Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Wewe umekosea sana kuwashtua, huwa wanafikiri wale wanawake husubiria zamu tu thubutu yao
 
Mkuu usiwe na dhana potofu si kila stor inayoletwa umu ni yakutunga ,
kwani kipi cha ajabu unachokiona hapo hakiwezi kutokea kwenye maisha halisi?

Jaribu kuishi mazingira tofauti ndo utajua mtaani kuna mambo.


Haya mkuu
 
Kubali tu kuchapiwa mkuu

Maana hata mai waifu wako pia nyama moja inamchosha

Hapo inabidi uwe mpole tu [emoji1][emoji1][emoji1]
Shida ni moja mkuu ,maumbile ya mwanamke hayaruhusu kumilikiwa na mwanaume zaidi ya mmoja wanaforce tu mkuu,
 
Wanaenda kufarijiwa......... kuoetipetiwa na kupata maujuzi mapya
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji87] [emoji85]

[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Sasa mwanamke kama huyo ndio tunasema hana maadili. Mana kumtaarifu mkeo muda unaorudi ni jambo jema tu, pengine ukifika home unakuta full mahanjumati umeandliwa na masurprise. Kwa mke ambae ana maadili hasa, na anaejielewa hawezi kuchepuka hata kama utakaa mwez hujarudi. Haya yote ni matokeo ya ugrilfriend na uboyfriend, vijana wakiwa na mambo izi ndoa zao hazitulii. Ndoa ni kuaminiana, lakini amani lazima itoweke tu ikiwa mwenzako umempata kwa njia za haramu. Mfano mkeo mwanzo alikuwa na boyfriend wake, na wewe ukijua ukaenda kumtongoza akakubalia, akamuachia bf wake akaja kwako, we unafikiria hawezi kukuacha na wewe akenda kwa mwengine? Au kabla ya kuoana mlifanya zinaa, na kuna njia mlikuwa mnatumia kukutana kisiri, mwanamke kama huyu tayari wewe mwenyeo ushamfundisha jinsi gani agegedwe kisiri tena asigegedwe kama ww hupo?


Ishu kuu hapa ni MAADILI ya MME na MKE ndio yatakyotunza ndoa. Sio kujua ratiba za mwenza, wala sio dushe la foleni. kama haitegemei maadili, basi pole sana madereva wanaokwama congo, mapilot na mabaharia mana kama concept yako ni kuwa wanagongewa tu.
Mkuu unajua mambo yanaenda kwa kubadilika,
Nimechunguza sana hili jambo mpaka nikaamuwa kuleta uzi huu ,yaan kwa dunia ya sasa tatizo linakuja ukishamiliki wake wawili ,hili jambo watoto wa kike hawezi vumilia hata awe amesoma dini vipi ,kwa mke mmoja si shida ila ukiongeza jiko tu ndo shida zinaanzq ,akiwa peke yake anaweza kukuvumilia mengi sana na hata asikusaliti hata uwende wapi mkuu ila shida ukiongeza tu,yaan hapo ndo utawajua wanawake ni viumbe wa namna gani ,

japo wapo waliotulia na wavumilivu hata ukiongeza ila asilimia kubwa wako ivyooo
 
madereva wa magari si ndo mnaongoza kwa nyumba ndogo kila mkoa? hahahaha acha mchapiwe tu.
Hahaha hawa hawachipiwi bwana acha kumtisha mkuu , Hawa huwa wanaangaliziwa familia zao wawapo mbali [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]

Awe na amani tu
 
Mbona wapo wenzenu wanaishi na mume mmoja wao wako wanne na hakuna anaechepuka? na wanaishi kwa furaha tu. Mapenzi hayaishii kwa mmoja tu ukiwa unatimiza majukumu yako katika ndoa kwa mumeo. mapenzi yanaanza kuisha pale unapojenga dharau kwa mumeo. wanawake wa siku izi bana.... eti na yeye akatafute kafaraja.... yaani akili zenu zimekuwa kingonongono tu. Ndo maana mtaendelea kutumiwa vizuri....mkiona fahari eti...
Dah mkuu umenina jambo la msingi sana hapo .

Kilio kikubwa ni wanawake wa kileo yaan wanawaza kulipiza kisasi tu
 
Ukiwa umeolewa kwa lengo la kujenga maisha na kujenga familia, basi hutoona sababu ya kuchepuka. Ila ukiwa umeolewa kisa mgegedo, basi utachepuka tu hata kama mumeo hana wa pili... mana umefata mapenzi ya mgegedo..... Tunaona humu mada watu wanalalamika wake/wachumba zao wanachepuka, na mtu hajaongeza mke. mwisho juzi nimesoma story moja jamaa mkewe kagegedwa na ndugu yake..... Hii yote inaonesha kuchepuka ni Ukahaba......
Kabisaaaaa
 
Unataka kusema wote wanaochepuka wameolewa ndoa za mitala/ uke wenza? Nafikiri kuchepuka ni tabia tu ya mtu
 
Haya mkuu
Mkuu Hatugombani ,lengo la kuleta hii mada ni kuwekana sawa ,

Unajua kuchapiwa kunauma sana mkuu asikwambie mtu,mimi binafsi nikiona mwanaume mwenzangu anachapiwa huwa naumia yaan kama ndo mimi ,na nimejaribu kuchunguza kuona kwanini wengi wanachapiwa ,
Ni kwa sababu huwa tunajisahau na kuwaamini hao watoto wa kike ,kwa zile bashasha zao wanapotuona na mapokezi ,

Lakini nyuma ya hapo wanasumu kali zaidi ya nyoka ,

Uyu dada nilo Hadithia hapo ,Nipo mtaa nae mmoja nyumba yangu na yake zinapaka karibu ,kwa hiyo ,mambo anayofanya usiku wakati mwingine tunayaona na kuyaskia kwa ukaribu tulionao.

