Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hilo banzi si mchezo
Sisi mdingi wetu alikuwa anasema nataka kuowa mchina mbele ya Mama,, Kila akilewa analeta story hizo hizoo tuu... Imepita Kama miaka 2 akawa hazungumzii kuhus huyo mchinaa, ikabidi mdogo wangu amkumbushee "baba eti mamdogo mchina Yuko wapi?? "... [emoji3],, Dogo alikula banzii la hatariii chaliii; siku 3 hakwenda skuli...[emoji1787]!

Kumbe baada ya kufatilia yule mchina alimtapeli Kama milion 12 ... Mpka leo yupo na mkewe fresh tuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marehemu Babu yangu alioa wake watatu na wote wako vizuri hadi wajukuu tunatembeleana, na huwezi kujua undugu wetu ni wa aina gani

Inategemea na baba yako alikua ni mtu wa aina gani yeye kama yeye usijumlishe na watu wengine!! Na baada ya msiba wa babu, bibi zangu wawili walitoka eda pamoja
Uzi na ufungwe maana case is closed hapa.

Samahani mleta uzi lakini nahisi baba yako ndio alikuwa ........
 
Zamani wanaume walikua wanaoa zaidi ya mke mmoja ili waweze kusimamia mashamba na mifugo, wazalishe na kukuza uchumi wa familia.
Siku hizi baba akijisikia amekosea step anatafuta mke mwingine, ila sina uhakika wa kosa linalofikisha huku ni lipi. Pia sijui mama akikosea step anatafuta mume mwingine au anakua single mama
You tell us, we are here to learn!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nakala kwa
1. Kalumanzira, Kimanzichana
2. Hakimu mkazi, mahakama ya Kisutu
3. Mkuu wa Gereza, Segerea
4. Msimamizi wa Makaburi, Kinondoni
 
hahah..uncomplying comments nyingi humu ni za watoto wake za pili, tatu, michepuko etc or watu walio mke zaid ya mmoja.., ok sijaja kuponda familia zenu za uke wenza ila mtambue na naamini asilimia kubwa ya familia za uke wenza zina migogoro mikubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Dini ingine inaruhusu wanne na watu wanaishi kwa raha mifano hiyo tumeona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna mahala niko naona wake wenza wanaelewana fresh tu hata wanatembeleana eti,
Ila kiukweli kabisa ningekuwa dume ningeoa wake wawili au zaidi,, ila kwavile niko jike sitaki mke mwenza

mke mmoja anadumaza na haifanyi familia kutokuwa na mgogoro nachoona wewe mtoa mada umelishwa tango pori na mama yako kakujaza sumu ya kutosha
Umenena ukweli kabisa,kma sisi wakristu mke ni mmoja ila mahawara kibao na maisha yanasonga vizuri

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kosa kubwa alifanya baba yako ni kuoa mke pasina kuwafanya waunganike na wawe na haki sawa. Na hili kila atakayeoa akampa mwanamke mmoja haki na thamani kubwa zaidi ya mwenzake migogoro kama hiyo inakuwepo.

Babu yangu alioa wanawake watatu na kila mwanamke alimjengea nyumba. Alihimiza kuwa kila mmoja anahaki sawa na hayupo aliyemzidi ubora kati yao, hata hivyo aliwaambia anawapenda wote kwa kiasi sawa (haya aliniambia babu).

Hata baada ya babu kufariki wale wanawake (bibi zangu) walibaki wanaishi maisha ya kuthaminiana sana.
 
Mwamini baba yako anaposema ‘alikosea step’ kuoa mama yako, haukuchagua kuzaliwa nao (ila mzee alimchagua mke) ila tu unapswa kuheshimu venye ni wazazi wako hao.
Ila kuhusu mapenzi baina yao, hayakuhusu hata chembe, kwako mama ni mama ila kwa mshua ni mke hivyo kama kuna vitu haviko sawa heshimu anapojutia ili kesho nawe uchague vema.
Kuoa mke mmoja ni ubinafsi na ujinga wa kuiga mambo ya kidunia, jifunze kwa viumbe wengine ambao ubongo wao haujaoshwa uone kama wanaishi na mke mmoja tu.
 
Unashindwa kumlaani baba yako mjinga asiyekuwa na akili unalaani dhana ya uke wenza?
Wapi umeona mtu mwenye akili timamu akamtambulisha mke wa pili kwa mkewe kwa madaha kama unavyotusimulia hapa?
Muhimu mnachotakiwa kufanya mpelekeni baba yenu hospitali kichaa kitavuka mipaka yake na ataleta madhara kwa jamii.
Kwa taarifa yako kuwa na wake wengi hakujawahi kuwa tatizo ila watu ndio wenye matatizo akiwemo baba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HesabuKali
Huyu atakuwa ni mvulana ambaye bado anashikiwa akili na kulishwa maneno na mama yake kuchukia uke-wenza, tumkumbushe kitu kimoja, kwenye maisha ya ndoa, au hata maisha ya kawaida, migogoro ipo hata ukiwa pekee yako (migogoro binafsi) na hata ukiwa na mke mmoja.

Hakuna uhusiano wa moja kwa moja kati ya migogoro hiyo na wake wengi, nimezaliwa na kukulia katika familia ya aina hiyo, nazongwa tu na mafundisho ya kidunia (dini) ila nafsi inanisuta nikioa mke mmoja.

Labda kwa sababu ya maradhi ambukizi, naweza kuhofia ndoa hizi, ila kamwe sio kwa hoja nyepesi za Financial Analyst.
 
usitake imani yako itupelekeshe unavyotaka, kama watu walioowa mke mmoja ni wadhaifu basi mruhusu na huyo mke wako nimuoe na mimi. coz labda mwanamke nae kuwa na mme mmoja ni ushamba.
Mwamini baba yako anaposema ‘alikosea step’ kuoa mama yako, haukuchagua kuzaliwa nao (ila mzee alimchagua mke) ila tu unapswa kuheshimu venye ni wazazi wako hao.
Ila kuhusu mapenzi baina yao, hayakuhusu hata chembe, kwako mama ni mama ila kwa mshua ni mke hivyo kama kuna vitu haviko sawa heshimu anapojutia ili kesho nawe uchague vema.
Kuoa mke mmoja ni ubinafsi na ujinga wa kuiga mambo ya kidunia, jifunze kwa viumbe wengine ambao ubongo wao haujaoshwa uone kama wanaishi na mke mmoja tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom