
Duh kumbe unaweza pita Botswana? Sikuwahi kujua,najua ya Zimbabwe tu ! Lusaka-Harare-Jorbeg.

Duh mbona naona gharama sana kwa basi sbb ya hivyo vipimo jmn[emoji848]
Sijui itakuwaje inabidi nisisafiri kwakweli coz siwezi kuchanja

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
Kama una biashara, familia au kazi huko utafanyaje??
 
Kuanziq kesho wanaanza kuchanja makundi rasmi
 
Kwa ufupi hii ni biashara kwa sasa, na ushindani ni mkubwa katika nchi zinzouza chanjo!!
 
2875299_easy_to_work_in_dubai-20210809-0001 (1).jpg
 
Johnson & Johnson haijawa approved huko UAE kwanini...?
 
Shida inakuja sasa ni chanjo ipi inakubalika kwa safari unayotaka kwenda nje ya nchi! Mfano wanaoneda kuhiji Saudi wanapokea watu waloochanjwa chanjo ipi??
 
Back
Top Bottom