Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

ahsante kuwa mjinga kama baba yangu. haha kumbe alikuwa mjinga ndio maana kaoa wa pili, so na ww ni mjinga unae sapoti wa pili.
Unashindwa kumlaani baba yako mjinga asiyekuwa na akili unalaani dhana ya uke wenza?
Wapi umeona mtu mwenye akili timamu akamtambulisha mke wa pili kwa mkewe kwa madaha kama unavyotusimulia hapa?
Muhimu mnachotakiwa kufanya mpelekeni baba yenu hospitali kichaa kitavuka mipaka yake na ataleta madhara kwa jamii.
Kwa taarifa yako kuwa na wake wengi hakujawahi kuwa tatizo ila watu ndio wenye matatizo akiwemo baba yako.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ahsante kuwa mjinga kama baba yangu. haha kumbe alikuwa mjinga ndio maana kaoa wa pili, so na ww ni mjinga unae sapoti wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona unavyorithi ujinga wa baba yako sasa? Soma vizur hapo, na narudia tena kuoa mke wa pili hakujawahi kuwa tatizo tatizo ni watu akiwemo wewe na baba yako.
Nasema tena hakuna mwanaume mwenye akili timamu anaweza fanya aliyofanya baba yako mbele ya mama yako hata kama mama yako ana matatizo.
Kwahiyo endelea kumlaumu baba yako na sio uke wenza labda una madahifu yako.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wanawake SOMETIMES mnazingua Sana.

Nlipokua mdogo nlimlaumu sana Baba angu kwa kuoa wake wawili.

Sahv, nmeshakua mkubwa Nina mke pamoja na watoto watatu.

Ila kwa MAUDHI anayonifanyia shemej yenu hivi karibuni,

Wallahi nnafikiria KUOA mke wa pili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
yah nalaaani coz of what me and my family went through...sio hivi hivi kama unavyofikiria, my mom went thru hell kwa sababu ya yule mwanamke

Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa because of tukio la family yako tu ndio unataka uhitimishe kwamba hii kitu haifai?? Nadhani you are biased brother.

Kuna watoto waliolelewa na wazazi waliopo kwenye ndoa ya mke mmoja tu and still they went through hell, je tuseme na hata hiyo ndoa ya mke mmoja pia haifai??
 
Ilikuwa ni siku ya krismasi, Baba anamleta mwanamke nyumbani na kumtambulisha kwa lazima na madaha kwetu. Akimwambia mama "Huyo ndio mke mwenzako muheshimu".

Kabla ya hapo huyu mwanamke alikuwa mchepuko wa mzee, akazaa nae, na baadae akawa akawa ni mchepuko wa mzee, nahisi mzee alinogewa na shepu la yule mama, angali hata alikuwa ana mtoto (aliezaa na mwanaume mwingine) ila mdingi alimfanya official.

Mzee wangu alimnyanyasa sana mama yangu hata mbele yetu. Kusahau juhudi ya mama ndio ilikuwa sababu ya mzee kufika alipo (na hata pesa ya kuwa na jeuri ya kuoa mke mwingine). Alijitamba sana kuwa huyo mwanamke ndio aina ya mwanamke aliekuwa ana hitaji na kwa mama yangu alikosea step. Huyu mwanamke (mke wa pili) ili alinde nafasi yake alijitahidi zaidi katika ushirikina na vioja vingi vya kumharibia mama yangu.

Ilifika wakati mama aliondoka nyumbani. Maisha ya kuona mama ananyanyasika na baade ile hali ya kumkosa mama ilituathiri sana watoto kisaikolijia hadi katika elimu. Hatimaye biashara za mzee zilianza kufeli na mambo yake yakaanza kwenda vibaya, na ilionekana wazi kuwa baraka za huyu mzee ni kutokana na uwepo wa mama.

Wadogo zangu walikuwa wadogo sana, na malezi ya huyu mama hayakuwa original kwa wadogo zangu. So mama aliamua kusacrifice furaha yake na kuja kurudi ili akae atuleee ili hali alijua bado atakutana na kero.

Lakini yule mwanamke hakuwa kama vile mzee alivyotegemea, kama ni tabia mbaya aliionesha hata mara tano zaidi ya mama yangu. DAYS ARE NUMBERED! Yani huyu mwanamke ambae alikuwa anaonekana kama sweetheart wa mzee, Mzee alimfumania meseji za mapenzi kutoka kwa mmoja wa wateja wake na inasemakana kipindi huyu mzee alipokuwa hayupo huyu mwanamke alikuwa anaenda kujivinjali usiku na awala yake. hahah ...Mdingi alipiga akataka kuua na ilimuuma sio kawaida hadi akaita ndugu zake.

