wachepukaji mko wengi kumbe JF..... Huu ni ushahidi tosha kwamba nyie akili zenu ni kutaka kugegedwa tu na si chengine, mana nkisoma michango yenu mmeshikilia mambo ya kugegedwa tu. Wanawake wa aina yenu hata muwe na mwanaume mmoja hamtoridhika, mtachepuka tu! KUCHEPUKA NI TABIA YA MTU TENA NASEMA NI TABIA YA KIKAHABA, hakuna justification ya kuchepuka! Khalas!Ukiwakuta vijiweni na humu jf wanavyojazana upepo utafikiri imo, wakati katika hali halisi hata wake zao kuwatosheleza wameshindwa.
Kiubinadamu hakuna kitu kama hicho, ni vile tu dini inalazimisha hivyo mtu anakuwa hana jinsi. Kwahiyo ukikosa pesa unaamua kuiba kwakuwa hauna pesa na una mahitaji unayotakiwa kuyatimiza? Ushawahijiuliza kwanini wanawake ni wengi kuliko wanaume? Au kwakuwa akili iliishia kwenye tamaa za kimwili basi suluhisho ni kuoa zaidi ya mmoja!!Wanawake idadi yenu duniani ni nyingi sana, wengine watataka kuolewa lakini watakosa waume ikiwa kila mmoja na mmoja tu. Mume hata awe na wake tisa, kama ana maadili na anaifahamu dini yake basi hawezi kupunguza upendo kwa wa mwanzo na kuendelea ukasema eti anampenda wa mwisho zaidi. Ndio maana tukaambiwa kwa mwenye uwezo, uwezo huo ukiwa wa kugegeda na kuwafanyia uadilifu basi ongeza. Hivi ikiwa mke tasa, je umuache kwa sababu hazai na ukaoe anaezaa? atajiskiaje yule mwanamke ambae hazai? kwamba hana haki ya kuolewa? lakini badala ya kumuacha basi unaongeza mwengine ili ukuze familia. Wapo wanawake waloridhika kwa nafsi zao mume wake kuwa na wake wanne. kama huwezi wewe usiwawesemee wengine.
Haya kahaba mwenzetu.wachepukaji mko wengi kumbe JF..... Huu ni ushahidi tosha kwamba nyie akili zenu ni kutaka kugegedwa tu na si chengine, mana nkisoma michango yenu mmeshikilia mambo ya kugegedwa tu. Wanawake wa aina yenu hata muwe na mwanaume mmoja hamtoridhika, mtachepuka tu! KUCHEPUKA NI TABIA YA MTU TENA NASEMA NI TABIA YA KIKAHABA, hakuna justification ya kuchepuka! Khalas!
Haya kahaba mwenzetu.
Wewe ndio akili zako ziliishia katika tamaa za kimwili maskini na ndio maana post zako zote unaongelea masuala ya mwanaume uwezo wa kugegeda hapa...... sijaona post yako ambayo umezungumzia suala la familia, bali ni mgegedo tu. Wanawake ni wengi ukiachilia mbali kuwa wanazaliwa kwa wingi, wanaume umri wa kuishi kwao kuwa mdogo kutokana na majukumu ya kidunia, mfano unakuta jeshi lina wanaume wengi sana, wanapoenda vitani wengi wanaokufa ni wanaume. Swala lako kuhusu kukosa pesa sijafahamu umekusudia kuliweka vipi, lakini nalirudisha huko huko kwako, unapokosa pesa na kwenda kuiba ni sawa na kuchepuka, ila unapokosa hela kisha ukatafuta njia nyengine ya kutimizi uloyahitaji ni sawa na kuongeza MKE (si mlupo au kahaba - ndo wizi huu). Sasa nakurudishia, we ukikosa hela kutimiza unayoyahitaji waenda nje ya njia halali za kutimiza malengo yako?
Haichukui muda kwa kahaba kumtambua kahaba mwenzie. Basi sawa kahaba mkuu.Hahahaa.... Mi siwezi kuwa kahaba, sijawahi kwenye maisha yangu kusapoti mke au mume kuchepuka.... Anaesapoti kuchepuka ndio Kahaba na yeye ndio mchepukaji...... Pole kama imekugusa
Sasa tukuombee usiishie njiani au ukamatwe?nipo kwa njia naenda kulala kwa mchepuko wangu ni mke mdogo wa jamaa hapa mtaani
maombio yenu jmani😀😀😀
mniombee nikapakue mzigo salama bila bughuzaSasa tukuombee usiishie njiani au ukamatwe?
Angalia tu nawe usije ukapakuliwa.mniombee nikapakue mzigo salama bila bughuza
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]Angalia tu nawe usije ukapakuliwa.
Afadhali umefumba macho, utapofuka ujue![emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Tehe nakutana na ngumu tu hata humuonei huruma mdogo akao[emoji17]Afadhali umefumba macho, utapofuka ujue!
Haha nakusalimia tuHata maumbile yenu hayaruhusu mnalazimisha tu.
Huku usipite mdogo wangu, sawa mtoto mzuri!!Tehe nakutana na ngumu tu hata humuonei huruma mdogo akao[emoji17]
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Haha nakusalimia tu
Sijambo, shikamoo. Nimekuhamu zaidi[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Dota haujambo? Mekumithimo[emoji8] [emoji8] [emoji8]