Changamoto za wasaidizi wa kazi za ndani(housemaids)

Maisha yangu yote, kwangu na kwetu sijawahi kuishi na beki tatu ila nilienda kwa rafiki yangu aisee binti alikuwa na vituko yule, mkimaliza kula au kunywa chai anatoa vyombo anaweka kwenye karo anachukua mkeka analala, mtoto akilala nae analala, hajui kujiongeza kila kitu mpaka umtume halafu hasikiii
 
Huwezi amini wala sikumgombeza hiyo siku nilimpigia simu mama nikamwambia.
Mimi nilimuuliza kwanini anampiga mtoto akasema sio yeye ni watoto wenzie wanampiga nikamuuliza tena wakiwa wanampiga unakua wapi maana mtoto hatakiwi kucheza bila wewe kuwepo akakaa kimya.
Hadi kumrudisha kwao alishanifika hapa
Ulikuwa na moyo,hasa hilo la kumfinya mtoto ningekula nae sahani moja

Kulala uvunguni hata akilala chooni hiyo hainipi shida,
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]TATIZO LA KUTOKUSIKIA NA MABEKI TATU WOTE
 
Aliichoka kazi
 
Ilibidi nimuulize hivi una nini kichwani au una tatizo la akili? Akaniambia dada hata mimi sijui ila naona tu siko sawa kuna muda natamani niwe kawaida ila sijui kinatokea nini.

Hahahaaa. Boss wake kawa chizi
Yani hawa watu balaa akipata na shosti wa kupiga nae story ndo balaa kazi haziendii... Usiombe ajue kutumia na simu[emoji33][emoji33][emoji24][emoji24]
 
niko mbion kumrudsha kwao yuko hvhv na mm nilie nae japo ananipa uroda ila kaz haziend nahs pia ana matatizo ya akili
 
niko mbion kumrudsha kwao yuko hvhv na mm nilie nae japo ananipa uroda ila kaz haziend nahs pia ana matatizo ya akili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]Mkuu wife akijuaa...
 
Sasa mimi sikukaa na mchawi ila nilikaa na mtu anaamini uchawi balaa.
Siku nimeenda kuoga nakuta hirizi chooni nikaichukua nikaiflash.

Tumekaa kama week mbili kaamka kachanwa chale usoni mikononi miguuni na kifuani.
Alipanic mbaya akasema waliochukua hirizi yake ndio waliomchanja. Nikamwambia mi ndo niliyoiokota nikaiflash sikujua kama ni yake.
Kesho yake akaondoka kwenda kwao ikawa kwaheri.

 
Yani hawa watu balaa akipata na shosti wa kupiga nae story ndo balaa kazi haziendii... Usiombe ajue kutumia na simu[emoji33][emoji33][emoji24][emoji24]
Rafiki yangu ni mpole sasa wasichana wake huwa anawatreat kama wadogo zake, kuna mmoja huyo alikuwa anashika simu anaingia hadi insta, mtu akipiga anapokea....nikamwambia huyo ukimuendekeza atakuja kupokea hadi simu ya boss wako
 
Ukitaka kujua roho ya mtu chunguza muda anao kaa na ma house girl.

Beki 3 kwangu wanakaa sana ila niliteleza kwa beki tatu wangu mmoja tu na niliapa sitorudia tena .. Nilitaka kuwa kama baba wa imani Mzee Ibrahim ila wife alikuja kustukia mchezo akamrudisha kwao yule binti. Namuomba Mungu kila siku anizuie nisje kuwatamani tena hawa wasaidizi wa kazi nyumbani kwangu.
 
Aisee wife alimrudisha bila kukuuliza chochote???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…