■WANAWAKE
JIULIZE, KWANINI MWANAMKE AKUBALI KUOLEWA KAMA MKE WA PILI KAMA SIO AMEKOSA UTU AU KUTAKA MTELEMKO WA MAISHA KWA KUWA WANAUME WALIOKWISHA KUOA UNAKUTA WAMESHATOKA KIMAISHA. MARA NYINGI MNAKUJA KUHARIBU MAISHA YA FAMILIA YA MKE YULE NA WENGI WENU MNAHAKIKISHA NAFASI MAALUM MNAISHIKA NYIE, SO MNAHANGAIKA KWA WAGANGA.

■MWANAUME
HAKUNA SABABU YOTOTE YA KUWA MKE ZAIDI YA MMOJA, HAWA WANAWAKE NI WALE WALE NA HATA HUYO WA PILI ATAKUWA NA MAPUNGUFU PIA. NA KWA SISI WAKRISTO TUNAAMINI KUWA MUNGU ANAFANYA AGANO NA NDOA YA MKE WA KWANZA NA UZAO WA KWANZA.

Sent using Jamii Forums mobile app
upumbavu tu umeandika

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa kama alikosea step kumuoa mama ako ulitaka afanyeje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Si ndo hapoo,ajue huyo mamaake Kwa babake ni just mwanamke Tu hawana undugu,halafu mtoto wa kiume hutakiwi kabisa kubase upande wa mama,jifunze Kuweka chuki na visasi vya mama moyoni kumbuka mamaako kinachomuuma Yule ni mpenzi wake hawana undugu ila wewe ni babaako,utakuja kuelewa kwann babaako alifanya hivyo utakavyokuja kuwa mwanaume na wew yaani Una mke au wanawake!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndoa za wake wenza ngumu sana ingawa sja experience iyo ktk familia yangu nimesimliwa na baba na mama wote wametoka ktk familia za wake wenza, ya mama nimeiona, ni tabu tubu babu alishafariki lakini watoto adi sasa hakunaga maelewano, baba anasema babu naye alijichanganya akachukua bi mdogo akamkamata na matunguli akafukuzia mbali, na apo mzee ni wa miaka 50 uko so msitudanganye wenye kumpinga mtoa mada izo mambo zipo toka zamani mnoooo uke wenza sio mzuri
Na unatumia kigezo gani kung'amua kwamba nani yako hakukudanganya?? Pengine hakumkuta mtu na matunguli wala nini.

Yaani unaposema sis tunaokataa generalisation ya hili jambo unatuona ni wapingaji sio???
 
Mimi mamaangu aliachwa na babaangu Mimi Nikiwa mgongoni Baba alimuacha mama akaoa mke mwingine,of course kuna changamoto za kimalezi tulipitia ila babaangu alijitahidi kutuonesha Sisi kuwa ameachana na mpenzi wake (Mamaangu) na siyo Sisi watoto wake,japokuwa mama Naye alijitahidi kutueleza na kushuhudia madhaifu ya Baba,ila mwisho wa siku wazazi wangu wote wa tatu nimemaliza nao vzr,sikuwah kumchukia Baba wala kumuwekea visasi na sikutaka kumchukia mama wa kambo,leo hii mama na baba mzazi nimewazika namlea Kwa upendo wote mama wa kambo,na kila alichoacha Mzee tumehakikisha huyu kama naye anafaidika nacho japokuwa hakuzaa mtoto na Mzee!!mtoto wa kiume huwezi kumuelewa babaako mpaka nawe utakapokuwa kuwa mwanaume! Hizo hasira ulizonazo ni asilimia kubwa sababu ya hasira alizonazo mama yenu,kumbuka yeye ndo amepokonywa mpenzi na anaweza pata mwingine ila nyie hamuwezi pata Baba mwingine!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo sio mke wa pili,ila baba yako hana hela na anataka kuoa wake wawili.wenzake wanajenga sehem tofauti.

Unawapa mitaji kisha unawaacha wapambane na hali zao,panapofel unarekebisha,familia zinabaki fresh tu.

