Quetzal
JF-Expert Member
- Dec 9, 2018
- 6,343
- 10,799
Ngoja nikusaidie.Kusema AMINEeh mola nijaalie kikombe hko kinipitie kushoto
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nikusaidie.Kusema AMINEeh mola nijaalie kikombe hko kinipitie kushoto
we shukuru Mungu kwa ulichonacho, hayo ni matatizo madogo sana na unaweza kumsaidia akapungua. kuna wenye vimbao mbao na gemu hawapati plus gubu za hatariiiNi sawa hawanaga complication ni mtu very peaceful sana home
KIFO CHA MENDEmissionary position n ipi mkuu mmenipoteza kwnye kona
Ni kama kunaukweli hapa%Arafu sio lahisi kuchepuka hiyo ndo sifa yao nyingine
Naichukua hii downtown manhattan ila ni wepesi kufika kileleni kuliko tule tu migagiDoggy VP au una kiba100 ... Hilo Ni Swala la kuzungumza na Bebe wako.
Kazi ipo akifika mshindo mapaja yanakuwaga mazito ghafla...kazi kuzuia Kama alivyosema mdau hapo..
Hiyo Milo miwili...
Kiepe sana...
Nyama nyama...
Tuvitu twa kukaanga kaanga...
Me nimepiga marufuku Ila Mtu ndo anazidi kuwa Tembo.
SEMA downtown Manhattan kunakuwaga Tight alafu Kina Kifupi.
[emoji3531][emoji526] vibonge.
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13]Hapo inabidi uwe unakatika wewe mkuu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
.
Si umempenda mwenyewe shekhe?
Hivi unahisi atakua Kabila gani huuuu......maaa daa #chang'amotoSiyo chang'amoto ni changamoto ndiyo maana hatuandiki ngombe tunaandika ng'ombe.
Sio kweli mkuu ukweli ni kwamba hawashobokewi na hua hawasobokei ila niwepesi sana kunasa mtegoni.Ni kama kunaukweli hapa%
AiseeeUsiombe uwe nae mtoko!!!!! Ikipigwa blues ukumbin!!!!....Unakua unacheza nae kama unasogeza Frij!!!!
Hapana mkuu vinganganizi ni hulka ya mtuu .. wapo wengine shida tupuDunia hii hakuna vinganganizi kama mabonge..
Haujawahi sex naye ukamaliza kisha ukagundua kumbe ulikua kwenye mapaja muda wote?
Nimecheka sana fwala wwHahaha... kwahiyo mie ntafanya kazi ngapi ya kupampu nakukatika duh yeye awe anasikilizia tu
hilo Changabaridi mkuu we unaliona la moto!? Sioni kero hapo mkuu, umesema "anapenda" hujasema hawezi vile unavyotaka wewe; Shida ipo wapi sasa!? Au lengo lako nikutaka kujua tu wamama wengine mfano wake wanavyoishi? Kila mtu anamtindo wake wa maisha.
Habarini za asubuhi, mke wangu ana uzito wa kilo 101, tumekaa katika mahusiano takribani miaka saba, (7) sijui wenzangu wenye wake wenye uzito mkubwa mnapitia experience nayopata au ni wa kwangu tu?
Changamoto ya kwanza: Akilala saa nne ni mpaka asubuhi hata hageuki wala kuniamsha ni shida kweli nikiwa na ratiba ya kudamka.
Changamoto ya pili: Ni kukoroma akiwa katika usingizi mzito, huwezi kupata usingizi mpaka amalize kukoroma.
Changamoto ya tatu: Akikaa kutizama runinga lazima alalie sofa au anilalie mimi nikiwa karibu nae, ni marufuku kwake kukaa upright kwenye kochi sebuleni.
Changamoto ya nne: Hapendi kula breakfast mapema, anapendelea ale saa tano au sita, alafu hali lunch tena mpaka supper. Anakula milo miwili tu kwa siku.
Changamoto nyingine: Anapendelea missionary style tu (wakubwa mmenielewa) lakini anapenda almost kila siku mchana au asubuhi ila sio usiku wa manane!
Je ni wa kwangu tu au wote wenye unene huo wako hivyo?
Tafadhali karibuni wenye wanene kama wa kwangu tupeane uzoefu na suluhisho la kutatua chang'amoto hizo za wake zetu wapendwa.
Ukimwamsha alie lala utalala wewe!!
Hizi comments sasa lol
Mungu bariki sana vibonge. Wako poa sana. Wana upendo wa kutosha, kila saa ni kutabasam tuu, hakuna makelele ya hovyohovyo halafu pia hakuna complications.
Atakaeponda vibonge na alaaniwe!
Wengi wapewe!
Kwakweli. Hili ni ombi la wengi