Namaanisha mvumiliane tuHapana,kwa nini kuwe na mapambano?
Wacha utoto, we kumbe umeoa kibonge halafu unalalamika ujinga hapa!!Ndiyo alikua 105kg kapunguza kilo nne tangu nimuoe
Mkuu hapana cijamchoka na bado nina hisia kwake isipo kua hizo chang'amoto zipo tu kama changamoto kwa wanawake wengineWacha utoto, we kumbe umeoa kibonge halafu unalalamika ujinga hapa!!
Hayo mengine anayofanya ukiacha kuchelwwa kuamka, kukoroma na missionary ni upendo tu, sema hisia zako zishahama kwake ndiyo maana unaona kama kero.
Mfanyishe mazoezi!! Atakaa sawa
Hilo nalo neno, mm nina watoto wawili na kg 62Ingekuwa kuzaa kunanenepesha Basi ningeshakuwa Kama kiboko, mi si mwembamba na sio bonge Nina takribani kilo 78, isitoshe baadhi ya watu wanatuita wanene, ila 105!!! Ni zaidi ya unene aisee
Hapo kumnyang'anya gari aiseee.... Sipati picha kimbaumbau umpe gari alafu umnyanganye wallah utaleta kazi.....Mazoezi ni mvivu sana hata kutembea ni shida. Nimesha mnyang’anya gari, ila bado ni shida ile ile
😂😂😂 Huko kwenye 50 kunaboa napo kha!! Mifupa mitupuHapo katikati hapo ndo penyewe. Bakia hapo hapo. Unakuta mtu ana kilo 45 au 50 kha!
Ulimpendea mwili wake huo ndo bahati njema kwake, kuliko ungemkuta na mwili Kama wangu halafu akanenepea ndani, hapo Ni shughuli pevu upendo huyeyuka woteMmh nikama unatucho ma sisi tulio zama kwao na niwake zetu wa milele....
Kuzaa hakufanyi mwili uumuke hongera sana kwa kujitunza vyema, mi ninao 3 na tumbo navaa inch 30, hips inch 47 na uzito ni 78kg na huwa zinashuka mpaka 68kg kwahiyo unaweza kuona kuwa kuzaa si sababu ya mwanamke kupoteza mvuto wa kimuonekanoHilo nalo neno, mm nina watoto wawili na kg 62
kweli,wanawake wembamba ni vurugu bin vurumai balaa nusura ya mkosi,kelele sana,wengi uchi wao mbaya,mpana,mrefu hauna ladha;Wengi ni 'wife material' for your information kuliko vi modo vyenu
Nilishagundua pia hii ni Chai ya motoMleta mada unatudanganya wewe sio muhanga.
Hizi ni habar za kutunga.
yasishuke chini kivipi duuuhWale wanakuwa na mapaja mazito kwahiyo una kazi ya kuyashika yasishuke chini wakati wa missionary position
Mkuuu acha basi😄😄😄😄 Chang'amoto ndo nini au wewe ni Mkenya umekumbuka chang'aaaMimi sio mtu wa aina hiyo nikitunga nipate faida gani? Hata sijuti kua na mke bonge kwasababu kila mwana mke ana chang'amoto zake
Mkuu mie nilisha ona kumbe!!! wadada poa wengi ni vimodo ulishawahi kukutana na bonge wa kilo zaidi ya 100? asilimia 99 ni vimbao mbao tu.....kweli,wanawake wembamba ni vurugu bin vurumai balaa nusura ya mkosi,kelele sana,wengi uchi wao mbaya,mpana,mrefu hauna ladha;
Kuzaa hakufanyi mwili uumuke hongera sana kwa kujitunza vyema, mi ninao 3 na tumbo navaa inch 30, hips inch 47 na uzito ni 78kg na huwa zinashuka mpaka 68kg kwahiyo unaweza kuona kuwa kuzaa si sababu ya mwanamke kupoteza mvuto wa kimuonekano
Tatizo gani tena? Kwamba Ni kibonge sana? Maana katika vitu sipendi Ni kuitwa kibongeDuuh... tumbo 30 hips 47! Asalaalee... hapo sasa ukute una ka urefu kidogo angalau 5'6" kwenda juu. Tatizo linakuaga kubwaa saana..