Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

98% ya familia za mitala hazinaga amani wala maelewano kubali kataa lakini ndo ivo, ata wawe wanaishi mikoa tofauti hao wake wenza yaani hakunaga.....na wengi walio oa mara nyingi ukiongea nao lazima akwambie anajutia kuoa mke zaidi ya mmoja ni kwanini???
Labda kuna ukweli sijui. Binafsi nimetokea jamii ambayo zaidi ya 90% kijijini kwetu ni polygamist. Nimeona familia hizo zikiishi kwa amani kabisa. Hata hivyo siwezi kupingana na data zako maana wewe ndo unajua sample yako.
 
Nisichoamini hapa kutuaminisha mleta uzi ni mwanaume. Nakama kweli mleta mada hii ni mwanaume basi kweli wanaume tumeisha tangia kizazi cha miaka ya 80 kurudi chini.nikija ktk kujibu mada yako,chakukusaidia tu! Hivi dada hujaona ndoa za mke m1 zenye matatizo? Basi kama umeona ndivyo hivyo pia kuna ndoa za zaidi ya mke m1 zinamatatizo pia,lakini nyengine ni shwari.nimekuita dada sababu nimeamini hivyo.chakukusaidia tu! Nihivi kumuongoza mwanamke kunahitaji akili nyingi sana awe m1 au zaidi,usipotumia akili matokeo utalaumu ndoa za mke zaidi ya m1 kesho utalaumu wanawake. Acha upumbavu kama umekuwa hama nyumbani kwenu sio unang'ang'ania kumuangalia baba yako anaishi vipi na mama zako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Labda kuna ukweli sijui. Binafsi nimetokea jamii ambayo zaidi ya 90% kijijini kwetu ni polygamist. Nimeona familia hizo zikiishi kwa amani kabisa. Hata hivyo siwezi kupingana na data zako maana wewe ndo unajua sample yako.

Mi chache sana zenye amani na usiangalie kwa amani ya nje ukiishi hapo ndani ndio utajua ukweli, Mimi shemeji yangu ana wake wawili wanaelewana sana japo mwanzoni walikuwa chui na paka ila tumekuja kugundua hawa wanawake kila mmoja ana mchepuko wake na cha ajabu wanafichiana siri kwa hiyo shemeji yangu yeye wanamfanya ATM tu
 
Mwanaume akiwa na uwezo wa kiuchumi, kiakili na kimwili anaweza kuoa wanawake wengi awezavyo. hivyo visa unavyoripoti viko kila mahali na kwakila jamii hata katika familia za mke moja.Jamii katika nyanja ya mahusiano haijawai kukosa misukosuko na kupambana nayo inategemea na akili za mwanaume nazahiyo familia zikoje.kwaiyo kisa chako kimoja kisijumuishe ndo maisha ya jamii nzima.
 
Marehemu Babu yangu alioa wake watatu na wote wako vizuri hadi wajukuu tunatembeleana, na huwezi kujua undugu wetu ni wa aina gani

Inategemea na baba yako alikua ni mtu wa aina gani yeye kama yeye usijumlishe na watu wengine!! Na baada ya msiba wa babu, bibi zangu wawili walitoka eda pamoja
Inavyoonekana huyo mkristo... Kachepuka hukoooo. . . mwisho wa siku kamrasmisha kiharamu...

Uke wenza ni KWA AJILI YA WAISLAAM... KWA WAKRISTO NI MCHEPUKO TU...
 
yah nishakuwa, ila siwez upumbavu wa kuongeza mke. nawaachia washamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama wewe huwezi sio vyema kuwaita hao wanaoongeza washamba kwasababu inawezekana wewe mwenyewe ndo wale wale kumridhisha mwanamke hadi unywe mkuyati.Kila mtu afanye anachokiweza kwasababu haya mambo yako toka dunia inaumbwa sisi tumeyakuta natutayaacha kwaiyo usijifanye wewe ndo mwalimu.
 
