Labda kuna ukweli sijui. Binafsi nimetokea jamii ambayo zaidi ya 90% kijijini kwetu ni polygamist. Nimeona familia hizo zikiishi kwa amani kabisa. Hata hivyo siwezi kupingana na data zako maana wewe ndo unajua sample yako.98% ya familia za mitala hazinaga amani wala maelewano kubali kataa lakini ndo ivo, ata wawe wanaishi mikoa tofauti hao wake wenza yaani hakunaga.....na wengi walio oa mara nyingi ukiongea nao lazima akwambie anajutia kuoa mke zaidi ya mmoja ni kwanini???
Labda kuna ukweli sijui. Binafsi nimetokea jamii ambayo zaidi ya 90% kijijini kwetu ni polygamist. Nimeona familia hizo zikiishi kwa amani kabisa. Hata hivyo siwezi kupingana na data zako maana wewe ndo unajua sample yako.
Kwahiyo ukiongeza mke mwingine ndiyo itamfanya huyu wa kwanza asiwe mkorofi tena????...inawezekana mama yake ndio mkorofi-...asikimbilie kumlaumu baba yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Inavyoonekana huyo mkristo... Kachepuka hukoooo. . . mwisho wa siku kamrasmisha kiharamu...Marehemu Babu yangu alioa wake watatu na wote wako vizuri hadi wajukuu tunatembeleana, na huwezi kujua undugu wetu ni wa aina gani
Inategemea na baba yako alikua ni mtu wa aina gani yeye kama yeye usijumlishe na watu wengine!! Na baada ya msiba wa babu, bibi zangu wawili walitoka eda pamoja
Kama wewe huwezi sio vyema kuwaita hao wanaoongeza washamba kwasababu inawezekana wewe mwenyewe ndo wale wale kumridhisha mwanamke hadi unywe mkuyati.Kila mtu afanye anachokiweza kwasababu haya mambo yako toka dunia inaumbwa sisi tumeyakuta natutayaacha kwaiyo usijifanye wewe ndo mwalimu.yah nishakuwa, ila siwez upumbavu wa kuongeza mke. nawaachia washamba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa na hawajawi kupendana kama wanavyosifiana humu.....waliocomment wengi michepuko inavutia upande wa kuonekana wako sahihi[emoji41][emoji41][emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nisichoamini hapa kutuaminisha mleta uzi ni mwanaume. Nakama kweli mleta mada hii ni mwanaume basi kweli wanaume tumeisha tangia kizazi cha miaka ya 80 kurudi chini.nikija ktk kujibu mada yako,chakukusaidia tu! Hivi dada hujaona ndoa za mke m1 zenye matatizo? Basi kama umeona ndivyo hivyo pia kuna ndoa za zaidi ya mke m1 zinamatatizo pia,lakini nyengine ni shwari.nimekuita dada sababu nimeamini hivyo.chakukusaidia tu! Nihivi kumuongoza mwanamke kunahitaji akili nyingi sana awe m1 au zaidi,usipotumia akili matokeo utalaumu ndoa za mke zaidi ya m1 kesho utalaumu wanawake. Acha upumbavu kama umekuwa hama nyumbani kwenu sio unang'ang'ania kumuangalia baba yako anaishi vipi na mama zako
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi chache sana zenye amani na usiangalie kwa amani ya nje ukiishi hapo ndani ndio utajua ukweli, Mimi shemeji yangu ana wake wawili wanaelewana sana japo mwanzoni walikuwa chui na paka ila tumekuja kugundua hawa wanawake kila mmoja ana mchepuko wake na cha ajabu wanafichiana siri kwa hiyo shemeji yangu yeye wanamfanya ATM tu
Mbona kwa Mzee wa ruksa na Mkwere kupo poa.
Sema faza ako hana hela
Kwahiyo ukiongeza mke mwingine ndiyo itamfanya huyu wa kwanza asiwe mkorofi tena????
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwanaume akiwa na uwezo wa kiuchumi, kiakili na kimwili anaweza kuoa wanawake wengi awezavyo. hivyo visa unavyoripoti viko kila mahali na kwakila jamii hata katika familia za mke moja.Jamii katika nyanja ya mahusiano haijawai kukosa misukosuko na kupambana nayo inategemea na akili za mwanaume nazahiyo familia zikoje.kwaiyo kisa chako kimoja kisijumuishe ndo maisha ya jamii nzima.
Kama wewe huwezi sio vyema kuwaita hao wanaoongeza washamba kwasababu inawezekana wewe mwenyewe ndo wale wale kumridhisha mwanamke hadi unywe mkuyati.Kila mtu afanye anachokiweza kwasababu haya mambo yako toka dunia inaumbwa sisi tumeyakuta natutayaacha kwaiyo usijifanye wewe ndo mwalimu.
Shida ya wake wa pili wengine ushirikina.
Huu ushauri ungempa baba yako.Ilikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".
Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.
Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.
Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.
Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.
Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.
■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.
■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.
Sent using Jamii Forums mobile app