Ila kama hawana kitu wote,nawe unga unga mwana,ah watakuroga mpaka ujute na ugomvi wa hapa na pale kama mashariki ya kati

Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaaa. Baba yake pengine hakufata utaratibu wa kuwa na mke wa pili yeye aliliendea tu hilo suala halafu anataka alaumu mfumo mzima wa polygamy
 
kama wanafanya threesome watashindwa uke wenza ?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hakuna sababu ya kuoa mke wa pili lakin sababu za kuchepuka zipo??
Yaani haya ndio maajabu ya wanawake.

Mke wangu mimi kaniambia haswa, please usichepuke na nakupa ruhusa Bora huyo unaetaka kuchepuka nae umuoe
 
Nisichoamini hapa kutuaminisha mleta uzi ni mwanaume. Nakama kweli mleta mada hii ni mwanaume basi kweli wanaume tumeisha tangia kizazi cha miaka ya 80 kurudi chini.nikija ktk kujibu mada yako,chakukusaidia tu! Hivi dada hujaona ndoa za mke m1 zenye matatizo? Basi kama umeona ndivyo hivyo pia kuna ndoa za zaidi ya mke m1 zinamatatizo pia,lakini nyengine ni shwari.nimekuita dada sababu nimeamini hivyo.chakukusaidia tu! Nihivi kumuongoza mwanamke kunahitaji akili nyingi sana awe m1 au zaidi,usipotumia akili matokeo utalaumu ndoa za mke zaidi ya m1 kesho utalaumu wanawake. Acha upumbavu kama umekuwa hama nyumbani kwenu sio unang'ang'ania kumuangalia baba yako anaishi vipi na mama zako

Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Mwanaume akiwa na uwezo wa kiuchumi, kiakili na kimwili anaweza kuoa wanawake wengi awezavyo. hivyo visa unavyoripoti viko kila mahali na kwakila jamii hata katika familia za mke moja.Jamii katika nyanja ya mahusiano haijawai kukosa misukosuko na kupambana nayo inategemea na akili za mwanaume nazahiyo familia zikoje.kwaiyo kisa chako kimoja kisijumuishe ndo maisha ya jamii nzima.
Yaani mimi uchumi namshkuru mungu, akili ziko sawa, mwili wangu uko njema, mizigo tele mtaani, mke wangu hataki nichepuke hata kidogo anataka nioe, nangoja nini kwa mfano???
 
Kuna mahala niko naona wake wenza wanaelewana fresh tu hata wanatembeleana eti,
Ila kiukweli kabisa ningekuwa dume ningeoa wake wawili au zaidi,, ila kwavile niko jike sitaki mke mwenza

mke mmoja anadumaza na haifanyi familia kutokuwa na mgogoro nachoona wewe mtoa mada umelishwa tango pori na mama yako kakujaza sumu ya kutosha
Unanimalizaga sana. Na ninavyolipenda lile jina lako la zamani sasa
 
Hapo tatizo ni baba yako siyo uke wenza.
Mwaka wa sita leo naishi na wanawake wawili lawama pekee ninazopataga ni kwa nini kwa mama fulani umelala siku nyingi??
Na hapo ujue upande A ulizingua nikaenda B,siku nimerudi A ni mpole na atauliza kwa lugha ya upendo maana tofauti na hapo nitarudi B,lakini kuhusu mahitaji ya familia ni 50/50 kabisa kama A watalala njaa basi na kule B hali iko vilevile maana kama A kuna chochote nitakigawa na B wapate,sasa naomba umlaumu baba yako alinogewa akili akaweka rehani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Haswaaaaaaa!

Mkuu itabidi unipe somo maana hatuachi kujifunza sisi
 
Mwamini baba yako anaposema ‘alikosea step’ kuoa mama yako, haukuchagua kuzaliwa nao (ila mzee alimchagua mke) ila tu unapswa kuheshimu venye ni wazazi wako hao.
Ila kuhusu mapenzi baina yao, hayakuhusu hata chembe, kwako mama ni mama ila kwa mshua ni mke hivyo kama kuna vitu haviko sawa heshimu anapojutia ili kesho nawe uchague vema.
Kuoa mke mmoja ni ubinafsi na ujinga wa kuiga mambo ya kidunia, jifunze kwa viumbe wengine ambao ubongo wao haujaoshwa uone kama wanaishi na mke mmoja tu.
Inahitaji akili kubwa kukubaliana na mambo kama haya. Wengi wao hawawezi kukuelewa hapa
 
Back
Top Bottom