Na kwa vile tumezoeana sana ndomana nikajaribu kumdodosa ,kujua anakosa nini,

Na mumewe pia ni sahibu wangu sana na huwa tuna maskani yetu tunapenda kukutana baada ya mihangaiko ya hapa na pale,ni mtu wa makamo,na huwa akikaa anajisifu kuwa anamridhisha mke ,maana yeye ni mtumizi mzuri wa Dawa ya kikongo,

Sasa nikawa najiuliza kama anaridhishwa sasa kipi kinamfanya ahahe ,Ndo nilipo pata ujasiri wa kumfata na kumdadisi ndo nilipokutana na jibu hilo
 
kwa utaratibu upi mkuu??? naye awe na wawili
Si ndoo kuchepuka huko sasa? Maana mwili wake nae unahitaji sawa na wako,, wee unaonaje,,,,na ukizingatia uwezo wa wanaume sikuhizi,,, mmoja tu kumtuliza kazii,,,
 
Mkuu Hatugombani ,lengo la kuleta hii mada ni kuwekana sawa ,

Unajua kuchapiwa kunauma sana mkuu asikwambie mtu,mimi binafsi nikiona mwanaume mwenzangu anachapiwa huwa naumia yaan kama ndo mimi ,na nimejaribu kuchunguza kuona kwanini wengi wanachapiwa ,
Ni kwa sababu huwa tunajisahau na kuwaamini hao watoto wa kike ,kwa zile bashasha zao wanapotuona na mapokezi ,

Lakini nyuma ya hapo wanasumu kali zaidi ya nyoka ,

Uyu dada nilo Hadithia hapo ,Nipo mtaa nae mmoja nyumba yangu na yake zinapaka karibu ,kwa hiyo ,mambo anayofanya usiku wakati mwingine tunayaona na kuyaskia kwa ukaribu tulionao.

Na kwa vile tumezoeana sana ndomana nikajaribu kumdodosa ,kujua anakosa nini,

Na mumewe pia ni sahibu wangu sana na huwa tuna maskani yetu tunapenda kukutana baada ya mihangaiko ya hapa na pale,ni mtu wa makamo,na huwa akikaa anajisifu kuwa anamridhisha mke ,maana yeye ni mtumizi mzuri wa Dawa ya kikongo,

Sasa nikawa najiuliza kama anaridhishwa sasa kipi kinamfanya ahahe ,Ndo nilipo pata ujasiri wa kumfata na kumdadisi ndo nilipokutana na jibu hilo


Nilikuelewa mkuu. Naomba nikwambie kitu mkuu kiumbe anayeitwa Mwanamke hachana nae kabisa hata ungemfanyia nini umfanye mpaka atoke damu mkuu ni kazi bure. Tuzidi kuomba tu yasitukute maana katika kufatilia kwangu nimeona hakuna namna unaweza kumfanya mwanamke asikazwe nje miaka yote ya ndoa yako.

Kama ilivyo kwako hata wao wanatamani sana. Nitakupa mfano. Nina Jirani yangu wake zetu waligombana kisa jirani kamtongoza wife wngu mimi nilipojua nilipuuza maana niliambiwa wamekataana na hata kama ningejua kala nilikuwa nideal na wife na hakuna namna ilikuwa ni kumuacha tu huo ndio msimamo wangu. uwezi kuamini mke wa jamaa alikomaa na mmewe ili waje kwangu kumuuliza mke wangu na walikuja usiku wa manane mie nilichukulia poa tu na mke wangu alifikiri Sikuwa nimeishaiijua hiyo issue.

Basi mme wa jamaa alishangaa alipoanza kujiapiza na wife anakazia kuwa ame mtongoza na kumuitia mashahidi mie nilibaki nacheka tu.

Siku mbili mke wa jamaa alinipigia Simu akiomba anione na tulipoona aliomba kutombwa si kitu kingine .

Nikataka nijue issue ni ile au ni kitu kingine? Kaka niliambiwa mambo mengi sana . Kumbe mme akija amelewa uwa amkazi kabisa na wanaweza kumaliza mwezi no sex aisee nilichoka.
 
Kwani wanapooa wake wengi wanategemea nini?

Maisha yenyewe ya sasa hivi wanaume wenye nguvu ni wa kuhesabu ikiwa mwanamke mmoja mtu anashindwa kumridhisha unadhani ukiwa na zaidi ya mmoja nini kitatokea.
Wanajitutumua tu ila ukweli ni kuwa hawawezi.
 
Back
Top Bottom