Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Hahaaaaa jamani si unajua tena huyo ndo Ana uchungu kuliko wapita njia tunaokutana nao utu uzimani
Hahaha nahisi Hata na mie ninazo hizo chembe za uchungu unazozingumzia japo nikiri wazi sijathubutu kuvaaa viatu vya mzee wako najua havitanitosha
 
Inashangaza kwakweli....!

Hata Adam aliumbiwa mke mmoja tu.

Sijui wenzetu waislam wanawezaje kutokomeza wivu na kuchukulia poa hiyo hali.
Mwanaume mwenye uwezo na akawa na mke mmoja ni kukosa uadilifu.

Kilichotekea kwa Adam ndicho anachokitaka mleta mada ili amgande, ampelekeshe na kumpoteza mumewe kama alivyofanywa Adam.

Adam angekuwa na wake wengi ile siku angekuwa kwa mke mwengine yule bibi asingempotosha.

Hadi hv Leo tungekuwa peponi tunakula bata.
 
naona kama inawahusu sana wanawake ngoja waje wakusaidie kukushauri maana saiv kuwa peke yako labda miujiza itokee tena lkn sio kwa sasa
Mkuu hao ndio wanawake wasikusumbue sana usikute mleta mada anadate na mume wa mtu
 
Huyu jamani nilimuuliza kama mara tatu anakana kabisa kabisa hana mwanamke. Siku nikamkazia nikamwambia najua una mwanamke na unaishi nae. Yani sijui nini kilikua kinaniaminisha huyu kaka ana mwanamke. Akasema ni kweli ila nilikua naogopa kukwambia sababu ungenikataa na mimi nakupenda. Aliniumiza sana. Bora angekua mkweli toka mwanzoni nisingeingia kwenye mahusiano yake.
Huwa kuna hisia fulani tu inakujia outomatic.
Shawahi kudate mume wa mtu for two years bila kujua lkn basi tu kuna kitu kilikuwa kinaniambia nilipo sipo. Japo nashukuru alinirahisishia maisha yangu ya chuo na akawa ni daraja la kukutana na the man i truly loved.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akili za wanaume bwana!! Inasikitisha.
Mwanaume mwenye uwezo na akawa na mke mmoja ni kukosa uadilifu.

Kilichotekea kwa Adam ndicho anachokitaka mleta mada ili amgande, ampelekeshe na kumpoteza mumewe kama alivyofanywa Adam.

Adam angekuwa na wake wengi ile siku angekuwa kwa mke mwengine yule bibi asingempotosha.

Hadi hv Leo tungekuwa peponi tunakula bata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha nahisi Hata na mie ninazo hizo chembe za uchungu unazozingumzia japo nikiri wazi sijathubutu kuvaaa viatu vya mzee wako najua havitanitosha
Na huwezi zifikia hizo chembe za uchungu hata kidogo
 
Maisha bana unaweza jikuta unafanya ambavyo hayakuwai kua malengo yako kabsaa
Nlidate na mtu akaoa nipo and things were still gud btn us kila nikimwacha analia huruma inanifanya nashindwa kusimamia msimamo wangu
Hajawai nikosea hata mara 1 mimi sasa kivuruge but he is still there! Been wondering lini mi na yeye tutaenda apart and nitaweza na mtu mwngne!Its really hard Mungu atusaidie
 
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.

Pole sana aisee, afu naomba nicheke [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umepatikana
 
Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,

Akili yangu inajua nina mume halafu asilale kwangu akalale kwingine ,ninaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]

Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Unaweza ukaona wewe mwenyewe una wake wenza Kama wanna a.k.a michepuko ila tu hujui
 
Nakuambia hivi nishapitia wanaume wa hivyo shule kamili ninayo kichwani, G wangu ni malaika hakuna kama yeye jasiri haachi asili nakuambia,
Kumbe umeolewa na malaika,hapo sawa upo sahihi,Mimi nikajua huyo G Ni binadamu,kumbe malaika
 
Back
Top Bottom