Changamoto za uke wenza

Changamoto za uke wenza

Atanifanyaje.

Ngoja kwanza Zesh amekuja usije ukaniharibia bureee
HahahahHH nimekuja hapa, atuachie sunna zetu huyu, Kuna watu Wana amani sana kwenye maisha hayo hayo..... Sasa kama aliyeolewa hajasoma dini unategemea kutakuwa na amani.... Lile jambo linahitaji imani ya nguvu sio hawa wacheza vigodoro

Sent using Jamii Forums mobile app
 
HahahahHH nimekuja hapa, atuachie sunna zetu huyu, Kuna watu Wana amani sana kwenye maisha hayo hayo..... Sasa kama aliyeolewa hajasoma dini unategemea kutakuwa na amani.... Lile jambo linahitaji imani ya nguvu sio hawa wacheza vigodoro

Sent using Jamii Forums mobile app
Bora ulivyokuja.

Watuache wenyewe tumeridhia kuoana hata wanne na wengine tunaishi nyumba moja
 
Back
Top Bottom