[emoji23] [emoji23] shabashi, itakua ya guta ulinipa, Mungu anakuona walaiHivi nilikupaga namba eeh?? Sikumbuki. Na itakua nilikupa namba ya gari maana namba zangu zinapatikana
Hahaha nahisi Hata na mie ninazo hizo chembe za uchungu unazozingumzia japo nikiri wazi sijathubutu kuvaaa viatu vya mzee wako najua havitanitoshaHahaaaaa jamani si unajua tena huyo ndo Ana uchungu kuliko wapita njia tunaokutana nao utu uzimani
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mwenza pole yaani na t*ko hilo bado jitu linakutenda...lakini ilikuwaje na wewe hadi ukazama kwa mtu anaishi kabisa na mwanamke ndani na usigundue?
Mwanaume mwenye uwezo na akawa na mke mmoja ni kukosa uadilifu.Inashangaza kwakweli....!
Hata Adam aliumbiwa mke mmoja tu.
Sijui wenzetu waislam wanawezaje kutokomeza wivu na kuchukulia poa hiyo hali.
Mkuu hao ndio wanawake wasikusumbue sana usikute mleta mada anadate na mume wa mtunaona kama inawahusu sana wanawake ngoja waje wakusaidie kukushauri maana saiv kuwa peke yako labda miujiza itokee tena lkn sio kwa sasa
Huwa kuna hisia fulani tu inakujia outomatic.Huyu jamani nilimuuliza kama mara tatu anakana kabisa kabisa hana mwanamke. Siku nikamkazia nikamwambia najua una mwanamke na unaishi nae. Yani sijui nini kilikua kinaniaminisha huyu kaka ana mwanamke. Akasema ni kweli ila nilikua naogopa kukwambia sababu ungenikataa na mimi nakupenda. Aliniumiza sana. Bora angekua mkweli toka mwanzoni nisingeingia kwenye mahusiano yake.
Mwanaume mwenye uwezo na akawa na mke mmoja ni kukosa uadilifu.
Kilichotekea kwa Adam ndicho anachokitaka mleta mada ili amgande, ampelekeshe na kumpoteza mumewe kama alivyofanywa Adam.
Adam angekuwa na wake wengi ile siku angekuwa kwa mke mwengine yule bibi asingempotosha.
Hadi hv Leo tungekuwa peponi tunakula bata.
Na huwezi zifikia hizo chembe za uchungu hata kidogoHahaha nahisi Hata na mie ninazo hizo chembe za uchungu unazozingumzia japo nikiri wazi sijathubutu kuvaaa viatu vya mzee wako najua havitanitosha
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.
Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Aisee pamoja nakukubali kuwa siwezi kufika level za mzee bado lakini hata hizo chembe mkuu yan chembe kabisa nazo siwezi fika duhNa huwezi zifikia hizo chembe za uchungu hata kidogo
Na huwezi kuzifikia kamwe aisee. Ni sawa na upendo wa mama kwa mtotoAisee pamoja nakukubali kuwa siwezi kufika level za mzee bado lakini hata hizo chembe mkuu yan chembe kabisa nazo siwezi fika duh
Unaweza ukaona wewe mwenyewe una wake wenza Kama wanna a.k.a michepuko ila tu hujuiHebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,
Akili yangu inajua nina mume halafu asilale kwangu akalale kwingine ,ninaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]
Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Mzigua una majanga Sana na wanaume hhaaaaUsiusemee moyo. Tema mate chini mama. Yeye ni mwanaumr kama walivyo wengine. Usimkanie
Sababu ni nini hasa?Raha ya ukewenza uwe bimdogo!!! Ukiwa mke wa kwanza lazima pressure zihusike!!
Mzigua achana nae huyo,naona hatujui wanaume huyo,Nakukumbusha usiusemee moyo. Shukuru Mungu hujajua the other side of him ila sio kwamba he's a saint my friend..
Kumbe umeolewa na malaika,hapo sawa upo sahihi,Mimi nikajua huyo G Ni binadamu,kumbe malaikaNakuambia hivi nishapitia wanaume wa hivyo shule kamili ninayo kichwani, G wangu ni malaika hakuna kama yeye jasiri haachi asili nakuambia,
Mzigua una majanga Sana na wanaume hhaaaa
Pole sana aisee, afu naomba nicheke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepatikana
Mwambie amuache ili awe na wewe mkuu.. just joking.Nimekuja kugundua baadae mwenza. Nilikua mjinga na upofu wa mapenzi