Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Hebu tuambiane mlio katika ukewenza ,mmewezaje?mimi siwezi maana nataka mwanaume awe na mimi muda wote na nikimpenda mwanaume awe karibu yangu kila saa kila muda,na ninataka kila saa anipe mambo sasa ukewenza nyie mnawezaje hamna hamu au?inakuwaje,

Akili yangu inajua nna mme halaf asilale kwangu akalale kwingine ,nnaishi na mwanaume lazima anipe mambo muda wote nikitaka au akitaka nampa,,nikifikiria tu kama ni ukewenza yupo na mke mwingine nahisi nyege ajabu nataka itakuwaje[emoji23]

Basi kila mmoja atajifanya hajui ukewenza semeni ukweli mlio na wakewenza tupeni ustahimilivu ikitokea na sisi tujue namna ya kurekebisha,maana sioni dalili hata ya kuwaza kumuacha G,ndio kwanza penzi linaninogea kila sehemu,zamani niliokota kokoto sasa nimeokota dhahabu nadekezwa,naringa,napendwa mpaka najisikia raha na furaha
Huwa wanapigwa ndele
 
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.

Pole side chick
 
Ukewenza wauma aikuambie mtu sikilizia kwa mwenzioo..siku akienda kw mwenzako unawaza masarakasi anayokupaga anaenda pewa mwenzako..
Pia huwezi kataa kama mme kaamua kuoa kashaamua heri anayeoa kabisa mwajuana kuliko wale wengine wanajidai masaints kumbe ni wachafu balaaaa...
Akitaka oa kwa mie simkatazi bali nipate huduma zangu kma mwanzo zisipungue kwani mtu anayeoa mke mwingine means anajiamin kuwa ana uwezo wa kutunza wake zake wote..
Siwezi kukubali mwenxangu naona ananawili then.mie huku kwangu huduma naona hafifu na tuheshimiane basi mambo yataenda sawaaaa...
NB:: tusiseme.kuwa hatuwezi vumilia bali mme akiamua kukuolea mwenzako huwexi mzuiaaa hataaaa.
By kungwi mtoto.
 
Shoga angu subiri uendelee kuwa nae halafu uje kujua alikua anakudanganya na ushafall in love.

Niko kwenye situation hiyo na nampenda huyu kaka kufa ila ana gf na alinidanganya he's single. Nimekuja shtuka ana gf na anaishi nae jamani. Napambana kumuacha ila nashindwaaa.
Wenyewe mnasema umenasa. Hupindui.
 
Lakini ukweli ni kuwa hata wanawake wakiislam wengi hawapendi kuletewa mke mwenza au kuolewa kama mke wa pili.


Wabillah Tawfiq,
 
Sisaidiki ndo shida. Namuacha mtu nikitaka ila sio pressure from outsiders. Rafiki zangu wameongea wamenyoosha mikono. Nitamuacha I know ila moyo ukiea tayari kama sada hivi..
Ni vyema kuwa unajitambua muhimu ni kuuachia muda ukuponye na uwe msaada pekee nadhani baada ya kitambo kidogo kupita kinachokuumiza leo kitabaki historia
 
Back
Top Bottom