Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)


🤣🤣 mkuu una mkwara si mchezo. Sasa bibi mtu ungeongea naye nini?
 
Uvunguni[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Chiz yupo ndan
 
Hahaha
 
Hahahahahshshs
 
Wewe ushapata vimbwanga vyao?
 
ukikaa na house girl muelewe tu tabia zake. Akiwa anakula sana jua chakula chako ni ni kitamu na akizoea ataacha.

Kuna mmoja tulimkuta anakaanga mayai sita saa nane usiku. Ni harufu ndiyo ilituamsha
Duh ! Una moyo we dada
 
kibaya kuliko vyote upate house girl machawi nyie mliomuajiri ndio mtakuwa mnafanya kazi zake
 

Wala si chai, kuna mambo nilipewa na Ustaadh mmoja hivi akanambia mbaya lazima atajulikana! Simple, so nilikuwa najua nachofanya mkuu!

Sikulala sababu ya woga, hivi angekuja ningemfanyaje kwa mfano! Ila nilijiamini sasbabu ya kuona effects za awali za dawa ya huyo Ustaadh!!
 
Nimesoma maoni ya wadau wanawafanya wafanyakazi wa ndani kama katuni ila jua na yeye ni binadamu kama ww utakufa na yy pia atakufa tumali twa dunia tusikufanye kuvua utu wa binadamu mwenzako ombi kama ni mzazi usije ruhusa mwanao kuwa beki3
 
Katika watu ambao nimeishi nao vizuri ni wadada wa kazi..nimekaa nao karibia 6 na sijawahi kuona tatizo lolote.
Labda pia na nyie kuna sehemu mnakosea kwa wale ambao mnadharaulika na wadada wa kazi.
 
Katika watu ambao nimeishi nao vizuri ni wadada wa kazi..nimekaa nao karibia 6 na sijawahi kuona tatizo lolote.
Labda pia na nyie kuna sehemu mnakosea kwa wale ambao mnadharaulika na wadada wa kazi.
Hongera kama hujawahi kumla hata mmoja mkuu[emoji122][emoji122][emoji122]
 
du huyo,alipitiliza kidogo kwenye sifa za beki 3,analala mvunguni?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…