Dah umezungumza kwa sauti ya kiume
Ndio mkuu mambo mengine sio lazima wanawake wakubaliane nayo lakini ndivyo yalivyo.
Yaani mtu hata hajui kwa nini bikra iliwekwa anakuja kutoa sababu zisizoeleweka hapa.
Wengi wenye amani katika ndoa ni wale wanaoishi kizamani tofauti na hawa wasomi wanaojitia na elimu zao wakiishi kisasa mwishoe mambo ya Msingi yanawashinda.
Mtu anadigrii hajui nini chakumfanya mwanamke mpaka asitoke. Hajui namna ya kumaintain stamina juu ya Kidari cha mwanamke. Anaishia kupiga kigoli kimoja tena cha mkono. Alafu uniambie asigongewe.
Hakuna mwanadamu asiyeridhika. Wanawake wenyewe huridhika sana.
Mtu anamlala mwanamke hampi vitu vya maana zaidi ya kumchafua chafua. Mwanamke baada ya siku mbili tatu anataka tena. Wakati kiuhalisia mwanamke akipewa dozi kubwa huweza kukaa wiki moja mpaka mbili bila kutamani kufanya ngono.
Ndio maana wazee wazaman waliweza kuchukua wake wawili mpka kumi. Kutokana na uwezo wao.
Leo mwanaume hajui hata kwa nini anandevu hajui kwanini ana misuli. Hajui kwa nin anasauti nzito.
Kazi kula vyakula visivyotia nguvu wala kujenga mwili akijua anamisuli inayohitaji nishati. Mtu anakuka kichakula Kama mtoto wa kike vijiko vitatu vinne kisha anamalizia na soda alafu anapita kule.
Mwanaume ni kufanya kazi ili misuli ipate joto na damu itembee. Kama upo kwenye kazi za ofisini au kukaa Kama udereva basi piga zoezi. Sio kujiachia mwisho unaota kitambi na wowowo kama mwanamke then eti unaongeza mwanamke wa pili.
Mwanaume ni kula chakula kingi chenye nguvu. Ili misuli ipate nguvu na mwili ujijenge. Leo mwanaume anajilia kiepe cha buku jero kila siku afu anategemea kummudu mwanamke.
Mwanamke huhitaji dume haswa.
Ukipiga kazi haswa ya uhakika mwanamke mwenyewe anaweza kukutaka uongeze mke mwingine kwani ameona yeye mwenyewe hakutoshi.
Sasa wewe umtoshelezi unafikiri atakubali mwingine aje azidi kummegea kidogo alichokuwa nacho.
Ifike hatua wanaume tusifuge tuu ndevu na vitambi bali tuonyeshe kazi kwa hawa wanawake uone Kama hawatataka msaada.
Watu hawajiulizi kwa nini wanawake wapo wengi kuzidi wanaume. Hii ni kutokana kuwa Mwanaume anao uwezo wa kuwamiliki wanawake zaidi ya mmoja ikiwa yupo fiti. Lakini mwanamke hawezi kumiliki wanaume wawili waliofiti hata kama huyo mwanamke anaafya kiasi gani.
Wanaume tunajirostisha wenyewe kwa kuendekeza upumbavu.