kama ilivyo wewe pia ,naweza kukuita mwanamke coz sijui wewe ni nani, hata kama ningekuwa mwanamke bado ningekuwa na haki ya kuzungumzia hili swala kwa namna hii. Siishi kwetu mkuu na mimi sio mpumbavu kama wewe unavyodhani wanawake ndio wanatoa comment kama yangu. hahaha...what a fool!
Nisichoamini hapa kutuaminisha mleta uzi ni mwanaume. Nakama kweli mleta mada hii ni mwanaume basi kweli wanaume tumeisha tangia kizazi cha miaka ya 80 kurudi chini.nikija ktk kujibu mada yako,chakukusaidia tu! Hivi dada hujaona ndoa za mke m1 zenye matatizo? Basi kama umeona ndivyo hivyo pia kuna ndoa za zaidi ya mke m1 zinamatatizo pia,lakini nyengine ni shwari.nimekuita dada sababu nimeamini hivyo.chakukusaidia tu! Nihivi kumuongoza mwanamke kunahitaji akili nyingi sana awe m1 au zaidi,usipotumia akili matokeo utalaumu ndoa za mke zaidi ya m1 kesho utalaumu wanawake. Acha upumbavu kama umekuwa hama nyumbani kwenu sio unang'ang'ania kumuangalia baba yako anaishi vipi na mama zako

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante sana, wanaume wanadhani wakishaoa wake wengi eti ni kama hadhi fulani hivi, lakin wanasau au hawajui nini matokeo gani wanatengeneza.

ok watu humu wanasema wameona familia zinaishi kwa amani, LAKIN HAWAJAWAHI KUISHI NAO AS A FAMILY NDANI, wanachukulia poa wakiwaona wana smilie kwa nje..kumbe inawabidi wajifanyie kusmile ili wasiletewe noma na mme wao!!

Mi chache sana zenye amani na usiangalie kwa amani ya nje ukiishi hapo ndani ndio utajua ukweli, Mimi shemeji yangu ana wake wawili wanaelewana sana japo mwanzoni walikuwa chui na paka ila tumekuja kugundua hawa wanawake kila mmoja ana mchepuko wake na cha ajabu wanafichiana siri kwa hiyo shemeji yangu yeye wanamfanya ATM tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
sijajumuisha jamii, ila nimeongea ukweli kuwa familia nyingi za namna hii zinakuwa na changamoto sana zaid ya zile za one wife...haijalishi una pesa nyingi, una fikra zaidi ya einstein ...u cant control wanawake hao kwa jins unavyofikiria!!!
Mwanaume akiwa na uwezo wa kiuchumi, kiakili na kimwili anaweza kuoa wanawake wengi awezavyo. hivyo visa unavyoripoti viko kila mahali na kwakila jamii hata katika familia za mke moja.Jamii katika nyanja ya mahusiano haijawai kukosa misukosuko na kupambana nayo inategemea na akili za mwanaume nazahiyo familia zikoje.kwaiyo kisa chako kimoja kisijumuishe ndo maisha ya jamii nzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
" tufanye tunayoyawez" hivyo ndivyo utakavyo washauri watoto wako..kwamba wafanye watakayo yaweza bila kuzingatia madahara na changamoto zitakazo wakumba.
Kama wewe huwezi sio vyema kuwaita hao wanaoongeza washamba kwasababu inawezekana wewe mwenyewe ndo wale wale kumridhisha mwanamke hadi unywe mkuyati.Kila mtu afanye anachokiweza kwasababu haya mambo yako toka dunia inaumbwa sisi tumeyakuta natutayaacha kwaiyo usijifanye wewe ndo mwalimu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ilikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".

Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.

Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.

Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.

Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.

Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.

■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.

■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ushauri ungempa baba yako.
Sisi tuMeoa mke nmoja. Ila mchepuko lazima awepo
 
Back
Top Bottom